Tupo active mkuu weka episode hiyoSEHEMU YA SITA (6)
Tulipoishia…
Kipindi hicho matokeo walikua wanaandika majina kama sikosei (mtanirekebisha kama nimekosea) . So yule mtoto wa aunt alikua anajua namba ya shule ya BK SEC, nakumbuka ilikua S.0307/….. ndo namba ya mwanafunzi inafuata.
Nilipokea simu ya aunt na alikua akinipa taarifa za matokeo yangu
Tunaendelea…
Aunt alianza kwa kunisalimia “Hujambo” Mimi: Sijambo shikamoo aunt
Aunt: Nasikia matokeo yametoka
Mimi: (Kwa unyonge sana)ndio nimesikia
Aunt: Hongera mwanangu umefaulu
Baada ya hii kauli nilinyanyuka kitandani kwanza nikaweka bible pembeni,
Mimi: Umejuaje na nimepataje aunt
Aunt: una three (3) ya 24
Mimi: Asante Mungu…
Maongezi mengine yaliendelea pale na aunt na baada ya kunipongeza nilikata simu nikatoka nje speed kwenda kwa rafiki yangu.
Chaaap hao internet cafe… V alipata 3 ya 24 kama mimi na yule rafiki yetu mwimgine alipata 4 ya 26 ila combination zilibalance
Nilipokea simu kadhaa za hongera kutoka kwa Aunt wa Dar, Baba, Bro na wengineo wengi maana tayari hawakua na imani na mimi. Kwa upande wa marafiki zangu Mwanza kule hakuna hata mmoja aliyepata Div 1-3. Wengi walipata 4 wengine walipiga zero.
Nilimshukuru Mungu sana na nikakumbuka kauli ya V kuwa tukaze humu humu Arts.
Wakati nasubiri selection za shule, aunt alinipeleka kijijini kuna shule inaitwa KADEA, nilienda kufanya interview ya kujiunga na kidato cha 5. Na baada ya kuona matokeo yangu walisema nimechaguliwa kujiunga na shule hiyo.
Kwakweli sikutaka kabisa kusoma Bukoba tena, nilikua sijui naonaje mbaya zaidi nikasome bush… Noooh, nilijiambia mwenyewe.
Aunt bado hakunipa ruhusa kurudi Mwanza hivyo niliendelea kukaa pale pale kwake na maisha yaliendelea.
Selection zilitoka na nilipangiwa shule moja iko Mbeya Tukuyu huko ndani ndani (Sitoitaja jina). Sasa changamoto ikawa ni kumshawishi aunt niende Mbeya na sio Bukoba hapo.
Niliwasiliana na bro wa tabora boys, then yule bro mtoto wa aunt wa UDSM. Nikawapanga kabisaa wamwambie aunt faida za kusoma advance shule za serikali.
Maelezo yangu yalijificha kwenye sababu ya mikopo ya chuo. Kwamba nikisoma private chuo sitopata mkopo. Pia tulifuatilia ufaulu wa shule ya mbeya na hiyo KADEA ikaonekana ile shule ya Mbeya wanafaulu sana.
Baada ya siku kadhaa aunt alikubali na mchakato ukaanza. Form 5 nilichaguliwa mchepuo wa HGK.
Wakati wote niliokaa bukoba, nilikua nikipata nafasi naenda kijijini pale kwenye kaburi la Mama kumsalimia. Hata kabla ya kuondoka Bukoba nilienda tena pale alipolala mama.
Kipindi nimemaliza form 4 Aunt alinipa hela nikafungue Acc bank. Hivyo acc yangu ya kwanza ya Bank nilianza kuitumi 2010, ilikua CRDB.
Aunt wa Dar alinipigia na kuniuliza nini nahitaji ili viniwezeshe shuleni, Nilimwambia vitabu.
Niliondoka Bukoba kwenda Dar lakini aunt safari hii aliniruhusu nipite Mwanza kumsalimia Baba na alinipa siku 2 tu then niende Dar
Ilikua 2011 tayari na nilirudi Mwanza kwa mbwembwe sana, safari nzima nawaza namna ntamwona Crush wangu wa tangu utotoni.
Niliwasili Mwanza mapema tu na shughuli kubwa ilikua ni kutembelea marafiki zangu. Jioni yake nilionana na Crush wangu ( Clara tumwite hivyo) na tulikubalina siku nnayoondoka nikalale Lodge pale Nyegezi na yeye angetoka kwao ili tulale wote. Nami nilikubali ukizingatia nilikua na visent kwenye Acc yangu.
