Tetesi: Mido Inkamu Kenya: Mgomo mkubwa wa wahudumu wa afya kufanyika

Kupeleka watu 71,000 mtaani kwa kuwabambikizia mambo ya ovyoo ilhali ukweli ni matatizo ya kiuchumi serikali kushindwa kukimu, dah nyie huvunja rekodi, yaani mwanzoni nilidhani nimeskia vibaya 71....kumbe 71,000 yaani umaskini ni laana.
Kufutwa kazi kutokana na changamoto za kiuchumi ni kitu cha kawaida, nimekuambia hutendeka hata kwenye nchi tajiri zaidi yenu mara 1,000 sembuse shithole maskini kama nyie ambapo wengi wenu asilimia 70% mnaishi kwa kiwango cha chini cha umaskini.
Hawakuwa wanataka kazi ndio maana walikuwa wanafanya vitu vya ajabu,
Ni kawaida yako sana kutumia nguvu kutetea ujinga hususan pale ukigundua umepapaswa penyewe,
Tunaishi kwenye umasikini lakini cha ajabu huwezi ona ama kusikia tukipewa misaada ya chakula karne hii kwa sababu hatuna uzembe wa kijinga kama nyie failed state,
Toka huu mwaka uanze huko kenya ni mwendo wa wafanyakazi kufutwa kazi, makampuni kufungwa, ajira mmesitisha yaani ni hatari, number kubwa ya wasio kuwa na kazi, vijana wamekata tamaa za maisha.
 
Kenya mnafeli wapi? Kila kukicha migomo. Ona sasa wahudumu wa afya kulianzisha Jumatatu ya tarehe 4, November, 2019.
Wameapa hakuna kitakacho wazuia.

View attachment 1251283
Kwenu hakuna mgomo unaweza tokea watu watapigwa risasi kiakwilina afu hamjui haki zenu Tena hata wahudumu was afya kwenu Ni kiasi kidogo mno. Ukifungua Uzi tumia akili Kwanza na ujiulize maswali Kama Haya;

Je hili linaweza tokea Nchi ya Dictatorship?
Je mishahara ya wahudumu wetu was afya ukilinganisha na ya Wakenya inatoshana?
Mbona Niko obsessed na Kenya hivi Kama sio kuipenda Ni wivu?
 
Kwenu hakuna mgomo unaweza tokea watu watapigwa risasi kiakwilina afu hamjui haki zenu Tena hata wahudumu was afya kwenu Ni kiasi kidogo mno. Ukifungua Uzi tumia akili Kwanza na ujiulize maswali Kama Haya;

Je hili linaweza tokea Nchi ya Dictatorship?
Je mishahara ya wahudumu wetu was afya ukilinganisha na ya Wakenya inatoshana?
Mbona Niko obsessed na Kenya hivi Kama sio kuipenda Ni wivu?

Aha ha ha
Umesahau kilichowatokea wale waliokwenda jkia kumlaki baba Raila.
 
Kesho ndiyo kesho, kulingana na rais wa chama cha madaktari.
 
Kenya mnafeli wapi? Kila kukicha migomo. Ona sasa wahudumu wa afya kulianzisha Jumatatu ya tarehe 4, November, 2019.
Wameapa hakuna kitakacho wazuia.

View attachment 1251283
Kumbe u watch this shitty low quality channel? ITV!😂😂😂 I tried once, mko down deadly!

Then industrial strikes zinafanyika kwa nchi zinazojitambua, upcoming, advanced na civilized economies, wananchi wanajua haki yao na mkataba walio kubaliana na muajiri. Backward Communist and dictatorial regimes kama China, North Korea na Tanzania, hili haliwezi tokea ila raiya wanafanyishwa kazi kama punda na kunyanyaswa kimalipo! I repeat, your weak mental structure inafanya huwezi fikiria zaidi ya pua lako. Uko ovyo kila kitu😂😂😂😂
 
Nimekuambia makampuni hufuta watu, ni jambo la kawaida hata kwenye mataifa yenye uchumi mara 1,000 ya Tanzania, ila kwenu huko wanaofutwa kazi wanatimuliwa bila kulipwa, kutolewa nje nje kwa kudhulumiwa na kwa mlivyo waoga na wazembe mnaishia kupiga kimya.

Kufutw kazi mnafutwa tu, TANROAD wamefutwa 71,000


Nimekuambia makampuni hufuta watu, ni jambo la kawaida hata kwenye mataifa yenye uchumi mara 1,000 ya Tanzania, ila kwenu huko wanaofutwa kazi wanatimuliwa bila kulipwa, kutolewa nje nje kwa kudhulumiwa na kwa mlivyo waoga na wazembe mnaishia kupiga kimya.

Kufutw kazi mnafutwa tu, TANROAD wamefutwa 71,000


Tanzania ni wapumbavu kweli, wazembe kupindukia,kabla ya kukurupuka hawafanyi utafiti, wako peke yao kwa kutoshiriki industrial strikes, ndio maana wataendelea kutajwa nchi iliyo jaa masikini wa kutupwa karne hii!😂😂😂

Examples of industrial strikes in developed countries and emerging ecinomies;

Germany
Thousands of members of the metals and engineering union have walked out in one-day "warning strikes" between Tuesday and Friday. They were the union's first such strikes in 34 years.

Among the companies affected are Porsche and Daimler, which produces Mercedes-Benz cars.
The dispute comes down to two main points.
Firstly, the union wants a pay rise of 8% for its staff over the next 27 months. Employers have offered a 6.8% increase.
Secondly, it also wants:
  • companies to let workers have the option of cutting their weekly hours from 35 to 28, to allow them to look after their children or elderly or sick relatives
  • the same option for those shift workers who do more dangerous work
  • a guarantee that those workers can return to full-time work after two years
  • a guarantee that those workers are still paid the same even if they reduce their hours
IG Metall chief Joerg Hofmann said: "We need pay to be subsidised, so that children, caring for family and health don't depend on how much you have in your wallet."
But Oliver Zander, of metals industry federation Gesamtmetall, disagrees. "The basic principle that whoever works less also earns less, must continue to apply," he told Die Welt. "We can not shake it."

Strikes in the US (clik on the link)


Italy
3 Oct 2020 | 05:25 AM UTC

Italy: Transport strike expected October 22-23​

Transport strike expected throughout Italy on October 22-23; confirm travel itineraries​

TIMEFRAME expected from 10/13/2020, 12:00 AM until 10/24/2020, 11:59 PM (Europe/Rome).COUNTRY/REGION
Italy

Warning Transportation Italy
Italian transport unions are expected to go on strike between Thursday and Friday, October 22 to 23, with a general strike affecting planes, trains, and metropolitan public transportation nationwide. The strike, which will commence at 21:00 (local time) on October 22, is to last for 24 hours. Workers in public and private transportation companies are expected to take part. Train services are expected to be severely affected, although guaranteed services will be available at rush hour, between 06:00 and 09:00 and 18:00 and 21:00. An aviation sector strike is also expected between 00:01 and 23:59 on October 23. The strike is being organized by the Unitary Base Confederation (CUB), which is demanding better working conditions for those in the transport industry.

Tanzania bado wako porini
 
Kwa akili punguani ya watanzania wengi humu kenyan news section, masikini wa kutupwaTanzania iko ahead of South Africa pia na GDP, wao wako vizuri hawana industrial strikes😂😂😂😂

South Africa pia ni uchumi wa kwenye makaratasi kwa akili za watanzania😂😂😂😂
👇👇👇👇 not in Tanzani

Another major strike planned for South Africa
Staff Writer26 August 2020
The Congress of South African Trade Unions (Cosatu) says it will begin mobilising for major strike action in the first week of October.
The trade federation plans to go on a general strike on 7 OctoberReuters reports, with the protest focusing on corruption and perceived inaction by the government.
Cosatu’s general secretary Bheki Ntshalintshali said that the federation wants president Cyril Ramaphosa to speed up prosecutions of corrupt individuals.
“He (Ramaphosa) must stop negotiating with criminals and use the only language that they will understand which is prosecution and sentencing,” Ntshalintshali said.

Cosatu is the largest trade federation in the country with an estimated membership of 1.8 million workers.

#COSATU CEC declares: All workers and COSATU unions should fight back and go on strikes against employers undermining collective bargaining. We have the freedoms and rights to defend@TreasuryRSA@deptoflabour@UpdateAtNoon#JoinCOSATUNowpic.twitter.com/cYLYhkzkaC
— @COSATU Today (@_cosatu) August 26, 2020


Health workers strike
Congress of South African Trade Unions (Cosatu) has also pledged support to National Education, Health and Allied Workers’ Union (Nehawu) which is also planning industrial action.
On Monday (24 August), the Labour Court ruled that the strike action at the National Health Laboratory Service (NHLS) this week is unlawful and in breach of the relevant provisions of the Labour Relations Act.
The union had planned to go on strike on Tuesday, 25 August, over what it has termed as a breakdown in salary negotiations and provisioning of personal protective equipment amongst other issues.

Nehawu’s membership base exceeds 240,000 people, making it the largest public-sector union in the country.
The union has committed to a ‘day of mass action’ on 3 September, where memorandums will be handed over to senior government officials.
Cosatu spokesperson Sizwe Pamla has previously said that union has the federation’s blessings and support for its planned mass action next month. “We want public servants to go on a full-blown strike,” he said.
Pamla stated that the government is not acting as though there is a crisis in the country with public servants contracting and succumbing to the deadly coronavirus.
He warned that if the government does not meet Nehawu’s demands by 10 September, the union will completely withdraw its labour.
More to come
The issue of governmental wage increases is also likely to take centre stage in the coming months as restrictions around the coronavirus pandemic are eased.
Public wages are set through bargaining with unions and agreements stay in force for three years. The current agreement is in place until March 2021.
However, in February government asked to review the last leg of a three-year pay agreement because it said it couldn’t afford it.
The coronavirus pandemic has further exacerbated the country’s financial problems with unions and government now set for a showdown.
National Treasury plans on cutting R160 billion from the public sector wage bill over the next three years – a position that has been met with opposition from public sector trade unions.

Read: South African Covid-19 relief payouts halted amid investigation

Subscribe

Must Read​

Eskom has cut 2,000 jobs in 10 months – with more to come

The Reserve Bank has just sent a major warning about South Africa's debt.​

 

Attachments

  • 1606247792240.gif
    1606247792240.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1606247795660.gif
    1606247795660.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1606247798732.gif
    1606247798732.gif
    42 bytes · Views: 1
eliakeem hauna pa kutokea this time round, kila siku unaendelea kudhihirisha ulivyo na weak mental structure, huwezi fikiria zaidi ya pua lako😂😂😂 yale mambo macho yako ya naona ndio basi!😂😂

Umeshikwa na ugonjwa wa ichoboy01 syndrome, ilio ambukiza The best 007 na Naton Jr😂😂😂😂😂., unajaribu kutetetea maiti (Tanzania-dead state)😂😂 sasa next fungua thread ya Kibera tutakusaidia kuchangia pia😂😂
 
Nchi yenyewe wanayoigomea imeonesha kila dalili ya hali mbaya ya kiuchumi, kitendo cha kusitisha ajira kwa miaka kadhaa ni hali ngumu ya kiuchumi
Alafu bado 2020 mnatajwa hapa👇👇👇👇 na mmeongeza idadi na kuipiku Ethiopia, CCM imewaficha mengi, imefaulu kwa "danganya toto jinga za Tanzania, numbers never lie 😂😂😂 Kenya iko na vibrant private sector, sio tu serikali. Sasa mmeipiku SA? na USA ya Trump? Taarifa zao ni negative, SA growing negative (uchumi za kwenye makaratasi, ya Tanzania ni ya uji)
2618860_PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
Alafu bado 2020 mnatajwa hapa👇👇👇👇 na mmeongeza idadi na kuipiku Ethiopia, CCM imewaficha mengi, imefaulu kwa "danganya toto jinga za Tanzania, numbers never lie 😂😂😂 Kenya iko na vibrant private sector, sio tu serikali. Sasa mmeipiku SA? na USA ya Trump? Taarifa zao ni negative, SA growing negative (uchumi za kwenye makaratasi, ya Tanzania ni ya uji)
View attachment 1634165
25 million Kenyans out of 44 million are struggling in the pool of poverty
Screenshot_20200813-071858~2.png
 
Tanzania ni wapumbavu kweli, wazembe kupindukia,kabla ya kukurupuka hawafanyi utafiti, wako peke yao kwa kutoshiriki industrial strikes, ndio maana wataendelea kutajwa nchi iliyo jaa masikini wa kutupwa karne hii!😂😂😂

Examples of industrial strikes in developed countries and emerging ecinomies;

Germany
Thousands of members of the metals and engineering union have walked out in one-day "warning strikes" between Tuesday and Friday. They were the union's first such strikes in 34 years.

