Mbarali: CHADEMA Digital yaambatana na nyama choma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,983
221,531
Katika oparesheni kabambe inayoendelea ya kutokomeza CCM Mbarali , kikundi cha Diaspora kikiongozwa na TL Marandu kimenunua Zizi la Mbuzi kwa ajili ya nyama choma ya Watenda kazi hiyo ya kuteketeza ccm , kazi inayoongozwa kikamilifu na Liberatus Mwang'ombe.

Wakati CCM wakilogana kugombea nafasi ya Kinana na Chongolo , huko Mbarali mambo ni hivi.

Screenshot_2023-11-28-20-10-01-1.png
Screenshot_2023-11-28-20-09-46-1.png
Screenshot_2023-11-28-20-09-38-1.png
 
Katika oparesheni kabambe inayoendelea ya kutokomeza CCM Mbarali , kikundi cha Diaspora kikiongozwa na TL Marandu kimenunua Zizi la Mbuzi kwa ajili ya nyama choma ya Watenda kazi hiyo ya kuteketeza ccm , kazi inayoongozwa kikamilifu na Liberatus Mwang'ombe .

Wakati CCM wakilogana kugombea nafasi ya Kinana na Chongolo , huko Mbarali mambo ni hivi .

View attachment 2827922View attachment 2827925View attachment 2827927
Baada ya maonesho ya magorofa ya viongozi wa CHADEMA kutopata uungwaji mkono, Sasa ni kitest uimara wa meno kwa kutafuna nyama!!

Uchaguzi ujao tujiandae kung'atwa
 
Katika oparesheni kabambe inayoendelea ya kutokomeza CCM Mbarali , kikundi cha Diaspora kikiongozwa na TL Marandu kimenunua Zizi la Mbuzi kwa ajili ya nyama choma ya Watenda kazi hiyo ya kuteketeza ccm , kazi inayoongozwa kikamilifu na Liberatus Mwang'ombe .

Wakati CCM wakilogana kugombea nafasi ya Kinana na Chongolo , huko Mbarali mambo ni hivi .

View attachment 2827922View attachment 2827925View attachment 2827927
Hiki ndio chama cha matumaini kwa Watanzania
 
Back
Top Bottom