kalooo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 269
- 153
- Thread starter
- #41
Kurani15,Kurani 43,,kuran90 na Kuran100.Sitaki watu wajue mimi ni nani,maana wataanza kuchimba kama ugiriki ya kale, Roma ya Kale, Chadulu ya Kale ,Misri ya kale Na ya Kale Ni dhahabu. Tanzania Na Nembo ya Taifa taa ijayo 2025 na 14.1 miaka Mlima Meru na Kirimanjaro katikati Yake Pakoje,Kiteto na Mchanga usiochangamana na mwingine Nani Kaona?,Hata Nile river na Unyayo was binadamu wa kitambo,Je Ngorongoro na Bonde la Ufa Mda bado kusema Sulemani alikuwa Mweusi Sababu ya Kulea Watoto wa Mama yake,? Iende Sehemu zote na hizi nilipita,Majengo Sokoni, galilaya Kama mwebrania wa waebrania.Waebrania Ndo Watanzania Wakisukuma?, Ni Kweli Ukistaajabu ya Musa utaona Ya Firauni,msemo wa wahenga na Leo Ukistaajabu ya Yesu utaona Ya Pacha Yake ,Huyo Tunda lake, Thom wake na Siri Katika Kurani yake , ukisema kiama tayari,ujue Mhubiri 1;1-4, mwisho wa siku Kama leo Msemavyo mtaanza upya na utaalewa wahenga ndo wakuu wa yote, kama hekima ilivyo, Mtajisheua tuy,tena wanayo mapenzi mengi kwa vizazi vyao, nao wanayo mahusia lakini kwa taifa hili sasa la afrika moja chini ya kiongozi mmoja basi tutambueni mtu mweusi ni nani?
Mimi ni nani maana nmesikia badala ya mzungu eti mungu, sawa si farasi mweupe agano kwao,lakini shujaa wa vita mwaminifu juu ya mridhiki wao mkuu kwa hasira vitani alishinda kwa muda wa miaka 6 na miezi 3 na siku 17 kwa hiyo sauti yake ya katikati ya wiki yake huyo thom wake Kurani Yake Tunda lake,Mti wake katika ardhi ya bustani mbili kulia na kushoto iliyoahidiwa kuwa na saba za nguvu, yaani mbingu saba, milima saba, vitasa saba, mboga saba, mafungu saba, Surat Sabaa, Milango saba ya kila Zama Kama siyo awamu na kitabu chake.Karibuni enyi watu mlimoandikwa waingie humo wacha mungu mahala pa Waebrania7 yaani pa Amani kama ciyo mchamungu duh Heri usiingie by revelation watakufanyia revolution Mda wako.Saba ni idadi ya Milango Yao wenye Yanga yao.
Ila wa nane utatoka msimbazi kwa mkapa hatoki mtu kuja kuijaza jangwani maji ya mto wake,muashuru/kakaa kitume arabuni hivi, na sababu yake kuja kwake kabla ya kujua kuita mama au baba mbele ya malango ya msikitini kuna kuchukuliwa mateka kwa uhai wa mama yake mzazi wa tumboni miezi 10 yeye huyo kidume cha gumegume.
CCM kuondoka mpaka kiama,na malipo ni hapa hapa duniani,Tena lisemwalo lipo usiwe mbishi Kama Shipa,Akili za mbayuwayu Changanya na zako, wewe upo chni Mungu yupo mbinguni, wapo wasiojulikana ambao kwao wanatuuliza mitaani unajua mimi ni nani,nao wana neno lao ila mwisho wa siku wote tutasomewa mambo yote na Huyo Mimi Ni Nani.Hutaki kujitoma Kwenye Farasi waliojitoma kimakundi.
Katika dunia tuitarajiayo ya ule mwishwo kichwa chambuzi,Makamanda want anga,Sumukibamarioo wanapipo,ishara ya nguvu ya umma katika ardhi yapo maji na milima yenye michirizi mieupe,na iliyo mieusi sana na miekundu humo tutaingia tukifurahi kwa pamoja, hakuna atakayeulizwa mimi ni nani, wala kumuuliza mtu mimi ni nani na mda tutaujua kama 35 ni decades 3 na nusu kutoka kwa 2000times hizo milele mbili,Makundi ya mikimbio 2025 km Katika misafara mitatu Mitatu, njooni tumlaki mungu kwa utukufu na ushindi dhidi ya utumwa wetu mateso yetu na ukondoo wetu na giza letu bara letu kwa Mwonekano Wetu.Itakeni Amani juu Yenu.Amani Iwe juu Yenu ni Salamu(Amani) Ya wote.
