Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,147
Sijui mmegundua? Akienda Ulaya ndio anajitwisha furushi la barakoa mdomoni.
Akirudi hatumuoni nalo isipokuwa tu kwenye hafla maalum ambapo kuna mabeberu.
Bonge la barakoa! Kama kavaa bomu usoni.
Akipanda ndege analivua. Akiwasili anajitwika tena zigo.
Wengine huku tushasahau hata barakoa ni kitu gani! Tunaonaga tu kwenye TV.
Barakoa la mchongo. Barakoa la kuombea mkopo.
Tunadhalilika sana. Sijui lini tutakuwa na akili timamu.
Hivi wanatuonaje kwa mfano?
Akirudi hatumuoni nalo isipokuwa tu kwenye hafla maalum ambapo kuna mabeberu.
Bonge la barakoa! Kama kavaa bomu usoni.
Akipanda ndege analivua. Akiwasili anajitwika tena zigo.
Wengine huku tushasahau hata barakoa ni kitu gani! Tunaonaga tu kwenye TV.
Barakoa la mchongo. Barakoa la kuombea mkopo.
Tunadhalilika sana. Sijui lini tutakuwa na akili timamu.
Hivi wanatuonaje kwa mfano?