Swali halijibiwi?Ni majani gani na Yana faida zipi
Tafuta kwenye tovuti faida zake. Andika Alfalfa grass au Lucerne kisha urudi tuongee biasharaNi majani gani na Yana faida zipi
Kilo moja 250,000/=Bei ni Siri?
Pale Kibo Seeds Arusha wanauza Kilo sh 90, 000/Kilo moja 250,000/=
Ni rahisi kusema. Good luck.Pale Kibo Seeds Arusha wanauza Kilo sh 90, 000/
Sorry, sio kusema ndio bei yake hata Kilimanjaro.Ni rahisi kusema. Good luck.
Dogo anataka kuibia watu,Sorry, sio kusema ndio bei yake hata Kilimanjaro.
Acheni mambo ya mikoani wakati watu tunaongelea Dar.Sorry, sio kusema ndio bei yake hata Kilimanjaro.