Tushirikishane
Member
- Aug 9, 2016
- 13
- 67
Mradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Kigamboni chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Dr. Faustine Engelbert Ndugulile Dr F. Ndugulile
Katika Warsha ya Kigamboni, Mh. Ndugulile alikubaliana na jumla ya ahadi 5 zilizokubaliwa na wananchi ndani ya mradi huu.
1. Kukarabati vivuko vilivyopo pamoja na kupata kivuko kipya.
2. Kuongeza miundombinu ya umeme na kujenga kituo kipya cha kufulia umeme Kigamboni.
3. Ujenzi wa barabara ya Darajani- Kibada- Mjimwema kwa kiwango cha lami.
4. Kukomesha uvuvi haramu, kuwawezesha wavuvi kwa kuwapa nyenzo za kufanya uvuvi wa kina kirefu (Deep sea fishing) na kupunguza utitiri wa leseni kwa wavuvi.
5. Kujenga hospitali ya wilaya na kuboresha zahanati na vituo vya Afya.
Mada hii itatumika zaidi na Wana Kigamboni kutupa taarifa.
Baadhi ya Washiriki watakuwa:-
1. Mh. Mbunge Dr. Faustine Ndugulile Dr F. Ndugulile
2. Afisa habari Kigamboni, Vedasto Prosper Vedasto Prosper
Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Kigamboni.
Karibuni.
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kigamboni[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
========
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
Washiriki wa Warsha ya Tushirikishane Kigamboni katika picha ya pamoja na timu ya Jamii Media baada ya kumalizika kwa warsha ya siku tatu ya mradi huo.
Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi zisizopungua 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Kigamboni.
Katika Warsha ya Kigamboni, Mh. Ndugulile alikubaliana na jumla ya ahadi 5 zilizokubaliwa na wananchi ndani ya mradi huu.
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mh. Faustine Ndugulile (Kushoto) na Mwanzilishi mwenza na mmoja wa Wakurugenzi wa Jamii Media Mike Mushi (Kulia) baada ya kusaini makubaliano ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Tushirikishane.
TUSHIRIKISHANE – AHADI ZA MBUNGE
KIGAMBONI
KIGAMBONI
1. Kukarabati vivuko vilivyopo pamoja na kupata kivuko kipya.
2. Kuongeza miundombinu ya umeme na kujenga kituo kipya cha kufulia umeme Kigamboni.
3. Ujenzi wa barabara ya Darajani- Kibada- Mjimwema kwa kiwango cha lami.
4. Kukomesha uvuvi haramu, kuwawezesha wavuvi kwa kuwapa nyenzo za kufanya uvuvi wa kina kirefu (Deep sea fishing) na kupunguza utitiri wa leseni kwa wavuvi.
5. Kujenga hospitali ya wilaya na kuboresha zahanati na vituo vya Afya.
Mada hii itatumika zaidi na Wana Kigamboni kutupa taarifa.
Baadhi ya Washiriki watakuwa:-
1. Mh. Mbunge Dr. Faustine Ndugulile Dr F. Ndugulile
2. Afisa habari Kigamboni, Vedasto Prosper Vedasto Prosper
Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Kigamboni.
Karibuni.
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kigamboni[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
========
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter