Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,190
- 6,527
Atusomee wote au ulimwandikia yeye tu?DM haitoshi?Huna kifua au hauna siri?
Kwa hiyo unamaanisha hajui kutumia simu na kompyuta yake kwamba hatoona hadi umuandikie uzi rasmi?Leo nimeamka na nongwa tu.😎Nisingekuwa na Siri nikiyoandika huko ningeyaweka hapa. Wasaidizi wake, ndugu na wenye namba yake wakiona Uzi watakopi link nakumtumia ili ajue Kuna ujumbe wake muhimu.
Hayawezi kuisha hivihivi mpaka unieleweshe.Boss yaishe. Asante Kwa kunielewesha.
Aache u-marioo!Vijana wa hovyo hawa, unaweza kukuta kaomba mchezo wa kirafiki
Kuna wakati namba yake aliiweka humu kwenye uzi wa kuasili watotoNisingekuwa na Siri nikiyoandika huko ningeyaweka hapa. Wasaidizi wake, ndugu na wenye namba yake wakiona Uzi watakopi link nakumtumia ili ajue Kuna ujumbe wake muhimu.
Kwamba hakukuwa na ulazima wa kuanzisha uzi!Kuna wakati namba yake aliiweka humu kwenye uzi wa kuasili watoto
Kama alternative B ya kumfikishia ujumbe kwa harakaKwamba hakukuwa na ulazima wa kuanzisha uzi!
Hapa kijijini kwetu tunaita kipwipwili/haraka ya muitikio wa jambo.Kama alternative B ya kumfikishia ujumbe kwa haraka
Habari za asubuhi, naenda kusoma ila sina hakika nitajuaje kama huo ndiyo wako? Unaweza nitumia sms kwenye 0765345777 pia copy 0734124191 tafadhali. Shukrani.
Big up sana Waziri! Mwenyezi Mungu akubariki.Habari za asubuhi, naenda kusoma ila sina hakika nitajuaje kama huo ndiyo wako? Unaweza nitumia sms kwenye 0765345777 pia copy 0734124191 tafadhali. Shukrani.
Kuna wakati namba yake aliiweka humu kwenye uzi wa kuasili watoto
Comment yako inatusaidia nini?👆 Waziri amejibu kwa haraka na ameweka namba yake na tatizo linakwenda kushughulikiwa 👇 ni vema tujifunze kujengana siyo kukatishana tamaaHapa kijijini kwetu tunaita kipwipwili/haraka ya muitikio wa jambo.
Huyo Waziri yupo sharp sana,atakusoma
Habari za asubuhi, naenda kusoma ila sina hakika nitajuaje kama huo ndiyo wako? Unaweza nitumia sms kwenye 0765345777 pia copy 0734124191 tafadhali. Shukrani.
Mwenyezi Mungu akupe afya njema uzidi kuwatumikia wa Tanzania, hakika wewe ni mzalendo wa kweli,
Na sisi tuambieni kinachoendelea ili tushiriki mjadala wenu,kama mmeamua kuuleta humu Jf!!Ni ujumbe huo. Asante Kwa kuja, Mungu akuzidishie ulinzi wa malaika wake. Dominika njema.