Majanga kumi ya asili yaliyowahi kuitikisa dunia

Bitoz

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
30,823
126,539
Mwanamuziki Snura Mushi amewhi kutamba na wimbo wake maarufu wa Majanga kisha akapotea kimuziki hii ina maana kwamba msjanga huja tu ghafla na kuwatetemesha wanadamu kisha hupotea ila kamwe msjanga hayaishi
Pia waseahili husema Adui mwombee njaa kinachoendelea pale mitaa ya Twiga na Jangwani nafikiri kila mtu anakijua ......timu ya aananchi(Yanga) imekumbwa na njaa/ukata hivyo sasa ni kichdko kwa Wanamsimbazi maana sasa timu inafungwafungwa tu....Njaa mbaya !!!


Sasa tuangalie majanga kumi ya ssili yaliyowahi kuitikumba dunia na kusababisha mizoga ya watu kutapakaa kana takataka
.............................................. ............ . ...........


10/The March Of Sufferring/b]
e9949137f3b0400cece148704a84bd76.jpg
0db919e606270e73c03fac9bf11f01d6.jpg

Hii ni njaa ksli iliyomkumba bwana kiduku pale Korea ya Kaskazini
Ni njaa iliyoambatana na balaa pia la mafuriko.... ilitokea mwaka mwaka 19954 hadi 1998...yaani mafuriko yalisababisha njaa na mlipuko wa magonjwa
Majanga haya yalitokea kipindi ambacho viwanda nilikuwa vinadidimia kiuzalishaji na hivyo kusababisha kuyumba kiuchumi
Kuna baunsa anayeweza kuvumilia njaa ?
Hili janga lilikuwa ni kiboko kwani ni 20% tu ya sehemu za milimani ndio zilikuwa salama
Inakadiliwa watu milioni 3.5 walipoteza maisha achilia mbali mifugo na mali kibao(ila kumbuka wananchi wa huko hawaruhusiwi kumiliki magari)
 
Last edited:
9/African Drought
44c6d06f760b376f6ad6c197c5688bd6.jpg
b012c5a27a6d5b1c1b05b468e865d6ee.jpg

Mfalme Jiwe angekuwa madarakani kipindi janga hili la ukame likitokea basi angeitoa ile hotuba yake maarufu Serikali haina chakula cha msaada msipolima mtakufa njaa .....usishangae anafikiri mazao na mifugo inaweza kuhimili ukame !!

Huu ukame ulitokea barani Afrika kati ya mwaka 1981 hadi 1984
Nchi zaidi ya 20 ziliathirika huku Ethiopia ikiathirika hadi mwaka 1985
Mito na maziwa madogo yalikauka kiasi cha mtu kuweza kutandika godoro na kulala mtoni
Idadi kunwa ya Waafrika wanategemea kilimo na ifugaji hivyo mifugo na wanyamapori kufa kwa mamilioni
Mamilioni ya watu walikimbia makazi yao

Inakadiriwa zaidi ya watu milioni 1 walipoteza maisha
 
8/Chinese Famine
93f585fc4d107512cd6cebbc61f5219d.jpg
39ce1d6e1f94bdd34eec24e9c2deb074.jpg
Hili janga la njaa lilikuwa kiboko kiasi cha watu kuwindana yaani ukizubaa tu unakatwa tako
Ilirokiea kati ya mwaka 1959 hadi 1961 huko nchini China
Hii njaa ilitokana na ukame pia ukosefu w maji ulichangia kusambaa kwa magonjwa
Kitu kingine kilichozidisha ukunwa wa janga hili ni sera mbovu za Mao Zedong yaani alikuwa n mtawala wa kibabe hivyo hata kuwapatia chakula cha msaada ikawa shida

Inakadiriwa janga hili liliua takribani watu milioni 20
 
Last edited by a moderator:
7/The Yangtze, Yellow and Huai River Floods
68090903bf8d973a1d537a12b9eecfae.jpg
507fe0b968b9ef6dc7f86df7be21ed0b.jpg

Mito Hii mikubwa mitatu ilifurika kwa pamoja na kuleta balaa kubwa huko China kati ya July hadi Agosti 1931
Mvua kubwa iliyoambatana na upepo ilinyesha nchini humo mfululizo na kusababisha mito hiyo kufurika na kupelekea kuanza kutapika maji kwenye makazi ya watu
Mitaani pakajaa maj na watu kuanza kuishi maisha ya kambale,mashambani mazao yakasombwa na maji,barabarabni naji yakafurika na madaraja kuvunjika na kama ulikuwa na kibaby walker ndio msals zaidi
Iliaababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu na mali za mamilioni ya dola
Linatajwa kama janga baua zaidi la mafuriko duniani.,pia ni miongoni mwa majanga mabaya zaidi kuikumba duni katika karne ya 20

Inakadiriwa Wachina zaidi ya milioni 5 walifariki
 
6/The Flu Pandemic
680a637ca8ca743fb8640a46740975e0.jpg
fd303e4f02c34b3883dff7e85fd688c1.jpg

Unayadharau mafua?
Labda sababu siku hizi kuna dawa. ..nikujuze tu dawa rahisi ya mafua ni kutafuba tangawizi au kizitwangwa na kunywa kama juisi....sku mbili tu jnapona
Homa hii ya mafua iliikumba dunia kati ya mwaka 1918 hadi 1919 yaani vinamaliza tu vita vya kwanza ya dunia halafu linakuja janga jipya
Homa hii ilikuwa ni janga la dunia kwani ilisambaa sehemu kubwa duniani

Iliua zaidi ya watu milioni 75 huku ripoti zingine zikisema milioni 100
India pekee walikufa watu milioni 16(si mnajua Wahindi ni wachafu sasa sijui walijipangusa makamasi kwenye mashati)
Wahanga wakuu wakiwa watoto na wazee
Maiti zilitapakaa mitaani na kuonekana ni jambo la kawaida tu kama mizoga ya ng'ombe
 
Hebu funguka mkuu ilikuwaje ?

lake nyo ni natural disaster ilitokea cameroon kwenye vijiji vilivyozungukwa na volcanic lake.. carbon dioxide ilikuwa nyingi sana chini ya ziwa... siku moja landslide ilitokea mawe yalivyoanguka ziwani yalisababisha maji yacheze na kuifabya carbon dioxide iliyojaa chini ya ziwa itoke na kusambaa hewani... kila kiumbe hai kilichokuwepo hivyo vijiji kili suffocate... ilikuwa balaa kubwa sana... google lake nyo for more info
 
Back
Top Bottom