HONEST HATIBU
Member
- Aug 19, 2020
- 23
- 44
Mishe gani ambayo inachukuliwa poa mtaani ila wanaoifanya wanapiga vibunda?
sasa hili nijibu la swali au nini?Hakunaga kutoboa fasta maisha.
hata uuze tako uwe shoga bado kutoboa ni process. Hta uwe punda ubebe poda bado kutoboa ni process waulize akina Ngwair na Masogange.
Hata uwe freemason au utumie ndumba, is still a process
Nawapata wapi ngwair na masogange niwaulizeHakunaga kutoboa fasta maisha.
hata uuze tako uwe shoga bado kutoboa ni process. Hta uwe punda ubebe poda bado kutoboa ni process waulize akina Ngwair na Masogange.
Hata uwe freemason au utumie ndumba, is still a process
Ni swali la jibu.sasa hili nijibu la swali au nini?
Umarioo.Kudate na mishangazi👐