Kurani 100,na hat Kurani 90.
Kula uonacho,nikala gombo lililokuwa mbele yangu,Nami Nikasikia uchungu tumboni,Na mdomoni kikawa kitamu Kama asali( Ezekiel 2,3) na hapo ipo Kurani 66 ili niweze kukiishi kiapo vema Cha Mimi Ni Nani Hata mbele ya Wake Zangu,Yote ili Watu wajitome si kwa kusikia ila Kuona Ndo namanisha Kazi ya Amani.
Dunia Ni Tambala bovu,Mimi Ni Nani Kuna majira Nilionekana dodoma,Singida, Morogoro,Pwani,Iringa,Njombe, na South Afrika Anaimba Roma,Mimi Ni Nani mpaka tarehe 16 mwezi June 2023 niikubali Ngoma/muwa wa roma,Ulipo Mzoga ndipo watakapokusanyika Tai,Mimi Ni Nani mpaka iwepo miaka 50 katika utimilifu wa siku 3335,nisijue Hakuna Yesu Pasipo Maudhi,Kumbe ulinikwepa Koko bichi Basi nitakupata kibiti,2wathesalonike2 Mimi Ni Nani kwenu 2timotheo3 hamkujua inanipasa kuwa nanyi ili nipate kuandika vema Habari za Musa na hema zake Habari za haki,Muulize mzee JKT,Kisomio,Lugombora, na Hawa Bibi na mabwana, Bukuku-Nani aitikise dunia,Rose-mteule uwe macho, Rolinga-Dealth of President,Kawe Mbunge-New world older na Marley wa Time will tell.Basi Mi Ni Nani Kama Gogu na magogu Ni Vita Kaskazini Mwa Israel,Mimi Ni Nani na ninyi Ni Nani Katika Isaya53?Makole,Chadulu,Rufiji kidakioni na pa Maji ya kila Namna mji wa Amani.Fundi mchundo Wewe Ni Kisima tu? Jibu Basi, unamsikiliza Kiba, Sumu tu.Ndo utajua hujui msemo usemao,kwa kiebrania7 Mwalimu Ni master.
Uraia Upo hapa,Dreams of brighter days,busy signal,Free up Jamaica na Nigeria ,Ferra Anikulapo kuti,2000 blacks going to be Free,Roy Ayers- Africa is the centre of the World.Time will tell ya Marley Mimi ni Nani.The pastors of this church, Mimi Ni Nani ? E shetan mtoa Roho,Aah siyo Huyo.Nyahanga,luck dube-Freedom fighter ipo Nyatwali,Karume,Shule ya Uhuru Ni Shule ya familia ya Yesu,Je Mimi Ni Nani Kama Yesu Ni Yule yule ila Family Yake hutoka Kizazi kwenda Kizazi,Basi Mimi Ni Nani Kama Mnajua Mathematics Ndo ilipata tuzo Bora 2012,RPC usitume kikosi Uishushe Chadema,Hiyo 12 na 35 nitalipwa damu ya Mwangosi Iringa semeni Amina,Mimi Ni Nani Kama mlitaka kunizuia nisiagizie Kama nilivyosema kwenu Chini ya Masudi Nasoro long as baba Paroko thus in 2012.Mzee mpili na kushinda Vita 28* na Yanga Yake Anauliza unanijua Mimi Nani? Hapa dsm na wanyumbani Kwake Mpoto Ni peku peku Kumuenzi wa Kazi Shakespeare wa Afrika na waipendao na Amani ya Dunia. Luck DUBE-FREEDOM alisoma Isaya 52? Utajua hujui.
