Mfahamu malkia Victoria wa Uingereza

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,899
155,954
1713292994888.jpg


Ukimtoa Malkia Elizabeth II basi hakuna kiongozi mwengine wa kifalme aliyeiongoza uingereza kwa miaka mingi zaidi kumzidi Malkia Victoria kwa miaka 64 ....Ndio malkia Victoria ndio jina Lake limepewa ziwa la Victoria linalopatikana hapa afrika ya mashariki ....jina lake kamili aliitwa Alexandrina Victoria

Malkia Victoria aliipigisha hatua kubwa himaya ya Uingereza katika nyanja mbali mbali kuanzia kisiasa, kiuchumi, na kijamii

- Alianza kutawala mwaka 1837 akiwa na miaka 18 ambapo alirithi uongozi kutoka kwa mjomba wake William IV.

- Alikuwa na uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja kingereza, kijerumani, kilatini, kifaransa, kihindi, na kiitalia

-Katika utawala wake ndio miti ya Christmas ilivyopata umaarufu
-Ni mama wa watoto 9 aliozaa na mume wake mwana wa mfalme Albert watoto hao ni Victoria, Edward, Alice, Alfred, Helena, Louise, Arthur, Leopold and Beatrice.

- Katika utawala wake ndio mapinduzi ya viwanda yalivyopata kasi zaidi ... Haya mapinduzi ya viwanda ni mojawapo ya sababu iliyoifanya uingereza kuwa hapo ilipo sasa... Kwa sababu kupitia mapinduzi hayo maisha ya watu wa uingereza yaliboreka zaidi kwan makampuni yalitengenezewA mazingira ya kuwalipa vyema wafanyakazi wao na pia kuwapa huduma muhimu kama shule na makazi

-Alinusurika idadi kubwa ya majaribio yakuuwawa Zaidi ya majaribio 8 ya kuuwawa

- Chini ya utawala wake aliweza kuitanua himaya yake sehemu mbalimbali duniani kama Australia, New Zealand, Canada, South Africa and India.

- Ni katika utawala wake ndio aliboresha mifumo ya elimu na kusitisha biashara ya utumwa

-Ni katika utawala wake walifanya marekebisho mengi ya sheria yakiwemo ya kibiashara... Yaliyoweza kuwapa nguvu wafanya biashara wa kiingereza kufanya biashara kimataifa huku wakiwa wanalindwa na sheria

-Kwenye utawala wake ndio aliboresha miundo mbinu ya uingereza ikiwemo reli na meli pia mawasiliano yaliboreshwa kama simu, telegraph hata picha pia

Kiukweli amefanya mambo mengi
 
Kwenye utawala wake, kuna wakati alihaha sana.
Wavuvi walileta ugonjwa ambao haujulikani, ugonjwa mgeni kabisa.
Wakauita "Victorian Disease" kwakuwa walikuwa hawaujui na umekuja ktk utawala wake.
Kumbe ugonjwa wenyewe ndo ukagundulika ni KIPINDUPINDU.
Cholera
 
Wakati huo malkia alikuwa mtendaji? Najua waziri mkuu ndiye anaeongoza serikali. Nani alikuwa waziri mkuu wakati huo?
 
View attachment 2965705




Ukimtoa Malkia Elizabeth II basi hakuna kiongozi mwengine wa kifalme aliyeiongoza uingereza kwa miaka mingi zaidi kumzidi Malkia Victoria kwa miaka 64 ....Ndio malkia Victoria ndio jina Lake limepewa ziwa la Victoria linalopatikana hapa afrika ya mashariki ....jina lake kamili aliitwa Alexandrina Victoria


Malkia Victoria aliipigisha hatua kubwa himaya ya Uingereza katika nyanja mbali mbali kuanzia kisiasa, kiuchumi, na kijamii

- Alianza kutawala mwaka 1837 akiwa na miaka 18 ambapo alirithi uongozi kutoka kwa mjomba wake William IV.

- Alikuwa na uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja kingereza, kijerumani, kilatini, kifaransa, kihindi, na kiitalia

-Katika utawala wake ndio miti ya Christmas ilivyopata umaarufu
-Ni mama wa watoto 9 aliozaa na mume wake mwana wa mfalme Albert watoto hao ni Victoria, Edward, Alice, Alfred, Helena, Louise, Arthur, Leopold and Beatrice.

