ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,457
- 51,280
Sakata la Maofisa wa Serikali waliojitengenezea mfumo bandia wa Makusanyo ya Fedha za Umma limezidi kushika Kasi na kuchukua sura Mpya.
Awali TAKUKURU iliwatia mbaroni watuhimiwa 40 lakini baada ya Uchunguzi watuhimiwa 20 waliachiwa huru.
Lakini baada ya Uchunguzi zaidi watuhimiwa 6 wametiwa mbaroni hivyo kufikisha watuhimiwa 26 ambao watapandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi na Kutafuna zaidi ya Bilioni 1 za makusanyo ya ndani kutoka Halmashauri 10 za Pangani,Mbeya Jiji,Tunduma, Sumbawanga,Mbarali,Makete,Rungwe,Ileje,Busokelo na Mbeya DC.
View: https://youtu.be/B7Mc-AD02hM?si=WAKQzIu9YMSoCAZl
My Take
Hawa wezi Walipishwe na wafungwe Ili iwe fundisho Kwa wesi wengine wa Mali ya Umma.
Awali TAKUKURU iliwatia mbaroni watuhimiwa 40 lakini baada ya Uchunguzi watuhimiwa 20 waliachiwa huru.
Lakini baada ya Uchunguzi zaidi watuhimiwa 6 wametiwa mbaroni hivyo kufikisha watuhimiwa 26 ambao watapandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi na Kutafuna zaidi ya Bilioni 1 za makusanyo ya ndani kutoka Halmashauri 10 za Pangani,Mbeya Jiji,Tunduma, Sumbawanga,Mbarali,Makete,Rungwe,Ileje,Busokelo na Mbeya DC.
View: https://youtu.be/B7Mc-AD02hM?si=WAKQzIu9YMSoCAZl
My Take
Hawa wezi Walipishwe na wafungwe Ili iwe fundisho Kwa wesi wengine wa Mali ya Umma.