nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,009
- 840
Katika mabadiliko ya vipindi jana Clouds TV walikuwa wanakitambulisha kipindi kipya cha Wakongwe wa fani, na jana ilikuwa zamu ya Inspector Haroon na Juma Nature.
Kwa waliotazama jana naomba watoe maoni kati ya Babuu wa Kitaa na Gadner Habash nani apewe hicho kipindi?
Kwa waliotazama jana naomba watoe maoni kati ya Babuu wa Kitaa na Gadner Habash nani apewe hicho kipindi?