- Katika utawala wake ndio mapinduzi ya viwanda yalivyopata kasi zaidi ... Haya mapinduzi ya viwanda ni mojawapo ya sababu iliyoifanya uingereza kuwa hapo ilipo sasa... Kwa sababu kupitia mapinduzi hayo maisha ya watu wa uingereza yaliboreka zaidi kwan makampuni yalitengenezewA mazingira ya kuwalipa vyema wafanyakazi wao na pia kuwapa huduma muhimu kama shule na makazi

-Alinusurika idadi kubwa ya majaribio yakuuwawa Zaidi ya majaribio 8 ya kuuwawa

- Chini ya utawala wake aliweza kuitanua himaya yake sehemu mbalimbali duniani kama Australia, New Zealand, Canada, South Africa and India.

- Ni katika utawala wake ndio aliboresha mifumo ya elimu na kusitisha biashara ya utumwa

-Ni katika utawala wake walifanya marekebisho mengi ya sheria yakiwemo ya kibiashara... Yaliyoweza kuwapa nguvu wafanya biashara wa kiingereza kufanya biashara kimataifa huku wakiwa wanalindwa na sheria

-Kwenye utawala wake ndio aliboresha miundo mbinu ya uingereza ikiwemo reli na meli pia mawasiliano yaliboreshwa kama simu, telegraph hata picha pia

Kiukweli amefanya mambo mengi
Huyu malkia Victoria alikuwa na tabia ya ajabu na kibinafsi. Hakupenda kabisa kunyonyesha watoto wake. Akamwajiri kijakazi maryAnn kumnyonyeshea watoto wake. Hawavijakazi waliitwa wetnurse.

Utakuta hawa wet nurse nao wana watoto wao wa kuwanyonyesha lakini pia wanatakiwa wawanyonyeshe watoto wa royal family.

Huyu kijakazi maryAnn alikuwa na watoto saba na wengine alikuwa anawanyonyesha. Malkia Victoria akawa anampelekesha sana.

Watoto wa malkia Victoria walinawiri sana lakini wa Kijakazi maryAnn walidhoofika.

Cha kuhuzunisha maryann stress zilimzidi akaamua kuwachinja watoto wake wote na yeye kujiua kwa kisu.

Picha hapo chini ni queen Victoria na watoto wake waliokuwa wananyonyeshwa na MaryAnn.
Screenshot_20240416-231410.jpg
 
Huyu malkia Victoria alikuwa na tabia ya ajabu na kibinafsi. Hakupenda kabisa kunyonyesha watoto wake. Akamwajiri kijakazi maryAnn kumnyonyeshea watoto wake. Hawavijakazi waliitwa wetnurse.

Utakuta hawa wet nurse nao wana watoto wao wa kuwanyonyesha lakini pia wanatakiwa wawanyonyeshe watoto wa royal family.

Huyu kijakazi maryAnn alikuwa na watoto saba na wengine alikuwa anawanyonyesha. Malkia Victoria akawa anampelekesha sana.

Watoto wa malkia Victoria walinawiri sana lakini wa Kijakazi maryAnn walidhoofika.

Cha kuhuzunisha maryann stress zilimzidi akaamua kuwachinja watoto wake wote na yeye kujiua kwa kisu.

Picha hapo chini ni queen Victoria na watoto wake waliokuwa wananyonyeshwa na MaryAnn.View attachment 2965794
Duh wazungu mashetani mkuu
 
View attachment 2965705

Ukimtoa Malkia Elizabeth II basi hakuna kiongozi mwengine wa kifalme aliyeiongoza uingereza kwa miaka mingi zaidi kumzidi Malkia Victoria kwa miaka 64 ....Ndio malkia Victoria ndio jina Lake limepewa ziwa la Victoria linalopatikana hapa afrika ya mashariki ....jina lake kamili aliitwa Alexandrina Victoria

Malkia Victoria aliipigisha hatua kubwa himaya ya Uingereza katika nyanja mbali mbali kuanzia kisiasa, kiuchumi, na kijamii

- Alianza kutawala mwaka 1837 akiwa na miaka 18 ambapo alirithi uongozi kutoka kwa mjomba wake William IV.

