Asha D Abinallah
Senior Member
- Apr 5, 2015
- 140
- 904
Habari Wakuu,
Katika kutaka kuchangia ongezeko la Wataalam wengi katika Sheria na Kanuni za Mitandao ya Kijamii, JamiiForums ikishirikiana na Freedom House imeandaa mdahalo kuhusu nafasi ya Kimtandao (Cyberspace) nchini. Mdahalo huo utahusisha wanafunzi wa Shahada ya Sheria, wakisimamiwa na wanasheria wabobezi na wadau wa Mtandao nchini.
Mdahalo huu utahusisha utakaofanyika Jijini Dar es Salaam Tarehe 19/20 Julai ukkiwa na lengo la kujenga kizazi kipya cha wanasheria wenye uelewa na watakaobobea katika Sheria za Kimtandao.
Jinsi ya kushiriki ni kwa kutuma barua pepe ya maombi kwenda programs@jamiiforums.com yenye kichwa "MAOMBI YA KUSHIRIKI MDAHALO" ikijumuisha:-
Mwisho wa kupokea maombi ni Jumatatu tarehe 16 Julai, 2018 saa 11 jioni.
Karibuni.
Kujua yaliyojiri soma >"NAFASI ZA MITANDAO YA KIJAMII NCHINI" - Yaliyojiri katika Mdahalo wa Wanachuo New Africa Hotel - JamiiForums
Katika kutaka kuchangia ongezeko la Wataalam wengi katika Sheria na Kanuni za Mitandao ya Kijamii, JamiiForums ikishirikiana na Freedom House imeandaa mdahalo kuhusu nafasi ya Kimtandao (Cyberspace) nchini. Mdahalo huo utahusisha wanafunzi wa Shahada ya Sheria, wakisimamiwa na wanasheria wabobezi na wadau wa Mtandao nchini.
Mdahalo huu utahusisha utakaofanyika Jijini Dar es Salaam Tarehe 19/20 Julai ukkiwa na lengo la kujenga kizazi kipya cha wanasheria wenye uelewa na watakaobobea katika Sheria za Kimtandao.
=> Je, wewe ni mwanafunzi wa Shahada ya Sheria ukiwa mwaka wa 3 au 4? Unapendelea kushiriki mijadala kuhusu matumizi ya mtandao na Sheria zinazoyahusu? Basi unaweza Kushiriki.
Jinsi ya kushiriki ni kwa kutuma barua pepe ya maombi kwenda programs@jamiiforums.com yenye kichwa "MAOMBI YA KUSHIRIKI MDAHALO" ikijumuisha:-
- Jina la mshiriki,
- Jina la chuo,
- Mwaka wa masomo,
- Namba ya simu,
- Akaunti zako za mitandao ya kijamii(facebook, instagram au twitter) na;
- MAELEZO MAFUPI ya nini maoni yako kuhusu nafasi ya kimtandao(Cyberspace) nchini Tanzania kwa sasa, kwa maneno yaziyozidi 250.
Mwisho wa kupokea maombi ni Jumatatu tarehe 16 Julai, 2018 saa 11 jioni.
Karibuni.
Kujua yaliyojiri soma >"NAFASI ZA MITANDAO YA KIJAMII NCHINI" - Yaliyojiri katika Mdahalo wa Wanachuo New Africa Hotel - JamiiForums