Malawi yadai kuishtaki Tanzania kwenye Umoja wa Afrika(AU)

Hawajui ya kwamba sisi hatujaribiwi wewe acha walete fyokofyoko za kichochezi tutawashughulikia inavyotakiwa
Hawa Wamarawi wanarijaribu gesi retu ra porisi. Hv hawajaona jinsi ririvyokuwa likiranda randa mitaani in show of force. Wasijaribu amir gesi wetu mkuu na mwenyekiti wa richama retu
 
Hivi vita na malawi nayo kweli itaitwa vita? Mbona kwa JWTZ hii ni kazi ya siku mbili tu. Hata hatuhitaji kupeleka vikosi vya ziada huko...walio huko wanatosha. Sema tu sisi ni taifa ambalo linapenda amani.
Do you know how powerful their supporters are?Naamani kuna mtu au watu nyuma ya Malawi,kwa hiyo tuchunguze kwanza hilo kabla ya kurasmisha kwamba tutawapiga.Prof.Kabudi katika mdahalo wa katiba mpya alisema,Nyonga za Africa yaan hips ni Congo na Tanzania,Congo mabeberu wameisha ikamata tayari imebaki Tanzania kwa hiyo tutengeneze mazingira ya kuilinda .Je,hao sio wanaoweza kuwa nyuma ya Malawi? Kama ndo wao je,ni akina nani?
 
Suluhu ya kudumu na hawa ngugu lazma ipatikane vinginevo tutafikishana pabaya
 
Hawa mahouseboy na mahouse girl mbona wanazidi kuleta usumbufu? Mimi nasema wapigwe tu, wameonywa sana hawa lakini wanajifanya vichwa ngumu, hakuna jinsi nyingine wapigwe tu.
 
Hivi vita na malawi nayo kweli itaitwa vita? Mbona kwa JWTZ hii ni kazi ya siku mbili tu. Hata hatuhitaji kupeleka vikosi vya ziada huko...walio huko wanatosha. Sema tu sisi ni taifa ambalo linapenda amani.
How far are you sure? Vita huwa zinakuwa na mambo mengi unajua ni nani yuko nyuma ya hao wamalawi. Tumuombe Mungu atuepushe na haya mabalaa ndugu yangu
 
Tanzania
IMG_20160914_145602.jpg

Malawi

IMG_20160914_145619.jpg
 
Silaha ya kwanza katika vita ni pesa!
Si majeshi wala vifaru!
Msicheze na vita, halafu huwezi kujua kilicho nyuma ya hizo chokochoko.

Na kama wewe unaona ni rahisi ebu nambie..
Tukiwapiga
tukawashinda dola ya malawi itakuwa tanzania? Kama inaendelea kuwa malawi maana yake ni kwamba umetengeneza adui wa kudumu!
Hii ni hatari!
 
Uzalendo na upendo wa watanzania kwa nchi yao umeshuka sana,ni below average kabisa ukifananisha na kipindi cha vita ya Kagera,LAKINI niwahahakikishie ndugu zetu wa Malawi, watanzania tuna hasira na viongozi wetu sio na nchi yetu,wakituchokoza tupo tayari kupambana nao battle ground,tutajitolea kwa hali na Mali na tutawatia adabu.Wajue kabisa tayari tupo Malawi walianzishe tu.
 
Sababu 10 zinazoesha kwanini Malawi haina ubavu wa kupambana na Tz kijeshi ni hizi zifuatazo
1. Geographical position; Malawi wapo uwanda wa chini na Tz ipo uwanda wa juu ni rahisi kushambuliwa kijeshi ukiwa chini wkt mwenzako yupo huu.
2 Population; Kwa sensa ya mwk 2012 Wa Tz wapo 45m Wamalawi wap hawavuki Milioni 25, ukubwa wa jeshi ni direct proportional na idadi ya popn.
3. Malawi haina jeshi la wana maji Navy Tz wanajeshi imara la Navy
4. Umbali wa miji mikuu, nirahisi kombora la Masafa marefu kufika Lilongwe ukiwa boda umbali ambao kombora la Masada marefu litaishia Iringa
 
Nimesoma koment zao wengi wanaona Malawi iko powerful sana kijeshi kwamba wataipiga tz kirahisi kama vita itatokea. Hawa jamaa wametusumbua sana toka enzi za kamuzu banda nadhani ifike wakati sasa tufanye maamuzi magumu
maamuzi magumu ni kama kujinyonga,...tufanye maamuzi makini...nguvu tunayo,sababu ya kuwapiga yunayo na nia ya kuwapiga tunayo...!
 
Tangu mwanzo vita vimekuwa vikisababisha matatizo makubwa
.Uchumi kudorora
.Njaa
.Mlipuko wa magonjwa
Jamani!!!Tusifike huko kwa
Kuwa hata mdororo mkubwa wa uchumi ( Great Economic depression)
Ilitokana na vita ya dunia
 
uzuri ni kuwa hakuna muwekezaji anaweza kuwekeza sehemu yenye mgogoro kama huu. Mwisho wa siku itabidi tukaechini tu.
 
Back
Top Bottom