Among the companies affected are Porsche and Daimler, which produces Mercedes-Benz cars.
The dispute comes down to two main points.
Firstly, the union wants a pay rise of 8% for its staff over the next 27 months. Employers have offered a 6.8% increase.
Secondly, it also wants:
  • companies to let workers have the option of cutting their weekly hours from 35 to 28, to allow them to look after their children or elderly or sick relatives
  • the same option for those shift workers who do more dangerous work
  • a guarantee that those workers can return to full-time work after two years
  • a guarantee that those workers are still paid the same even if they reduce their hours
IG Metall chief Joerg Hofmann said: "We need pay to be subsidised, so that children, caring for family and health don't depend on how much you have in your wallet."
But Oliver Zander, of metals industry federation Gesamtmetall, disagrees. "The basic principle that whoever works less also earns less, must continue to apply," he told Die Welt. "We can not shake it."

Strikes in the US (clik on the link)


Italy
3 Oct 2020 | 05:25 AM UTC

Italy: Transport strike expected October 22-23​

Transport strike expected throughout Italy on October 22-23; confirm travel itineraries​

TIMEFRAME expected from 10/13/2020, 12:00 AM until 10/24/2020, 11:59 PM (Europe/Rome).COUNTRY/REGION
Italy

Warning Transportation Italy
Italian transport unions are expected to go on strike between Thursday and Friday, October 22 to 23, with a general strike affecting planes, trains, and metropolitan public transportation nationwide. The strike, which will commence at 21:00 (local time) on October 22, is to last for 24 hours. Workers in public and private transportation companies are expected to take part. Train services are expected to be severely affected, although guaranteed services will be available at rush hour, between 06:00 and 09:00 and 18:00 and 21:00. An aviation sector strike is also expected between 00:01 and 23:59 on October 23. The strike is being organized by the Unitary Base Confederation (CUB), which is demanding better working conditions for those in the transport industry.

Tanzania bado wako porini

Sindano imefika kwa mfupa.
Wenzako nchi za ukweli, wanagoma after a reasonable period of time. Sasa nyie wahudumu wenu wanagoma kila juma.
What a failed state.

Source BBC. swahili.
Nenda dk 12:15 ya hiyo video.

 
Sindano imefika kwa mfupa.
Wenzako nchi za ukweli, wanagoma after a reasonable period of time. Sasa nyie wahudumu wenu wanagoma kila juma.
What a failed state.

Source BBC. swahili.
Nenda dk 12:15 ya hiyo video.

Freedom of capitalism vs bondage ya socialism/communism. If you know you know.
 
25 million Kenyans out of 44 million are struggling in the pool of poverty View attachment 1634262
Tanzania 28 million extremely poor less than 0.99$!, na kwa kigezo cha 1.9$ mtakua 90%., World Bank ni wasema ukweli kama mlikubali nyie mido income WB walivyo wataja, kubali maoni yao ya hali yenu wacha kutapatapa na Kenya. Shughulikia hali yenu.
 
Freedom of capitalism vs bondage ya socialism/communism. If you know you know.

Sindano ikiingia kwa mfupa, words are starting to get out themselves.
😃😀😁
It is better to rename your country to Republic of Migomo.
Teh teh tihii
 
swali muhimu praise team wanafaa kujiuliza hawa walimu madaktari na wafanyikazi wa serikali wanaogoma wanalipwa ngapi compared to CCM republic? karibu mara tatu..
na mbona wafanyikazi wa ccm republic hawana uwezo wa kujitetea ili waongezewe mshahara na mazingira ya kufanya kazi iimarishwe
 
swali muhimu praise team wanafaa kujiuliza hawa walimu madaktari na wafanyikazi wa serikali wanaogoma wanalipwa ngapi compared to CCM republic? karibu mara tatu..
na mbona wafanyikazi wa ccm republic hawana uwezo wa kujitetea ili waongezewe mshahara na mazingira ya kufanya kazi iimarishwe
Hahahaha hoja yako nzuri kweli ila umesahau tu kwamba gharama za maisha Kenya ni ghali mara 5 kwa Tanzania, 1000 huko Kenya is almost buying nothing ila Tanzania ni pesa nyingi sana.
 
Back
Top Bottom