Makamanda wa Polisi (Iringa & Dar) watofautiana sakata la Abdul Nondo

PoliCCM wameumbuka live kabala hata Nondo hajaongea.

Masinema alikuwa anayaweza Kova,
huyu Mambosasa apelekwe kozi ya mwezi mmoja kwenye chuo cha Sanaa Bagamoyo, ona sasa ameaacha CCM uchi wa mnyama alafu ukweni.
 
Hii ishu sasa inachosha, kila mtu anaongea lake anyway labda mahakamani ukweli utajulikana.
IMG-20180314-WA0014.jpeg
 
Zitto anamtetea wa Buzeba zeba Mwenzie
Watu wa Kigoma wanapenda sana Kick na nimejulishwa kuwa na Hako Katoto kanatokea kwny Mpaka wa Nchi yetu na Congo
 
UVCCM teknolojia imewaumbua.

Sinema hii policcm mmebaki uchi hatakama huyu Nondo akiwa ni raiya wa China.

Na Wewe unatekwa lini ?

Au kwenye orodha ya Ufipa haupo?

Mwenzio aliandaa kabisa Sweta Kwa kuwa 'alihisi' akitekwa atapelekwa Iringa

Nawe andaa Msuli Kwa kuwa utapelekwaPemba Kwa Mujibu w orodha hiyo
 
Zitto anamtetea wa Buzeba zeba Mwenzie
Watu wa Kigoma wanapenda sana Kick na nimejulishwa kuwa na Hako Katoto kanatokea kwny Mpaka wa Nchi yetu na Congo
Mungu anazidi kuwaumbua. Yaan na ww huoni uongo wa huyo RPC?
 
Mbona namuona Kamanda Mambosasa kama ana KITETEMESHI wakati akisoma hiyo taarifa?
Haya wataalamu wa Lie Ditector mje hapa kutupa tafsiri ya POLYGRAPH
 
Back
Top Bottom