fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,582
- 8,148
Chama huu ndio msimu wake wa mwisho, na kakataa kuongeza muda. Mayele naye anaomba kuvunja mkataba kule Pryamid, maana yake mayele anaenda simba na chama anaenda yanga.
SawaaAnha,Sawa mkuu
kama mudathir anaanza yanga kweli Chama akae nje kwa kikosi Gani icho mlichonacho ambacho Chama ataka Benchi kweli manara alikua sahihi kusema mashabiki wa Yanga hamna akiliEm tuwe wakweli pale Yanga chama atacheza wapi? Mayele kucheza Simba uhakika
YANGA KUMSAJILI CHAMA NI KAMA KURUDI NYUMA HATUA 8 WAKATI ULIENDA MBELE KWA HATUA 3 TUchama huu ndio msimu wake wa mwisho, na kakataa kuongeza muda. mayele naye anaomba kuvunja mkataba kule pryamid, maana na yake mayele anaenda simba na chama anaenda yanga.
Chama hana uwezo wa kufanya majukumu ya Mudathir.kama mudathir anaanza yanga kweli Chama akae nje kwa kikosi Gani icho mlichonacho ambacho Chama ataka Benchi kweli manara alikua sahihi kusema mashabiki wa Yanga hamna akili
Hivi mnajua mpira kweli? Kwa io chama na mudathir wanacheza namba Moja, we tungekua karibu ningekunasa kibaokama mudathir anaanza yanga kweli Chama akae nje kwa kikosi Gani icho mlichonacho ambacho Chama ataka Benchi kweli manara alikua sahihi kusema mashabiki wa Yanga hamna akili
wew huna hata akili Chama wakati anafika Simba alikua anacheza Namba Ngapi si alikua ancheza attack middlefield saizi anacheza wide middlefield uyo mudathir yaya saizi anacheza postion ipi si anacheza attack middlefield kwahyo Chama hawezi kucheza Attack middlefield mbona ni wajinga iviHivi mnajua mpira kweli? Kwa io chama na mudathir wanacheza namba Moja, we tungekua karibu ningekunasa kibao
Kiufupi chama akija yanga hawezi kupata namba, yaani tumeweke nje Aziz ki mtu mbaad kisa chama??
Shenzi
Unahangaika na watu wasiojua mpira mkuu..hajui hata majukumu ya Mudathiri pale Yanga na anacheza nafasi gani pale Yanga..Chama hana uwezo wa kufanya majukumu ya Mudathir.
Chama anacheza nafasi ipi na Mudathir anacheza nafasi ipi? Halafu ukipata jibu nambie kati ya mimi na wewe nani Mbumbumbu.
Mim na wew Nani ambaye hajui mpira Mudathir anacheza attack middefield pale Yanga Chama pia anauwezo wa kucheza attack middlefield wakati anafika Simba iyo postion kacheza sana saizi Ndio anacheza wide attack middlefield kenge mkubwa weHivi mnajua mpira kweli? Kwa io chama na mudathir wanacheza namba Moja, we tungekua karibu ningekunasa kibao
Kiufupi chama akija yanga hawezi kupata namba, yaani tumeweke nje Aziz ki mtu mbaad kisa chama??
Shenzi