johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,110
- 142,213
Ni Ushauri tu
Kwani Mbowe ni Mwamba kama wanavyomsifia huko Chadema?
Mbona hajawahi kukataa Hiyo Sifa ambayo ni Wazi wanampamba kwa kumzuga tu.
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Sipingi Ushauri wa Freeman ila namshauri ajitafakari yeye kwanza.
Ni hilo tu.
Pia soma:
Mbowe, wenye akili wamekuelewa. Hawa wasiokuelewa tuwaite nani?
Kwanini asisifiwe Mwananchi anayelipa kodi inayotekeleza miradi ya kitaifa?
Kwani Mbowe ni Mwamba kama wanavyomsifia huko Chadema?
Mbona hajawahi kukataa Hiyo Sifa ambayo ni Wazi wanampamba kwa kumzuga tu.
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Sipingi Ushauri wa Freeman ila namshauri ajitafakari yeye kwanza.
Ni hilo tu.
Pia soma:
Mbowe, wenye akili wamekuelewa. Hawa wasiokuelewa tuwaite nani?
Kwanini asisifiwe Mwananchi anayelipa kodi inayotekeleza miradi ya kitaifa?