Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

magwamaka

Member
May 20, 2023
18
41
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
 
Marehemu Gadna kaimbwa weeeeeee mpaka sasa katema bungo.

Mzee Shusho kachukua kijiti cha Shetani ataimbwaa weeeee!

Tunatengeneza kizazi cha kumuona Mwanaume kama mnyama, Katili na asiyepaswa kujitetea. Mwishowe Wanaume wanaathirika kisaikolojia, wanaumwa Visukari, wanakosa nguvu za kiume, Wanafedheheka, Wanakua Walaibu mwishowe tunawapoteza.

EWE MWANAUME SIMAMA IMARA, USIZAME MAZIMA KWA MWANAMKE, STUKA MAPEMA HAWA VIUMBE ISHI NAO KWA AKILI HATA MAANDIKO YAMESEMA. USIKUBALI KUNYANSIKA TUTAKUPOTEZA!
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Mkuu usiwe na roho mbaya. Mwache Diamond naye ajitombee zigo linenona vizuri sana.
 
Siyo kweli, ndoa yeyote inavunjwa na mahakama kisheria
Sheria za duniani na sheria za imani baadhi kuna sehemu zinaachana.

Kwa mujibu wa imani na miongozo ya KiKristo ndoa ya mahakamani au serikalini haitambuliki.

Ndoa ya kanisani inavunjwa na kifo tu kutokana na sheria za kanisa, serikali ikiingilia ndoa ikavunjwa hilo tendo linahalalisha dhambi kwa mhusika/wahusika walioamua kuvunja ndoa yao.
 
Sheria za duniani na sheria za imani baadhi kuna sehemu zinaachana.

Kwa mujibu wa imani na miongozo ya KiKristo ndoa ya mahakamani au serikalini haitambuliki.

Ndoa ya kanisani inavunjwa na kifo tu kutokana na sheria za kanisa, serikali ikiingilia ndoa ikavunjwa hilo tendo linahalalisha dhambi kwa mhusika/wahusika walioamua kuvunja ndoa yao.

Tanzania siyo nchi ya kidini.

Sheria za nchi ndizo sheria kuu kuliko sheria za dini.

Hata hayo madhehebu yamesajiliwa chini ya sheria za Tanzania.

Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 ndiyo sheria kuu ya masuala ya ndoa Tanzania, ambayo pamoja na mambo mengine mengi, inayapa madhebebu ya dini uwakala wa kufungisha ndoa.

Hizo Canon Law, na Islamic law zina utaratibu wake wa kipekee katika matumizi lakini matumizi yake hayatakiwi kupingana na sheria za nchi.

Mahakama ikivunja ndoa kwa mujibu wa sheria, Kanisa wala msikiti hawapaswi na hawawezi kuingunaisha ndoa husika.

Na kama watagoma kufungisha ndoa nyingine, basi Mkuu wa Wilaya anaweza kufungisha ndoa kwa watu walioachana kisheria.

Kimsingi jukumu la awali la kufungisha ndoa ni la serikali na siyo la dini.

Hizi dini zimepewa uwakala tu na serikali kwa sababu ndizo taasisi zilizo karibu na watu zaidi.
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka


Umesahau:

5. Mbona haya ni maisha ya watu binafsi ambayo hayawahusu kila saa kuyaongelea.
 
Sheria za duniani na sheria za imani baadhi kuna sehemu zinaachana.

Kwa mujibu wa imani na miongozo ya KiKristo ndoa ya mahakamani au serikalini haitambuliki.

Ndoa ya kanisani inavunjwa na kifo tu kutokana na sheria za kanisa, serikali ikiingilia ndoa ikavunjwa hilo tendo linahalalisha dhambi kwa mhusika/wahusika walioamua kuvunja ndoa yao.
Ndoa ya kikristo inavunjwa kwa talaka hata biblia inaamuru hivyo ila ni pale tu unapotokea uzinzi au ukigundua umeoa mwanamke mchawi basi unaweza ivunja hiyo ndoa kwenye msingi wa kiimani.

Ila kama mdau Kindeena alivyokwambia hapo juu, ndoa zote hadi hizo za kidini zinavunjwa na Mahakama. Na nikufahamishe tu Tanzania ni Mahakama tu yenye uwezo wa kuvunja ndoa yoyote ile iwe ya kidini, kiserikali au kimila. Mchungaji yoyote yule hana mamlaka ya kuvunja ndoa.

Pia japo ndoa za kikristu zinafungishwa na wachungaji au mapadri ila bado sio wote wenye hayo mamlaka ya kufungisha hizo ndoa hadi awe amepewa hicho kibali na serikali. Kwa hiyo utaona hata hizo ndoa za kidini bado nazo zinasimamiwa na sheria za kiserikali/kidunia.

Tanzania ndoa ni taasisi ya kiserikali na sio ya kidini. Sababu ndoa sio ndoa bila cheti cha usajili cha kiserikali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom