Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,868
- 3,586
Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- Hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto
- Vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- Madogo na mamazao bado wanatugemea
- Au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
- Hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto
- Vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- Madogo na mamazao bado wanatugemea
- Au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa