Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,470
kwanza kaitwa na kaitikia wito, hata Polisi wangemuita angeenda.Du naona wana JF tumeshamhukumu Mr. Msama,tuangalie upande wa pili wa coin,je waziri kumpeleka suspect police ametumia sheria gani?,je suspect amefunguliwa docket police?je police wameshafanya uchunguzi na kuthibitisha tuhuma dhidi ya suspect?ni vema kama nchi tukaanza kuishi kisheria sio mihemko ya kisiasa,sasa huyu anatakiwa apelekwe kwa court within 48 hrs je police wana kesi dhidi yake?,KATIBA mpya ni muhimu maana walalamikaji wangeweza kwenda kwa PP kutoa malalamiko yao kama police haikuwasikiliza,kitendo hiki cha waziri kwangu ni NO na udhalilishaji,huwezi kumtoa suspect hadharani kabla ya kupanda kwa court
Jeri kafanikisha lengo la kumdhalilisha jamaa.