Mexico: Wiki moja kabla ya ziara ya Rais Biden, mtoto wa El Chapo akamatwa Mexico

Ukiangalia tamthiliya za Kifilipino unajifunza kitu katika utafutaji hela kiharamu kwa sababu fasihi ina-reflect maisha halisi ya jamii fulani

Unakuta muuza madawa ya kulevya mkubwa anamiliki vikosi vyenye silaha za kisasa, na anairithisha hadi familia yake (mke & watoto).

Kubwa zaidi anafanya kazi na viongozi wakubwa serikalini, hivyo hata akikamatwa kunakuwa na wa kumsaidia kutoka jela.

Unakuta hao kina El Chapo wanashirikiana na viongozi ndani ya serikali kwa sababu kama wanajulikana mtaa wanaoishi, kwa nini jeshi zima lisihamie hapo!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sinaloa wakikukamata kama ni snitch unakatwa kiungo kimojakimoja ukiwa hai mpaka unazimia kwa maumivu na kufa au wakikuonea huruma unachinjwa kwa chainsaw kama yule jamaa na mjomba wake.
Hii kitu ukiangalia narcos Mexico ndio imeelezewa sana..
Hizo drug cartels zina nguvu sana yaani hata Rais au mkuu wa majeshi wanachukuliwa poa

Ila natamani kungekuwa na business legit yenye cartels zenye nguvu kama hizo haswa kwa nchi zetu hizi.. Pengine wanasiasa wangepunguza kujiona ni demi gods
 
Hii kitu ukiangalia narcos Mexico ndio imeelezewa sana..
Hizo drug cartels zina nguvu sana yaani hata Rais au mkuu wa majeshi wanachukuliwa poa

Ila natamani kungekuwa na business legit yenye cartels zenye nguvu kama hizo haswa kwa nchi zetu hizi.. Pengine wanasiasa wangepunguza kujiona ni demi gods
Mbunye business
 
Hii kitu ukiangalia narcos Mexico ndio imeelezewa sana..
Hizo drug cartels zina nguvu sana yaani hata Rais au mkuu wa majeshi wanachukuliwa poa

Ila natamani kungekuwa na business legit yenye cartels zenye nguvu kama hizo haswa kwa nchi zetu hizi.. Pengine wanasiasa wangepunguza kujiona ni demi gods
Hiyo nguvu inatengenezwa kwa matukio ya kikatili sana yanayo vunja sheria na utu wa binadamu.
Ngumu kwa biashara 'legit' kutumia nguvu hizo ikabaki kuwa 'legit business'.
 
Ukamatwaji huo wa Ovidio Guzman-Lopez ambao pia umetajwa kuihusisha Marekani kumesababisha machafuko maeneo tofauti kwenye Jimbo la #Sinaloa kutoka kwa makundi ya kihalifu na kusababisha kifo kwa maafisa watatu.

Ovidio ‘The Mouse’, ndiye anaendesha biashara za dawa za kulevya na uhalifu zilizomilikiwa na baba yake ambaye anatumikia kifungo cha maisha gerezani Nchini Marekani.

Vikundi vya kihalifu vimefunga barabara, kushambulia magari na viwanja nya ndege na kusababisha zaidi ya safari 100 za ndege kusitishwa maeneo ya Sinaloa.

Wiki ijayo, Rais wa Marekani, Joe Biden anatarajiwa kutua Mexico kushiriki Mkutano wa Viongozi wa Amerika Kaskazini.


---- --- --- ----

Ovidio Guzmán-López: Deadly riots grip Mexican state after arrest of El Chapo's son

Three security force members have died in clashes in the state of Sinaloa after the arrest of a son of notorious Mexican drug kingpin "El Chapo".

Ovidio Guzmán-López - himself alleged to be a leader of his father's former cartel - was captured in Culiacán and transferred to Mexico City.

Furious gang members set up road blocks, set fire to vehicles and attacked a local airport.

Two planes were hit by gunfire - one while preparing to take off.

More than 100 flights were cancelled at three Sinaloa airports.

The state governor said earlier 18 people had been admitted to hospital.

Mr Guzmán-López - nicknamed "The Mouse" - is accused of leading a faction of his father's notorious Sinaloa cartel, Defence Minister Luis Cresencio Sandoval said. It is one of the largest drug-trafficking organisations in the world.

Hi father, Joaquín "El Chapo" Guzmán, is serving a life sentence in the US after being found guilty in 2019 of drug trafficking and money laundering. His trial revealed some of the brutal details of how Mexico's drug cartels operate.

The six-month surveillance operation to capture Mr Guzmán-López had the support of US officials, Defence Minister Sandoval added.

Videos on social media show burning buses blocking roads in Culiacán.

The fuselage of a plane scheduled to fly from Culiacán to Mexico City was hit by gunfire on Thursday morning as it was preparing for take-off, Mexican airline Aeromexico said.

No customers or employees had been harmed, it said. A video posted on social media appears to show passengers crouching and cowering in their seats.

"As we were accelerating for take-off, we heard gunshots very close to the plane, and that's when we all threw ourselves to the floor," one of the plane passengers, David Tellez, told Reuters news agency.

An air force plane was also hit in Culiacán, Mexico's civil aviation agency said.

US President Joe Biden is due to visit Mexico for a North American leaders' summit next week. He will now arrive on Sunday, a day earlier than previously expected, according to a tweet by Mexico's Foreign Minister Marcelo Ebrard. No reason was given for why he was arriving early.

Federal armed forces had been carrying out an operation in Culiacán since dawn on Thursday, Mayor Ruben Rocha Moya confirmed on Twitter earlier.

There were blockades in different parts of the city and he urged residents to stay at home. Many shops were also looted.
Gunfire exchanges between security forces and gang members continued into Thursday afternoon, reports say.

All schools will be closed across the whole state of Sinaloa on Friday, the local government body overseeing education said.

Mexican security forces had previously arrested Mr Guzmán-López in 2019 but released him to avoid the threat of violence from his supporters.

The US state department says he and his brother Joaquín are currently overseeing approximately eleven methamphetamine labs in the state of Sinaloa, producing an estimated 1,300- 2,200kg (3,000-5,000lb) of the drug per month.

They have also said that information indicates Mr Guzmán-López ordered the murders of informants, a drug trafficker and a popular Mexican singer who refused to sing at his wedding.

In December, the US announced a reward of up to $5m (£4.2m) for information leading to the arrest and/or conviction of Mr Guzmán-López and three of his brothers, who are thought to have kept their positions of command in the group.

Source: BBC
Dah...umenikumbusha home. Sinaloa nyumbani kabisa huko.
 
Back
Top Bottom