Stone Town
Senior Member
- May 28, 2007
- 114
- 26
Habari zenu.
Mhhhh. Wenye kutenda mambo hayo ya kuwaingilia wake au wasichana wakati wa hedhi kwenye suala la usafi hapo hawakuzingatia hivyo kweli mtu anaweza kuingiza mwili wake kwenye hali hiyo? sidhani kama inapendeza hatika hali hiyo. sasa najuiliza inakuwa hamu au laana tu maana wengine wetu hapa wanapopenda ngono kuliko kitu chochote wanashindwa hata kuvumilia hizo siku nne mpaka saba za mwanamke.
Mimi natoa ushauri wangu wa bure tu kwa wale wenye kutenda hayo ni bora zaidi kusubiri kwanza unampa muda mzuri wa mwanamke kujitayarisha anapotoka katika siku zake hizo lakini pia wewe mwenyewe unakuwa umefuga hamu yako kuliko kila siku kuparamia miti huchoki?
Uchafu tu
Stone Towner
Mhhhh. Wenye kutenda mambo hayo ya kuwaingilia wake au wasichana wakati wa hedhi kwenye suala la usafi hapo hawakuzingatia hivyo kweli mtu anaweza kuingiza mwili wake kwenye hali hiyo? sidhani kama inapendeza hatika hali hiyo. sasa najuiliza inakuwa hamu au laana tu maana wengine wetu hapa wanapopenda ngono kuliko kitu chochote wanashindwa hata kuvumilia hizo siku nne mpaka saba za mwanamke.
Mimi natoa ushauri wangu wa bure tu kwa wale wenye kutenda hayo ni bora zaidi kusubiri kwanza unampa muda mzuri wa mwanamke kujitayarisha anapotoka katika siku zake hizo lakini pia wewe mwenyewe unakuwa umefuga hamu yako kuliko kila siku kuparamia miti huchoki?
Uchafu tu
Stone Towner