Miradi mikakati yote aliyoianzisha hayati Magufuli imekwama kutekelezeka. Taifa letu linakwamishwa na genge la watu wachache wasio na nia njema

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,084
6,569
SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.

Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.

Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
 
Mungu na Aendelee kuibariki nchi yetu nzuri iliyobarikiwa kila kitu ambacho mwanadamu anakihitaji kwa maendeleo yake katika kasayari haka kazuri 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

IMG-20231019-WA0047(1).jpg
IMG-20231021-WA0007.jpg
IMG-20231021-WA0008.jpg
 
Sgr kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.

Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.

Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
kwaihiyo na wewe umekwamia kulalamiaka na mwaka ndio huo umeisha, na hujakwamua lako hata moja?

sa itakuajeege........
 
Sgr kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.

Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.

Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Hizi ni hisia na matamanio yako. Alisema kipande Cha Dar-Moro kitakuwa tayari Hadi November 2019, lakini hadi anaelekea jehanamu ilikuwa Bado. Bomba la mafuta alisema kufikia November 2020 litakuwa tayari lakini Hadi Leo akiwa motoni Bado. Inaonekana uliamini uongo wake.
 
SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.

Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.

Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.

Hilo genge linajulikana, lakini kama kawa wananchi hamchukui hatua zozote kutwa kulalamika mitandaoni
 
SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.

Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.

Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Mjane wa Marehemu wa Chato unateseka mwenyewe.
Huishi kulitaja jina la Marehemu Mumeo!
 
Sgr kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.

Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.

Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yale mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafisadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.

Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
 
Unategemea matajiri wa malori na mabus wakubali SGR ikamilike kweli.
Mkuu failure ya Wanasiasa usiitafutia scapegoat kwetu, mimi ni mdau ujue?

Nasikia Serkali imeshindwa kuwalipa Wakandarasi, Matajiri wa Malori na Mabasi wanaingiaje hapo?
 
Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yale mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafisadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.

Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
Wamekamatwa??

Wewe nawe ni mjinga fulani hivi na unaushabiki wa kipumbavu tu!

Hao walioundiwa tume kwa madai ya kuficha pesa China walikamatwa??

Ni ujinga tu kuamini mipasho ya ccm, eti hakukuta pesa??

Unaushahidi wa kuwa hakukuta pesa BoT??
 
Back
Top Bottom