Mazuzu Mkutanoni wametajiwa Kocha Mpya na Kusahau Kuuliza Maswali na Kuhoji Kupigwa Fedha nyingi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.

Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
 
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.

Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
hapana hatujapigwa
 
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.

Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Duuuh kwa stahili hii bandari zitauzwa sana🤔🤔🤔
 
Hii nchi itaendelea kuingia mikataba ya hovyo had pale mifumo yetu ya elimu itakapo rekebishwa

Huyu mleta mada n msomi wa pale SAUT fikiria huyu ndio think tank wa familia kutoka bunda

Jiulize hao wanaomuamin katika utatuz wa mambo ya kifamilia wanna Hali gan katika ubongo wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana aisee
Kwamba popoma ndo mshauri mkuu wa familia
Kama hivyo ndiyo wote ni wehu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.

Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Yanga itatumia Billion 20 kwa msimu mmoja, wakati huohuo Mwamedi ametumia Billion 20 za maandishi ( siyo cash) kuinunuwa Simba milele.

Yani mkataba wa Mwamedi na Simba sioni tofauti yoyote na mkataba ule wa bandari na DP.
 
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.

Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Screenshot_20230618_141038_Instagram.jpg

Kesho mtauliza bil 2 mbili zipo wapi, wakati huo mfano wa check hauonyeshi zimewekwa wapi.
 
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.

Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Injinia kwao ni Kinondoni Mkwajuni.. hiyo kariakoo labda ya kwenu huko bunda vijijini murutunguru unapoishi wewe.. wacha kujifanya mjuaji wakati hujui chochote
 
Moja ya dalili ya mapema ya kumjua mtu mwenye tatizo kichwani ni kuhisi anajua kila kitu kuliko kila mtu anae mzunguka. Jf Doctors please anzeni kumu attend huyu mjomba kabla kesi haijawa critical
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom