1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 452
- 1,797
Viongozi wa SImba endeleeni kuhamasisha mashabiki kuujaza uwanja wa Mkapa siku ya Ijumaa kwa sababu hao hao mashabiki wetu watakaokwenda Ijumaa kuangalia show ya kibabe yenye kiingilio ndio wataokwenda kuangalia bure kwenye gemu ya Yanga, kwa hiyo kimahesabu gemu ya Yanga itajaza sana mashabiki eneo la mzunguko kwa sababu hata mashabiki wa Simba watakwenda kwa sababu kule juu ni bure.
Ahmed Ally unafanya kazi kubwa lakini kitendo cha Yanga kuruhusu watu waingie bure ni kutaka kuwavunja nguvu nyie ili mashabiki wenu wasiende na badala yake waende kuangalia gemu ya bure, watanzania nawajua wanapenda sana dezo bila kujali mapenzi yao kwa timu, Yanga wakifanikiwa kujaza uwanja na kimsingi watafanikiwa sana baadae watatuma picha CAF za mapambano yote mawili, watatuma picha za SImba vs Al Ahly na picha za Yanga vs Mamelodi ili viongozi wa soka Africa waone kuwa mambo yamebadilika Tanzania na kwamba wao ndio timu yenye mashabiki wengi Tanzania bila kujali watu waliingiza bure ama la, maana kule mzunguko kuna mashabiki 30,000 kwa hiyo hawa tayari wapo, sasa nashangaa hawa wehu wa kijani wanafanya hamasa, mnahamasisha nini sasa wakati watu 30,000 wa kuingia bure tayari wapo?
Anayetakiwa kuhamasisha ni yule ambaye ameamua gemu yake kuiuza, sio wewe mwehu unapoteza nguvu zako bure wakati tayari watu efu 30 unao wakiwemo mashabiki wa Mamelodi ambao kimsingi wa Simba.
Ahmed Ally unafanya kazi kubwa lakini kitendo cha Yanga kuruhusu watu waingie bure ni kutaka kuwavunja nguvu nyie ili mashabiki wenu wasiende na badala yake waende kuangalia gemu ya bure, watanzania nawajua wanapenda sana dezo bila kujali mapenzi yao kwa timu, Yanga wakifanikiwa kujaza uwanja na kimsingi watafanikiwa sana baadae watatuma picha CAF za mapambano yote mawili, watatuma picha za SImba vs Al Ahly na picha za Yanga vs Mamelodi ili viongozi wa soka Africa waone kuwa mambo yamebadilika Tanzania na kwamba wao ndio timu yenye mashabiki wengi Tanzania bila kujali watu waliingiza bure ama la, maana kule mzunguko kuna mashabiki 30,000 kwa hiyo hawa tayari wapo, sasa nashangaa hawa wehu wa kijani wanafanya hamasa, mnahamasisha nini sasa wakati watu 30,000 wa kuingia bure tayari wapo?
Anayetakiwa kuhamasisha ni yule ambaye ameamua gemu yake kuiuza, sio wewe mwehu unapoteza nguvu zako bure wakati tayari watu efu 30 unao wakiwemo mashabiki wa Mamelodi ambao kimsingi wa Simba.