Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Oooh Kumbe ndiyo maana ya Mwendazake? Sisi tunamshukuru tu Mungu kwa matendo yake makuu.Yule kiumbe kifo alikitafuta mwenyewe. Alilitaja jina la Mungu kama fasheni tu huku akimkufuru pakubwa. ..aliua, aliteka, alijikweza, na akaendekeza ushirikina katikati ya janga la korona.
Mungu akampa korona ili ikate umeme wa pacemaker na jehanamu aende.
Ndiyo maana nchi nzima kwa mara ya kwanza rais anafariki na kuitwa mwendazake badala ya hayati.
Mwendazake= mtu dhalili aliyekufa kifo dhalili.