Mh. Saada Mkuya aja tena na swali la KIBAGUZI

Wahenga walisema "Dai haki yako uonekane mbaya" ndio tunasikieni eti mbaguzi mara mtasema mdini mara huyo ni sawa na mpinzani. Ni haki yake mwacheni atoe mawazo yake kama sheria inavyomruhusu
Haya yote mbona hakuyasema Wakat yy waziri ni hasira tu za kukosa cheo
 



Kwenu nyinyi sura ya muungano ni kupendelewa?
Msipo pendelewa hakuna suna sura ya muungano, si ndio?

Usawa jomba.....sio kupendelewa ....bali kujipendelea kwa tanganyika.
Ungejiuliza ile wizara ya Makamba ya Muungano ina Wazanzibari wangapi ? =zero
Hali ya hewa=zero
ATC=zero
Mambo ya Nje=zero, balozi =1
Mambo ya ndani = zero
VAT zanzibar inakuja Tanganyika
Kodi za Simu Zote ikiwamo vat na miamala hata zitumikazo Zanzibar zote Tanganyika wanachukua
VAT za bima hata kwa bima za zanzibar zote Tanganyika wanachukua..hizi pekee ni 5billion kwa mwezi
Visa fees zote Tanganyika....zanzibar inapokea wageni watalii 300,000 kwa mwaka haiambilii kitu kwemye visa
Leseni za Banks zote tanganyika na kodi za miamala zote tanganyika
Shiling ikiporomoka sababu tanganyika..zanzibar waumie tu wao bila fidia...nk nk nk
Sasa huu muungano ZIMWI
 
Usawa jomba.....sio kupendelewa ....bali kujipendelea kwa tanganyika.
Ungejiuliza ile wizara ya Makamba ya Muungano ina Wazanzibari wangapi ? =zero
Hali ya hewa=zero
ATC=zero
Mambo ya Nje=zero, balozi =1
Mambo ya ndani = zero
VAT zanzibar inakuja Tanganyika
Kodi za Simu Zote ikiwamo vat na miamala hata zitumikazo Zanzibar zote Tanganyika wanachukua
VAT za bima hata kwa bima za zanzibar zote Tanganyika wanachukua..hizi pekee ni 5billion kwa mwezi
Visa fees zote Tanganyika....zanzibar inapokea wageni watalii 300,000 kwa mwaka haiambilii kitu kwemye visa
Leseni za Banks zote tanganyika na kodi za miamala zote tanganyika
Shiling ikiporomoka sababu tanganyika..zanzibar waumie tu wao bila fidia...nk nk nk
Sasa huu muungano ZIMWI

Huo usawa ni kwenye kunuifaika tu?
Mngekuwa mnapenda usawa mnge changia basi na gharama za kuendesha muungano
 
Wewe kipofu hujui kusoma hapo juu tunavo changia bila faids
Hakuna cha maana ulicho andika
Kwa taarifa yako mapato yote yanayo kusanywa Zanzibar hubaki hapo hapo Zanzibar (wana chukua SMZ)
 
Kama ni kawatu kadogo kama millioni mbona mnakangangania
Tupeni zanzibar yetu
Muone kama hamjakuja kutalii
Na kuosha macho
Itakuwa kama dubai
Avater yako inakuelezea mkuu. endelea kuwaza hivo hivo
 

Hakuna cha maana ulicho andika
Kwa taarifa yako mapato yote yanayo kusanywa Zanzibar hubaki hapo hapo Zanzibar (wana chukua SMZ)
Sio kweli
Visa ni moja tu...
Pili kodi za simu hakuna mgao
Bima zinakatwa bara vat inalipwa bara
Vat ambayo iko wazi ni ya custom tu pekee
Tunachangia sana kupata hamna cha maana zaidi kutuwekea puppets
 
Angekuwa Sada Mkuya anajibiwa na Sizonje, angeambiwa: "Zanzibar mna nini nyie, kwanza mkafie mbere. Na mkileta fyoko fyoko, navunja muungano". Hahahahaha
 
Sio kweli
Visa ni moja tu...
Pili kodi za simu hakuna mgao
Bima zinakatwa bara vat inalipwa bara
Vat ambayo iko wazi ni ya custom tu pekee
Tunachangia sana kupata hamna cha maana zaidi kutuwekea puppets


Zote hizo hurudishwa Zanzibar kwa njia ya kuisaidia bajeti ya SMZ

Zanzibar ni free rider
 
dhambi ya ubaguzi haimwachi mtu salama


Ndio neno linalowatisha Watanzania, mbaguzi, mpaka tunashindwa ku solve hili kongwa la Nyerere alilotuachia.