Dunia Ni duara panapoonekana mwisho Ndo huenda ukawa Mwanzo,Kipofu alimlika tochi Usiku akiwa na wenzake wanaoona, wakiwa Makini watakuwa waliona vizuri,Hao wenye Utai Katika Kuufata Mzoga Ulipo, maana Hayo Ni Mapenzi kwao Katika Kristo Yesu,Wapi 2wakorinto12,Yote Ni Mapenzi Katika Kristo Yesu,Nayo ilikuwa 5 ya nguvu Katika Saba za nguvu,Binti wa mfalme wa Kusini(Gibr) itakuwaje 2025 atakuwa Binti wa Mbarawa Kuilinda heshima ya Cheo Kivitabu,Labda Mambo yabadilike Sana hivi Sasa na hapo Badae.Sina Mipaka Ndo maana nataka nikaimalize Dunia,eti Korona come on,Make hapo nicheke, hapo Katika Nchi ya kusadikika ya Shabani Robert ndani ya fanani Karama Katika uwepo wa Majirani 6 Katika Serikali ya Nchi ya Saba na upana wake, Directions zote + juu na Chini iwepo Saba ya nguvu ya Surat sabaa Basi lipo La kuzingatia Katika Kuran43;57-61 yote Hayo Mungu Ndo anajua maana Vitabu huja Matoleo na Matoleo ya kizazi baada kizazi,Kikubwa Dua Au Surat Hijr 15;44-46,Yawepo Mazingatio tu Katika Kuufikia Umimi Ni Nani,Basi Goli la mkono halina shida ili tuujibu Wakati,Wachache huona na huongoza Wengi,Mimi Siyo shetani wa Kunisemea pepo toka kisa Ni mbaya wa wabaya.Nitake radhi bwana,Sikia ipo Kurani 2,Isaya53 ebu Wewe unaonaje Kama na Mimi Ni mfano wa pili?Wewe vipi Bwana?,Bwana la mabwana Ni bwana la danga la madanga Nikasikia Sauti ya Kwenye madanguro,Sikucheka.Pia nikasoma Isaya8,Ufunuo2;18-19 na Ufunuo17 hapo Sasa nikasema kumbe 2wakolosai2:7-9 nalo kuu kuliko sadaka, neno.Dudunyikanza,Kipo na Ikwiriri Ni Kama tu Mtu akikuvuka Upande wa pili Katika hii Ole ya pili na bado moja Mbonde Na Simba Yake Mda wa kibegi .Tarehe 08/01/2023 ilikuwa Dalili ya kilio kwa Mtoto, Maombolezo na ole wa pili kwa Mama, bondeni,milimani Kama Iruguru,Mwamagulu, Nyamakolokolo na Vaticani ama Songea kwa mliwa na Marium wake,Huko kwa father Lambern kidintwi alikolala na Uskauti wote alioumaliza kutaka kurushwa ndani ya Samaki ama mamba kukiishi kile kisemacho Kilicho hai hutokana na kilichokufa,Kufa 2024 Kuzaliwa 2025 Katika Mwili wa mateso yaleyale ya Kuchukuliwa na kutemewa mate Kama mbwa wa Sokoni.
Mungu Fundi.Bwana hutwaa na Bwana hutoa.Jina lake lihimidiwe.Na Huyu Ndo Mungu atakiwaye aogopwe maana yeye anauwezo wa kuua mwili na Roho.Na hayupo wa Kufanana naye,So mwingine Huyo ajuaye kufafanua na kufumba,Ndo Huyu Kama Hapana mwingine Chama kimoja falsafa na leo theology Liberation Ni mkombozi wa Kudumu juu ya Amani Tuitakayo.Nipo na Chamagati,Mwaloni Kirumba,Buzirasoga na Singida Yote, Chumve,mkula kwa Mda Niliona Bora Mshambawima Zanzibari kutoka Mangapwani nzwanzwa alitwishwa na alijitwisha vizuri, furaha ya Makazi Ni Pesa, ndesa kafa na Mapesa, na Momose cheyo hakutujaza Mapesa alipoutaka urais ila Mda wa maisha Bora ulikuwa bado haujafika kuwa Ridhiki Mafungu Saba lake la nne Katika hayo yatadumishwa Hata milele zingine.
Eti Wimbo wa Mimi Ni Nani Hautuuelewi kabisa,Hamjui Kokolo Liitwalo Kumbakumba Linapotupwa huanza na Samaki Mmoja wachache na Badae Wengi Kama Familia Yenu ilivoanza tu Wapo waliozaa kiheshima(Watoto wa kufikia),na walioanza na zero Ila zote ziwe kudra na leo Wamewajua wanao wanaojitolea kuwasaidia Wenzio na Majukumu, Da vanci anasema Humfanya mtoto wa Kwanza(1timoth1:12-19) aonekane Kama Kichaa,Na awe na gadhabu juu ya wazushi Ambao hawakuaga nyumbani Kuja town kuwatetea Wanyonge na wanajifanya Wanapenda Wanyonge na Katika hilo(Kapigiwa mfano) Watu wanaupiga ukelele kwa Masikio ya udadisi na kujifanyia walimu makundi Makundi Ni ingali wasijue ipo elimu ya awali na Elimu ya Mwishoni( Kutimia kwa Kristo Katika Mwili). Masanzakona mpoooo Kama unaenda Bunda Mpoooo,Ramadhani mpooo Kama unaenda waging'ombe mpooo,Kizota kuitafta Iringa mpooo,Trm kuitafta Dodoma mpooo and Afrika Ni kitovu Cha Dunia yote mpo.Cheusi Mangala Ndo Cheusi ya weusi,Na mweupe Hana doa kumbe mnazareth kawashindia Kwanza,na ushindi wa yeye kwake Ni wetu. Nobaya.Mapepo,magonjwa,mikosi,Umasikini, tunakemea pepo tokaaa kwa Zamu Zamu.
Ole,Ole kwa Yesu,Yesu kwa Dunia,Dunia yaani Ni Ole wa pili.Mimi Ni Nani au kitundule wa vitundule?No labda Hondo Hondo au tipitipi au jongoo?mtakuja ona!
Sasa Mwacheni Roma Afagilie Bongo,Arusha,Mwanza,Kenya,Uganda na Zanzibar ili Kiama(mwisho wa siku) tutajua Yule Ni Roho,Mtume,Yesu au Mungu.
Mnataka atoe Majibu( Nchi Hi Ni Tamu) Sana Ila bado hatujaifanya mti ule wa Uzima yaani Mganga apate dawa,Ndege Makazi, na Muda ukifika tutaelewa kumbe Black Uhuru Ni group la reggae tangu 1978 Hadi leo na Busy Signal kaandika Mda kuhusu Free up,Time 1 done lakini bado time 2 ya Time will tell ya Bob Marley. Mwacheni Roma Mteule wa Hip hop AFagilie Bongo(kirimanjaro ingojewayo na Luck dube- freedom fighter) kwa mstakabali wa wote waafrika na waipendao Afrika,Kwa Rositokinte na Nembo yetu,Humo tutarejea na kwa Mahershalal12.Whom can Stop Reggae?
kwa Uzushi wao kiba akaja na Sumu South Sudani,Wajipime walivyokuwa dhahiri si kwangu tu Hata na kwa Wengine wale waliokuwa na Umarioo(kila siku macho Juu kulilia penzi),Nilikuwa Kama kinda lililokosa mama.Tumo ndani ya Milima ya Michirizi mieusi, Miekundu na mieupe ambamo ndani yake Kuna maji,Sisi si visima, Tutasomana.Humo tutakula,Tunda zake,Thom Zake,Kalo Zake,Ngulirose Zake,Kili Zake,Feri zake,Nasa zake na pacha yake.Kefa mdudu yake kama siyo mbuyu twitwe yake na Umansiro wake huyo mbuyu wake,Basi ipo faraja kuu yaja Nyamikoma,Ramadi,Busega,Bunda,Majita,Ilemela,Nyashana,Geita NASA Jineli,Misungwi,Kwimba na Area C dodoma , Afrika,Asia,Ulaya na Kote,Imeshuka ndani ya mlima Mkuu wa Imani ya Jana leo na Hata milele,humo Njooni pamoja kwa shangwe na furaha na kumtolea Bwana sadaka iliyo ya pekee.
Ngoma iwe Yenu tu wa leo?Ninyi si mitaji ya wajukuu wenu, kumbe Hata ya Kesho( muwa) ipo na Mda ukifika mtakubali kiaina Kama Chid benzi wa Dar stand up Kama siyo Rose mtoto miaka Tisa,ee Mhando-Mwimbieni Bwana Wimbo Mpya ole huu wa pili Katika sita ya pili ila zipo tatu na baada ya siku tatu unusu Basi Mkatoliki Huyu aitwe atakavyo kwa wenye Mazingatio, Ikulu Ina Milango nane Hapo Chini na Saba za nguvu zinawakilishwa na Mtu wa Saba wa nguvu afu wa nane Ni wa kusawazisha tu.Urefu wa warefu Ni mti wa mkuyu ulioanza Kama mchicha,na kila Mchawi na mbuyu wake,mchicha huu muukanyagao leo mtakuja Ona,Imara milele kwa kutikisika kwa Kanisa kuu kwa Mda.Bariadi,Meatu,Kibiti,Mohoro,Migoli,na Mashariki ya wote Ni Simiyu ys Afrika Mashariki.
Atakuja Kama Alivyosema,Yawepo Mapenzi ya Baba yake Kwanza.Kikubwa Imani,Tusichoke Kuomba Mungu Mimi na Wewe,Tukeshe Basi pasipo kukoma.
