Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Wakuu,
Toka nilivyosikia kuwa mwanasiasa na mwanasheria mkongwe nchini Mabere Marando kahamia CHADEMA, nimekuwa katika upembuzi yakinifu kutokana na historia yan nyuma ya mheshimiwa huyu.
Mabere Marando; kama wote tufahamuvyo aliwahi kuajiriwa serikalini kule kwa wale wanaojiita "Usalama wa Taifa" Wakati wa vugu vugu la vyama vingi, pamoja na wengine ikiwamo Mrema, ni mmoja wa watu walioutangazia umma kuhama CCM na kujiunga upinzani. Wakati huo NCCR-Mageuzi ilikuwa juu. Wakahamia huko na Mrema. Wakahamasisha watu wote tukaamini mageuzi yanakuja TZ katika uchaguzi huo wa 1995. Wote tunajua yaliyotokea. Marando baada ya kuivuruga NCCR-M akahama chama na kutokomea anakokujua; he stayed low profiled.
Iweje leo CHADEMA, "chuma kimeshika kasi" anatangaza tena kutoka huko anakokujua na kujiunga nacho? Maswali yanayonitatiza ni haya;
Je haiwezi kuwa, kutokana na historia ya kazi yake Mabere Marando "yuko kazini" CHADEMA?
Kuwavuruga na kisha aondoke akilalamika wakati amekimaliza chama chetu?
Ndugu zangu, naomba luwakilisha hoja yangu.
Go Dr. Slaa go...
Toka nilivyosikia kuwa mwanasiasa na mwanasheria mkongwe nchini Mabere Marando kahamia CHADEMA, nimekuwa katika upembuzi yakinifu kutokana na historia yan nyuma ya mheshimiwa huyu.
Mabere Marando; kama wote tufahamuvyo aliwahi kuajiriwa serikalini kule kwa wale wanaojiita "Usalama wa Taifa" Wakati wa vugu vugu la vyama vingi, pamoja na wengine ikiwamo Mrema, ni mmoja wa watu walioutangazia umma kuhama CCM na kujiunga upinzani. Wakati huo NCCR-Mageuzi ilikuwa juu. Wakahamia huko na Mrema. Wakahamasisha watu wote tukaamini mageuzi yanakuja TZ katika uchaguzi huo wa 1995. Wote tunajua yaliyotokea. Marando baada ya kuivuruga NCCR-M akahama chama na kutokomea anakokujua; he stayed low profiled.
Iweje leo CHADEMA, "chuma kimeshika kasi" anatangaza tena kutoka huko anakokujua na kujiunga nacho? Maswali yanayonitatiza ni haya;
Je haiwezi kuwa, kutokana na historia ya kazi yake Mabere Marando "yuko kazini" CHADEMA?
Kuwavuruga na kisha aondoke akilalamika wakati amekimaliza chama chetu?
Ndugu zangu, naomba luwakilisha hoja yangu.
Go Dr. Slaa go...