Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,924
- 45,604
- Thread starter
- #21
24’ Seville wanapata goli la uongozi
🤣🤣🤣Sevilla nipigie hao takataka man shitye
Kama ataongeza kasiMan City atashinda
Grealish mwenyewe kapoa sanaCity hawezi kupenya kwenye ukuta wa Sevilla kwa kupitia pembeni
Kidogo Akamsalimie Kipa, WakamkwatuaHaaland unaweza sema hayupo
Nimeona aisee ile option man city ni sure sana .......Mimi nishamalizana nae. Nafikiri umeona kule mtaani kwetu
Arsenal piaNimeona aisee ile option man city ni sure sana .......
Kwa hiyo ndo kusemaa!? Na wewe uko ugiriki!?. Eti eeh!?Majira ya Saa 4:00 Usiku utapigwa mcheza wa Uefa Super Cup kati ya Man City dhidi ya Sevilla.
Ni mchezo wa ufunguzi kwa msimu mpya wa mashindano kwa ngazi ya vilabu barani Ulaya. Mchezo unaowakutanisha mabingwa wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya mabingwa wa Europa league.
Man City itamkosa staa na nahodha wake Kelvin De Bruyne ambaye atakuwa nje kwa miezi minne.
Sevilla sio timu ya kubeza ni moja ya timu sumbufu sana hivyo Man City watalazimika kucheza kwa umakini.
Mechi itakuwa live DStv kupitia chaneli ya 223 na 225
Live updates zitakuwepo hapa…