Matokeo ya Usaili wa Mchujo PPF uliofanyika DUCE 28-Aug

mhh hii hatari mimi nliitwa ya pili sjaenda nilikua mkoan nilijua tu hawa jamaa ni viazi tu wanahangaisha watu
 
chekii HAYO MASWALI MBONA YA WATOTO?

ILA YANADHALILISHA AHAHA

Database ni kanzidata na linazungumzwa sana kwa wale wa IT na HR

Alphonce simbu hakushnda gold medal ila ni mashndano London olympic

UNFPA ni shrika la umoja wa mataifa linadeal na population yani UN popn fund

Aliyedesign coat of arm ni jamaa wa znz huko nadhan mada ilikuwepo hapa baada ya yule mchoraj feki kuibuka. Anaitwa abdalah farhan kama sjasahau.
 
chekii HAYO MASWALI MBONA YA WATOTO?

ILA YANADHALILISHA AHAHA

Database ni kanzidata na linazungumzwa sana kwa wale wa IT na HR

Alphonce simbu hakushnda gold medal ila ni mashndano London olympic

UNFPA ni shrika la umoja wa mataifa linadeal na population yani UN popn fund

Aliyedesign coat of arm ni jamaa wa znz huko nadhan mada ilikuwepo hapa baada ya yule mchoraj feki kuibuka. Anaitwa abdalah farhan kama sjasahau.

Juice kwa Kiswahili........

Makinikia kwa Kingereza.......

Jina kamili la Mkurugenzi mkuu wa SSRA......

Njia ya reli iliyozinduliwa huko Kenya hivi karibuni inaitwaje..............?
 
Ilembula.
Makinikia kwa kiingereza ni concentrates

UNFPA ni United nations popn fund

JUICE kwa Kiswahili ni Juisi au shurubati

DG wa SSRA nadhani hajatumbuliwa mrembo irene isaka

Hiyo reli mpya inaitwa Nairobi standard gauge railway imeanzia mombasa hadi nairobi na iliznduliwa na Kenyata kipind cha kampen kutafuta kick
 
Ilembula.
Makinikia kwa kiingereza ni concentrates

UNFPA ni United nations popn fund

JUICE kwa Kiswahili ni Juisi au shurubati

DG wa SSRA nadhani hajatumbuliwa mrembo irene isaka

Hiyo reli mpya inaitwa Nairobi standard gauge railway imeanzia mombasa hadi nairobi na iliznduliwa na Kenyata kipind cha kampen kutafuta kick
Mkuu hii ni baada ya kugoogle, ila ukiwa mle ndani unaona nyota.......huyo Mkurugenzi wa SSRA nilikuwa nakumbuka ni mwanamke ila jina lake sasa kulikumbuka ndio utata.
 
Ilembula. SIJAGOOGLE MKUU, KABISA NAONGEA KUTOKA ROHONI MWANGU. HUYU MDADA JINA LAKE LIMENIKAA KWA 7BU NIMEWAH KUFANYA NAYE KAZI.

UNFPA NIMEISOMA SANA KWENYE DEVT STUDIES

HIYO RELI NI MAARUFU NA ILIKUWA NA HEADLINE WAKAT WA UCHAGUZ

JUISI UZI WAKE TULICHAMBUA HAPA

MAKINIKIA NILISOMA KWENYE RIPOTI YA MRUMA YA KIINGEREZA.

NB: JITAHD KUFATILIA MAMBO YANAYOENDELEA DUNIAN NA YAKAE KICHWAN. MANA SOKO LIKO TIGHT BONGO HVYO WANAOSAILI WANAJIKUTA WANATUNGA MASWALI YA KUKOMOANA.
 
Ilembula. SIJAGOOGLE MKUU, KABISA NAONGEA KUTOKA ROHONI MWANGU. HUYU MDADA JINA LAKE LIMENIKAA KWA 7BU NIMEWAH KUFANYA NAYE KAZI.

UNFPA NIMEISOMA SANA KWENYE DEVT STUDIES

HIYO RELI NI MAARUFU NA ILIKUWA NA HEADLINE WAKAT WA UCHAGUZ

JUISI UZI WAKE TULICHAMBUA HAPA

MAKINIKIA NILISOMA KWENYE RIPOTI YA MRUMA YA KIINGEREZA.

NB: JITAHD KUFATILIA MAMBO YANAYOENDELEA DUNIAN NA YAKAE KICHWAN. MANA SOKO LIKO TIGHT BONGO HVYO WANAOSAILI WANAJIKUTA WANATUNGA MASWALI YA KUKOMOANA.

Duuh!!

Mkuu hii ripoti ya makinia ya kingereza inapatikana wapi......kama unayo naomba utuwekee hapa samahani lakini kwa usumbufu.
 
MKUU, SOMA MAGAZETI YA CITIZEN, THE GUARDIAN NA DAILY NEWS NDYO HUTOA HZO RIPOTI KWA KIINGLISH

AU MITANDAO YA HABARI YA ENGLISH
 
Back
Top Bottom