Mkalukungone mwamba Member Aug 29, 2022 52 85 May 4, 2024 #1 Mechi 8 za Simba sc za kufa na kupona ligi kuu NBCPL Attachments Snapinsta.app_438164370_987116263414247_7402876661259130743_n_1080.jpg 235.8 KB · Views: 2
uhurumoja JF-Expert Member Mar 2, 2014 5,573 10,205 May 4, 2024 #2 Simba imejipata Kwa boli la Jana mmejipata
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,599 82,484 May 4, 2024 #3 Hapo kuna pointi zisizopungua 5 mnyama ataziangusha. Simba vs Azam, Kagera Sugar vs Simba, Jkt vs Simba! Dah!! Apambanie hata nafasi ya 2 basi!! Maana Azam hana nia nzuri msimu huu.
Hapo kuna pointi zisizopungua 5 mnyama ataziangusha. Simba vs Azam, Kagera Sugar vs Simba, Jkt vs Simba! Dah!! Apambanie hata nafasi ya 2 basi!! Maana Azam hana nia nzuri msimu huu.
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 120,376 143,779 May 4, 2024 #4 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw
Mahondaw JF-Expert Member Apr 9, 2013 62,861 158,071 May 4, 2024 #5 Smart911 said: Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw Click to expand... Pole yao aseeee
Tajiri Tanzanite JF-Expert Member Oct 23, 2016 2,085 3,729 May 4, 2024 #6 Simba sc imeanza kuwa ya moto kama zama zake imeanza muelekeo
Smt016 JF-Expert Member Jan 11, 2016 2,334 3,084 May 5, 2024 #7 Tajiri Tanzanite said: Simba sc imeanza kuwa ya moto kama zama zake imeanza muelekeo Click to expand... Kwavile imeweza kuifunga Mtibwa ambao wana takribani mwezi mzima hawajashinda mchezo wowote ule na ndio waburuza mkia.
Tajiri Tanzanite said: Simba sc imeanza kuwa ya moto kama zama zake imeanza muelekeo Click to expand... Kwavile imeweza kuifunga Mtibwa ambao wana takribani mwezi mzima hawajashinda mchezo wowote ule na ndio waburuza mkia.
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,448 36,679 May 5, 2024 #8 Simba ilishakufa tayari, kitu kilichokufa kinaponaje?
Lax JF-Expert Member Feb 10, 2022 2,516 3,581 May 5, 2024 #9 Kufa na kupona kubeba ubingwa au kusecure 2nd spot?