Mawaziri kulipwa au kutokulipwa perdiem, nani tumuamini kati ya John Heche na Kitila Mkumbo aliyekanusha madai ya Heche?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,129
144,605
Habari Wakuu!

Siku chache zilizopita, niliweka uzi hapa Jukwaani nikihoji uhalali wa mawaziri kulipwa perdiem wawapo Bungeni. Mada ile ilitokana na tweet ya John Heche aliedai Waziri Mkuu analipwa perdiem awapo Bungeni.

Hata hivyo, Siku ya leo Mhe. Kitila Mkumbo amejitokeza kuchangia mada husika ambapo amekanusha kuwa mawaziri hawalipi perdiem wawapo Bungeni.

Mhe. Kitila amekanusha kupitia comment no. 98 kwenye uzi husika ambao unapatikana kuptia link hii hapa chini:


Swali: Kwakuwa Waheshimiwa hawa wote wamewahi kuwa wabunge huku Kitila akiendelea kuwa mbunge, tumuamini nani kati yao?
 
Aliyewahi kuwa waziri, keshakujibu
Chagua kumuamini waziri kivuli au halali.!
 
Kitila Mkumbo amewahi kuwa waziri wa uwekezaji, wakati Heche amewahi kuwa mbunge kupitia Chadema. Hawa wawili walikuwa wote chadema kabla ya Kitila kuhamia ccm.

Kwahiyo kuna mawili; ama Heche anasema kweli lkn Kitila anajaribu kuficha ukweli ili kufanya propaganda au Heche ndiye anafanya propaganda lkn Mkumbo anasema ukweli.
 
Habari Wakuu!

Siku chache zilizopita, niliweka uzi hapa Jukwaani nikihoji uhalali wa mawaziri kulipwa perdiem wawapo Bungeni. Mada ile ilitokana na tweet ya John Heche aliedai Waziri Mkuu analipwa perdiem awapo Bungeni.

Hata hivyo, Siku ya leo Mhe. Kitila Mkumbo amejitokeza kuchangia mada husika ambapo amekanusha kuwa mawaziri hawalipi perdiem wawapo Bungeni.

Mhe. Kitila amekanusha kupitia comment no. 98 kwenye uzi husika ambao unapatikana kuptia link hii hapa chini:


Swali: Kwakuwa Waheshimiwa hawa wote wamewahi kuwa wabunge huku Kitila akiendelea kuwa mbunge, tumuamini nani kati yao?
Kitila Mkumbo haaminiki
 
Habari Wakuu!

Siku chache zilizopita, niliweka uzi hapa Jukwaani nikihoji uhalali wa mawaziri kulipwa perdiem wawapo Bungeni. Mada ile ilitokana na tweet ya John Heche aliedai Waziri Mkuu analipwa perdiem awapo Bungeni.

Hata hivyo, Siku ya leo Mhe. Kitila Mkumbo amejitokeza kuchangia mada husika ambapo amekanusha kuwa mawaziri hawalipi perdiem wawapo Bungeni.

Mhe. Kitila amekanusha kupitia comment no. 98 kwenye uzi husika ambao unapatikana kuptia link hii hapa chini:


Swali: Kwakuwa Waheshimiwa hawa wote wamewahi kuwa wabunge huku Kitila akiendelea kuwa mbunge, tumuamini nani kati yao?
Wanasema experience is the best school. Sasa mie nimewahi kuwa waziri na ninajua posho wanazolipwa wabunge ambao sio mawaziri na wanazolipwa wabunge ambao pia ni mawaziri. Makazi ya mawaziri ni Dodoma. Kwa sababu hii hawalipwi perdiem kwa kuwa posho hii hulipwa ukiwa nje ya kituo cha kazi. Kwa hiyo wakiwa wabungeni mawaziri wanalipwa posho ambazo wanalipwa wabunge wengine yaani sitting allowance kwa siku ambazo wanakuwepo bungeni.
 
Wanasema experience is the best school. Sasa mie nimewahi kuwa waziri na ninajua posho wanazolipwa wabunge ambao sio mawaziri na wanazolipwa wabunge ambao pia ni mawaziri. Makazi ya mawaziri ni Dodoma. Kwa sababu hii hawalipwi perdiem kwa kuwa posho hii hulipwa ukiwa nje ya kituo cha kazi. Kwa hiyo wakiwa wabungeni mawaziri wanalipwa posho ambazo wanalipwa wabunge wengine yaani sitting allowance kwa siku ambazo wanakuwepo bungeni.
Anyway, tunashukuru kwa majibu yako kama mtu uliewahi kuwa mbunge na Waziri. Ni bahati mbaya John Heche sio member humu tungeweza kusikia kutoka kwake pia.

All in all, Mhe. Kitila, wewe binafsi unaamini na unaona ni sahihi kwa wabunge kulipwa sitting allowance?

Huu ndio uzalendo kwa nchi yenu?
 
Anyway, tunashukuru kwa majibu yako kama mtu uliewahi kuwa mbunge na Waziri. Ni bahati mbaya John Heche sio member humu tungeweza kusikia kutoka kwake pia.

All in all, Mhe. Kitila, wewe binafsi unaamini na unaona ni sahihi kwa wabunge kulipwa sitting allowance?

Huu ndio uzalendo kwa nchi yenu?
Nasubiri jibu.
 
Anyway, tunashukuru kwa majibu yako kama mtu uliewahi kuwa mbunge na Waziri. Ni bahati mbaya John Heche sio member humu tungeweza kusikia kutoka kwake pia.

All in all, Mhe. Kitila, wewe binafsi unaamini na unaona ni sahihi kwa wabunge kulipwa sitting allowance?

Huu ndio uzalendo kwa nchi yenu?
Weka facts acha bangi. Hajauliza Mambo ya CHADEMA Kwanza kumbuka Kitila alikua na Bado anaipenda CHADEMA sema njaa tu

Cc: Kitila Mkumbo
Kwako Kitila Mkumbo
 
Anyway, tunashukuru kwa majibu yako kama mtu uliewahi kuwa mbunge na Waziri. Ni bahati mbaya John Heche sio member humu tungeweza kusikia kutoka kwake pia.

All in all, Mhe. Kitila, wewe binafsi unaamini na unaona ni sahihi kwa wabunge kulipwa sitting allowance?

Huu ndio uzalendo kwa nchi yenu?
Hiyo ni hoja nyingine. Inajadilika. Kwanza tuelewane kuhusu hii then tunaweza kuendelea na hii kama hoja mpya
 
Kati ya watu ninaowachukia kwa kuwa ni wanafiki kama Manara.ukiachana na chama cha siasa tulia sio kuwa chawa
1.kitilaa
2.slaa
Namuomba Mungu niwe hai nione mwisho wa kitila mkumbo kwa sababu tunaambiwa malipo ni hapa duniani.
Kitila wewe sio mtu wa kuungana na watu wanaodhurumu masikini.
 
Back
Top Bottom