LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,204
- 27,329
Alikuwa anaongoza vizuri tu tena kwa tofauti ya point nyingi ila now wameànza kumfanyia mtimanyongo.
Jana marefa wa mchongo wamefanya ukhanithi wao mwisho wa siku Nabi kupoteza mechi muhimu.
Sasa hivi ana point 64 wanaomfuata Raja Casablanca wana point 60 na mchezo mmoja kibindoni(kiporo)
Mechi bado ni nyingi na bado kuna mechi kati ya Raja na FAR Rabbat.
Hawa jamaa wanaweza kumfanyia Nabi mtimanyongo akakosa ubingwa.
Binafsi natamani sana Nabi abebe ubingwa wa Morocco kwa sababu sisi kama Yanga hatumdai chochote, Profesa Nabi mtu wa maana kabisa kama alivyo Profesa Gamondi.
Jana marefa wa mchongo wamefanya ukhanithi wao mwisho wa siku Nabi kupoteza mechi muhimu.
Sasa hivi ana point 64 wanaomfuata Raja Casablanca wana point 60 na mchezo mmoja kibindoni(kiporo)
Mechi bado ni nyingi na bado kuna mechi kati ya Raja na FAR Rabbat.
Hawa jamaa wanaweza kumfanyia Nabi mtimanyongo akakosa ubingwa.
Binafsi natamani sana Nabi abebe ubingwa wa Morocco kwa sababu sisi kama Yanga hatumdai chochote, Profesa Nabi mtu wa maana kabisa kama alivyo Profesa Gamondi.