- Alikuwa na uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja kingereza, kijerumani, kilatini, kifaransa, kihindi, na kiitalia

-Katika utawala wake ndio miti ya Christmas ilivyopata umaarufu
-Ni mama wa watoto 9 aliozaa na mume wake mwana wa mfalme Albert watoto hao ni Victoria, Edward, Alice, Alfred, Helena, Louise, Arthur, Leopold and Beatrice.

- Katika utawala wake ndio mapinduzi ya viwanda yalivyopata kasi zaidi ... Haya mapinduzi ya viwanda ni mojawapo ya sababu iliyoifanya uingereza kuwa hapo ilipo sasa... Kwa sababu kupitia mapinduzi hayo maisha ya watu wa uingereza yaliboreka zaidi kwan makampuni yalitengenezewA mazingira ya kuwalipa vyema wafanyakazi wao na pia kuwapa huduma muhimu kama shule na makazi

-Alinusurika idadi kubwa ya majaribio yakuuwawa Zaidi ya majaribio 8 ya kuuwawa

- Chini ya utawala wake aliweza kuitanua himaya yake sehemu mbalimbali duniani kama Australia, New Zealand, Canada, South Africa and India.

- Ni katika utawala wake ndio aliboresha mifumo ya elimu na kusitisha biashara ya utumwa

-Ni katika utawala wake walifanya marekebisho mengi ya sheria yakiwemo ya kibiashara... Yaliyoweza kuwapa nguvu wafanya biashara wa kiingereza kufanya biashara kimataifa huku wakiwa wanalindwa na sheria

-Kwenye utawala wake ndio aliboresha miundo mbinu ya uingereza ikiwemo reli na meli pia mawasiliano yaliboreshwa kama simu, telegraph hata picha pia

Kiukweli amefanya mambo mengi
Ana sura ya kikuda
 
View attachment 2965705

Ukimtoa Malkia Elizabeth II basi hakuna kiongozi mwengine wa kifalme aliyeiongoza uingereza kwa miaka mingi zaidi kumzidi Malkia Victoria kwa miaka 64 ....Ndio malkia Victoria ndio jina Lake limepewa ziwa la Victoria linalopatikana hapa afrika ya mashariki ....jina lake kamili aliitwa Alexandrina Victoria

Malkia Victoria aliipigisha hatua kubwa himaya ya Uingereza katika nyanja mbali mbali kuanzia kisiasa, kiuchumi, na kijamii

- Alianza kutawala mwaka 1837 akiwa na miaka 18 ambapo alirithi uongozi kutoka kwa mjomba wake William IV.

- Alikuwa na uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja kingereza, kijerumani, kilatini, kifaransa, kihindi, na kiitalia

-Katika utawala wake ndio miti ya Christmas ilivyopata umaarufu
-Ni mama wa watoto 9 aliozaa na mume wake mwana wa mfalme Albert watoto hao ni Victoria, Edward, Alice, Alfred, Helena, Louise, Arthur, Leopold and Beatrice.

- Katika utawala wake ndio mapinduzi ya viwanda yalivyopata kasi zaidi ... Haya mapinduzi ya viwanda ni mojawapo ya sababu iliyoifanya uingereza kuwa hapo ilipo sasa... Kwa sababu kupitia mapinduzi hayo maisha ya watu wa uingereza yaliboreka zaidi kwan makampuni yalitengenezewA mazingira ya kuwalipa vyema wafanyakazi wao na pia kuwapa huduma muhimu kama shule na makazi

-Alinusurika idadi kubwa ya majaribio yakuuwawa Zaidi ya majaribio 8 ya kuuwawa

- Chini ya utawala wake aliweza kuitanua himaya yake sehemu mbalimbali duniani kama Australia, New Zealand, Canada, South Africa and India.

- Ni katika utawala wake ndio aliboresha mifumo ya elimu na kusitisha biashara ya utumwa

-Ni katika utawala wake walifanya marekebisho mengi ya sheria yakiwemo ya kibiashara... Yaliyoweza kuwapa nguvu wafanya biashara wa kiingereza kufanya biashara kimataifa huku wakiwa wanalindwa na sheria

-Kwenye utawala wake ndio aliboresha miundo mbinu ya uingereza ikiwemo reli na meli pia mawasiliano yaliboreshwa kama simu, telegraph hata picha pia

Kiukweli amefanya mambo mengi
Mwanae ana saratani washaanza kujitauarisha kwa mazishi yake ndani ya miaka 3 atakuwa kafa anafuata mjukuu sasa
 
Back
Top Bottom