Suala la Muungano ndio the third rail of Tanzanian politics, ukiligusa vibaya tu umegusa waya wa treni za umeme, third rail, unapigwa na shoti unakauka hapo hapo.

So, most people choose to play it safe, wanasema maneno chanya, malaini, ya kuhadaa, sisi wamoja, toka enzi na enzi, tume solve headaches za Muungano imebaki moja, tuna faida ya kuoa na kuoleana, marashi ya Pemba na karafuu. Such simple-minded hogwash.

Waziri wa Muungano January Makamba alipokuja JF kujibu maswali yetu nae aliongea kwa lugha nyepesi nyepesi, kwa woga na kujihami, akasema kuongelea Muungano hapendi, inambidi awe makini sana, akili yako na utu uzima wako unapimwa na suala hili, hayuko comfortable kama kuongelea maganda ya ndizi yaliyotapakaa kwenye fukwe na kingo za mito.

Waoga, hawana uzalendo, wanalinda ajira zao. Ndo maana siku zote wanaongelea benefits of the Union. Hakuna kiongozi nchi hii anathubutu kupanda jukwaani kujadili cost and benefits of the Union. Atapigwa na shoti ya umeme atakaangwa hapo hapo!

Upinzani wanajaribu, the more courageous of them ni Tundu Lissu kwenye hotuba zake za Waziri Kivuli mara moja kwa mwaka, lakini nae akichafua hali ya hewa lazima akimbilie marashi, anaenda visiwani kuwa placate Wazanzibar. Jana ilikuwa zamu ya kukaangwa Saada Mkuya. Siku C.C.M. ikiondoka madarakani inaweza kuwa zamu ya kukaangwa Muungano.
 
Ni wiki iliyopita tu toka Mh. Saada Mkuya kuwasilisha hoja ya Zanzibar kutokuwepo na kutokuhusishwa kwenye mpango wa taifa wa maendeleo, na kutokea kuzongwa zongwa na Waheshimiwa wenzake...
Yaonekana hakujifunza wala nini, leo kaja na swali la KIBAGUZI lililomfanya Mh. Mbarawa kustuka, kuhamaki na kumuwakia Mh. Saada Mkuya kwa kuleta mambo ya kibaguzi, kukosa utaifa na weledi kama kiongozi wa zamani wa dola..
Imesikitisha wengi na kudiriki kusema Mh. Saada Mkuya, labda anawasilisha mawazo na fikra za Pemba vijijini au story za vijiweni pale Zanzibar Darajani!
Wanabodi karibu kujadili bila matusi wala hamaki..
PROF MBARAWA AMSHUKIA SAADA MKUYA BUNGENI via YouTube

Zanzibar Kuna ubaguzi waziwazi hata kwenye sherehe za huko hunekana kati ya CCM na CUF.
 
Usawa jomba.....sio kupendelewa ....bali kujipendelea kwa tanganyika.
Ungejiuliza ile wizara ya Makamba ya Muungano ina Wazanzibari wangapi ? =zero
Hali ya hewa=zero
ATC=zero
Mambo ya Nje=zero, balozi =1
Mambo ya ndani = zero
VAT zanzibar inakuja Tanganyika
Kodi za Simu Zote ikiwamo vat na miamala hata zitumikazo Zanzibar zote Tanganyika wanachukua
VAT za bima hata kwa bima za zanzibar zote Tanganyika wanachukua..hizi pekee ni 5billion kwa mwezi
Visa fees zote Tanganyika....zanzibar inapokea wageni watalii 300,000 kwa mwaka haiambilii kitu kwemye visa
Leseni za Banks zote tanganyika na kodi za miamala zote tanganyika
Shiling ikiporomoka sababu tanganyika..zanzibar waumie tu wao bila fidia...nk nk nk
Sasa huu muungano ZIMWI


Kwani Massauni anatoka Njombe?
 
Kwani Massauni anatoka Njombe?
Hana data za kutosha huyu, wale wale wanapayuka bila utafiti, akiletewa data sijuwi atasemaje, akumbuke, swala ni uwezo na kufaa kufanya kazi yoyote na sio Uzanzibari au Utanganyika..bado mazuzu wanataka kuturudisha nyuma..
 
Back
Top Bottom