GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,802
Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la utakatishaji za zaidi ya Sh173 milioni na tayari amemuandikia barua mkurugenzi wa mashtaka (DPP) kukiri makosa na kuomba msamaha. Oktoba Mosi , 2019 kupitia wakili wake Jebra Kambole, alimuomba msamaha Rais Magufuli kama kuna makosa ameyafanya.
View attachment 1291137
Tatizo linaanzia hapo. Unakiri kosa halafu unasema "kama lipo kosa nililofanya"
Alipaswa akiri jumla jumla
Ndio tulipofikia hapo. Pole mama Kaflag