Matukio kumi ya kihalifu yaliyoitikisa dunia

Bitoz

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
30,823
126,539
Wakuu kama mnavyojua wahalifu ni sehemu ya jamii hata hapa jukwaani wamejaa tele
Sasa nataka kuelezea kwa ufupi tu matukio na wahalifu waliowahi kufanikisha wizi mkubwa kwa weledi uliotukuka pasipo kutumia nguvu kubwa

.......................................................................

10/French "Vacuum" Gang
8249ddb950e99312b9ee43888c7fe4cb.jpg
edd9baff5c51e5942ced4e1aa4df2fe2.jpg

Kuanzia mwaka 2006 huko Ufaransa liliibuka genge la Kihalifu lisilofahamika la vibaka wajanja wajanja ambao waliiba na kusafisha kabisa Supamarket kwa kutumia kifaa maalumu walichokibuni cha fagio la vakyumu
Waligundua udhaifiu katika utunzaji fedha wa Supermarket ya Monoprix na hivyo kutumia fursa vizuri kwa kubuni fagio hilo la kuiibia kwenye vacuum tubes za utumzaji fedha
Hadi kufika 2011 walikuwa washakomba USD 800,000 kwa kutekeleza matukio 15 yenye mafanikio mkubwa bila kushtukiwa
Kamera za CCTV zilambulia kuona watu waliovaa mask tu
Hawa jamaa walikuwa wakiiba usiku tu muda ambao "serikali huwa imelala"
 
9/2010 Credit Lyonnais Paris Burglars
2ad96df78d7d6a229ef3426c3dffffba.jpg
f1780720a6b8cff459ee7e7bb15e30c5.jpg

Mwaka 2010 wezi waliotukuka walifanikiwa kuvunja na kuzana kijanja katika Benki ya Mikopo ya Lyon iliyopo katikati ya jiji la Paris na kuiba viboksi vya kutunzia vito na pesa vyenye thamani ya mamilioni ya Euro pamoja na pesa taslimu.
Walifaniliwa kuingia kupitia mbinu zenye weledi wa hali ya juu kijanja na kuvuruga mifumo yot ya ulinzi ma hivyo kuiba kiulaini bila kushtukiwa
Pia mwaka 2011 genge hilo lilifanya tukio lingine kama hilo la kufuru
Hadi sasa umekosekana ushahidi wa kiwezesha kuwashtaki
 
8/Carl Gugasian
1ef6751b2d9bc2341ac303265b7c6825.jpg
74698721dc8a134e5a67bdda5d8baf59.jpg

Huyu ndiye Friday Night Bank Robber
Huyu ni kibaka maoni mwenye Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania huko nchini Marekani ambaye aliamua kuutumia usomi wake kufanikishia matukio ya kijambazi
Alipohitimu tu mafunzo ya kijeshi akaanza kuiba magari katika casino 8 tofauti na kuyatumia kwenye matukio yake ya kihalifu
Aliprmdelra zaidi kuiba kwenye mabemki siku za ijumaa ndiyo maana anaitwa Friday Night Bank Robber
Allifika dakika 5 kabla ya benki kufungwa na kutumia dk 3 tu kubeba mpunga na kusepa zake bila kukamatwa
Alikuwa akivaa rundo la nguo ili kuficha utambulisho wa umbo pia alivaa mask na kutembea kwa staili ya kaa
 
8/Carl Gugasian
1ef6751b2d9bc2341ac303265b7c6825.jpg
74698721dc8a134e5a67bdda5d8baf59.jpg

Huyu ndiye Friday Night Robber
Huyu ni kibaka maoni mwenye Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania huko nchini Marekani ambaye aliamua kuutumia usomi wake kufanikishia matukio ya kijambazi
Alipohitimu tu mafunzo ya kijeshi akaanza kuiba magari katika casino 8 tofauti na kuyatumia kwenye matukio yake ya kihalifu
Aliprmdelra zaidi kuiba kwenye mabemki siku za ijumaa ndiyo maana anaitwa Friday Night Robber
Allifika dakika 5 kabla ya benki kufungwa na kutumia dk 3 tu kubeba mpunga na kusepa zake bila kukamatwa
Alikuwa akivaa rundo la nguo ili kuficha utambulisho wa umbo pia alivaa mask na kutembea kwa staili ya kaa
Huyo jamaa aliyeungua si jamaa wa muvi ya Fred & Jackson anahusika vp hapo..
 
7/Paris Modern Art Museum Burglary
6f3657c3a0b9b6d05cbefe04e06fc137.jpg
026f11498a1fe6033668d6ebf47c42dc.jpg

Mwezi May mwaka 2010 mweizi alivunja Makumbusho ya Sanaa ya Paris na kuiba kazi za kisanii kama vile za Picasso and Matisse ambazo zilikuwa na thamani ya Euro milioni 100
IMG_20180803_230506.jpeg

Pablo Picasso na Henri Matisse

Wizi huo ukaja kugundulika keshowe asubuhi muda wa saa 1 na kuaminika kwamba vitu vilivyoibiwa vinawerza kufika thamani ya Euro Milioni 430
Hadi kufikia mwaka 2012 hakukuwa na mtu yoyote aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo
 
Tupe mbinu za kuingia magogoni tukamwibie jiwe funguo za hazina na marupurupu yote anayotunza pale ndani manake jamaa mkuda wa kubana fedha utadhani ni Mali ya babake
Umewaza mbali mkuu maana wezi wa bongoelimu ndogo wanaishia kuiba vimilioni kadhaa tu
 
6/Derek 'Bertie' Smalls
be3748283b19b2989f2e9296750694e1.jpg
543d6148f2b27daba545675b7c018fda.jpg
Huyu alikuwa ni mwizi aliyebobea huko Uingereza katika miaka ya 1960Kabla ya miaka ya 1970 alikuwa ni mwizi mwenye jina kubwa kwenye mitaa ya jiji la London
Mwezi Februari 1970 aliongoza genge lake liitwalo Wembley Mob kuvamia na kuiba pesa kiasi cha Pauni 240,000 (wakati huo ulikuwa ni mpunga mrefu kichizi) katika benki ya Barclays kiasi ambacho ni rekodi kwa kipindi hicho
Kisha akapanda treni na kutimkia jijini Paris kusikilizia upepo
Baada ya juahidiwa kupewa kinga na mwendesha mashtaka iwapo atakubali kuelezea wizi ulivyofanyika kwaajili ya faida ya Polisi siku zijazo alikubali kurudi na kutoboa siri ambapo genge zims lolipigwa mvua ya miaka 100 jela ila yeue akasamehewa

Huyu jamaa ni msaliti kwa wenzake hana tofauti na Yuda
 
Back
Top Bottom