Baada ya Siku tatu unusu,Muulizane yaliyosemwa Yalitokea au hayakutokea?Rejeni Kwa Mungu Wenu hasa hasa asiyeweza kuwabagua kwa Sura wa Tabia zenu,Huyu mnamjua Shabani Robert, nyinyi wakusadikika na kina Adili na Nduguze,Sura ata mbuzi Anayo kikubwa dua,Umeona, Mapenzi ya Mungu yatimizwe.Kabita,Nyamatembe,Mwabasabi,Badugu,Kisolya na Madaba Ni Kuiona Tanzania Ni moja Ya Nchi muhimu ya Marejeo ya wote wa duniani vizazi na vizazi.
Msihukumu,Msije mkahukumiwa,maana Akili Ni kipawa Cha Mungu,Kwa hiyo Mambo Mengi yamefungwa kimbayuwayu ili kila Mtu apate chake,Shilingi yaua Pesa Maua,Iweni Kama Kasuku Mwana anachopata kinamtosha.
Duniani upo Uongo na kweli na hudumu hivo ila mwisho Uongo hujitenga,vitu havitengamani linapokuja suala la maisha ya Watu.Yaliyopità si ndwele tugange yajayo,Wahenga waliona mpaka mwisho kuitafta kesho tena,Basi Akili za mbayuwayu ndizo zilizotumiwa kuyafanya maisha yaende,Kazi iendelee,Basi usiishie hizo tu Changanya na zako.Kona,Selya,Isadukilo,Mwabasabi,Bukunu Ndo hiyo namba 7 ya magharibi Simbuko ya Mpira wa kujaza 8 ya mashariki.Huko Filimbi itapulizwa kuzigojea siku Tatu unusu bluu kwa juu kwa mwendo wa kijeshi Kiama ya mmoja Kiama ya wote.Hautakuja Usahau nakwambia!!.
Hakuna Asiyekosea ila Mwenyezi Mungu tu,Hakuna aliyejuu zaidi ya wote Ila Mungu tu,Na Mungu hajawahi Kuonekana na Yeyote yule ila Mwana pekee Ambaye Alimfunua na kumweka Kifuani kwa rehema na neema zake. Siri yake,Mtumishi wake na Majira yake,Wala Hana mtoto ila mtumwa aliyesawa na Bwana wake akijitahidi kumtii kwa kila aagizavyo.
Na Mimi Ni Nani?,ni Siri ya 2085.Basi mkumbuke miji yote ambamo mliona, Bubinza,Mwabuduli,Ichila,Sayaka,mirambi na utete watafanya miguu Yao Marejeo midomoni mwao kwa Zanzibar unguja na Pemba Zitakuwepo Milele,
Angalizo Kambarage Wa Butyama na Kenedy Kaunda Kama Mshauri aliseti majira yote ya Miaka 10 kumi,Na majira Ni Haya( Usitangulize ubaya usomapo) Daniel7;25.Bukoba,Arusha,Shinyanga,Magu,Mgumu na Ukerewe Ni Tanzania itarajiwayo kwa Marejeo ya Amani kwa Watu Wote.1985 na 2035 kuuenzi (umusa) Utangulizi wa Mjukuu wake Thomas mtoto wa Mwanae wa kike aliyeibeba ile fimbo na leo yupo Uingeleza.
Tazama Ramani Utaona Nchi Nzuri.
Mimi Ni Nani au Luck dube- Freedom fighter Kwa idhini ya Michael nikaikubali Isaya 52 baada ya kupotea kwa Habari Zangu ndani ya Miaka Miwili, nije baada ya Majuma 70 na kwa uhakika nikapokea Isaya52;7 kutoka kwa Mkuu wa viongozi wote(chifu) Huyo Huyo Kama Bangala Kule Kongo dhidi ya Wote wawe na Umoja Huko Sudani kusini kuzitafta kombe la pili la dunia Kama Siyo ole, Maombolezo na kilio Kwenye kiti Cha Mimi Ni Nani, buibui si ukomo wa Enzi ya kiti hicho au Uongo? Radi hiyo je? Hata picha hamuoni,Hamtakaa msahau, Cha Mtu Sumu,Japo la Mtu Sumu.
Nileteeni Watu Wasioweza kujua Reggae Kama Siyo Strong.
Na All over ni yote imekwisha.Za mbayuwayu Ni za kuambiwa Basi wewe tumia na zako ndugu,Na Happ leo Ndo Ari mpya,Nguvu mpya na Kasi mpya ili tukayapate Maendeleo ya Kweli.Hamtakaa msahau Nawaambia,Mimi Ni Nani Siri ya 2085.