Mzee alifurahi sana na hakuna mkali tena hadi leo hii. Kesho mchana nilinunua simu mpya ya mchina nakumbuka niliweka ringtone nyimbo ya 20%.
Jioni nilijiandaa vyema na safari kwenda Nyegezi ikaanza, tulipanga kukutana na Clara maeneo ya Ghana then tuondoke wote na ilikua hivyo.
Nilimpend Clara ila Jane alikua mzuri sana. Basi tulipata Lodge pale Nyegezi na tukaenda kununua vyakula tukarudi ndani.
Clara alikua Bikra kabisaaa na hiyo siku ndo nilitoa usichana wake.
Alimia sana ila hatukua na namna maana alikua tayari kwa kile kilichokua kinaendelea.
Asubuhi niliondoka na Clara alisubiri hadi bus liondoke ndo akaondoka ila alikua na maumivu makali mno na hata tembea yake haikua kawaida.
Wakati niko njiani tulikua tukichat na alinijulisha kuwa anaumwa sana, amepata hadi homa. Nilimpa pole nyingi na kumwambia ajikaze home wasijue.
Kwa upande wa Jane baada ya kumaliza form 4 alienda Dar kwa mpenzi wake baadae akaenda mwanza kwa dada yake (niliambiwa na mwenzake) lakini taarifa niliyokuwa nayo wakati naenda Advance ni kuwa Jane tayari ana mimba kubwa tu.
TUTAENDELEA…..
Kama bado tuko active niandike epsode moja ya mwisho kwa leo
NB: This is my true story, sijacopy mahali… Nimeileta hapa maana huko mbeleni nahitaji ushauri wenu muhimu
Nimekuwa nikitoa pesa kwa mwanangu ili apewe ajab siku nakanwa kuwa sijatoa kituNakupa elimu ndogo kabisa, Ni baba yenu ndie alikuwa anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia / kuwapa mnadhani ni zake.
Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
Huko mbele ntaelezea kilichonikuta na mimi bro… tuendelee kufatiliaNimekuwa nikitoa pesa kwa mwanangu ili apewe ajab siku nakanwa kuwa sijatoa kitu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Thanks broUnajua kusimulia wee jamaa, amazing sana!
Asante sana broUnajua kusimulia wee jamaa, amazing sana!
Sawa nashusha kumi usiku huuWeka episode zote
Ni watoto wajinga tu ndio huvuka hiyo hatua bila kujua kilichokua kikiendeleaKwanini baba asiwape mwenyewe hivyo vitu kama nguo au aseme nitampa mama yenu atawapa? Mambo hayo ndio wababa hua mnakosea halafu baadae watoto wakilipa fadhila kwa mama mnaumia.
Hahahah hamna shida mkuu hata hivyo sio siri so hakuna tatizoMkuu nipo tukuyu na nshaijua shule uliyosom kun namn hukufich code vizuri
Yes bro, wana moyo wa kipekee sanaNaweka kambi hapa.
Nimefarijika kuhusu ndugu zenu walivyo wajali na kuwafanya kutokuwa wapweke kuhusu swala la kumpoteza mama.
Ww jamaa mbona buyekera napajua sana nahistoria napo ...tukuyu pia napajua mwaka 2009 nilikuwa fom six hukoSEHEMU YA SITA (6)
Tulipoishia…
Kipindi hicho matokeo walikua wanaandika majina kama sikosei (mtanirekebisha kama nimekosea) . So yule mtoto wa aunt alikua anajua namba ya shule ya BK SEC, nakumbuka ilikua S.0307/….. ndo namba ya mwanafunzi inafuata.
Nilipokea simu ya aunt na alikua akinipa taarifa za matokeo yangu
Tunaendelea…
Aunt alianza kwa kunisalimia “Hujambo” Mimi: Sijambo shikamoo aunt
Aunt: Nasikia matokeo yametoka
Mimi: (Kwa unyonge sana)ndio nimesikia
Aunt: Hongera mwanangu umefaulu
Baada ya hii kauli nilinyanyuka kitandani kwanza nikaweka bible pembeni,
Mimi: Umejuaje na nimepataje aunt
Aunt: una three (3) ya 24
Mimi: Asante Mungu…
Maongezi mengine yaliendelea pale na aunt na baada ya kunipongeza nilikata simu nikatoka nje speed kwenda kwa rafiki yangu.
Chaaap hao internet cafe… V alipata 3 ya 24 kama mimi na yule rafiki yetu mwimgine alipata 4 ya 26 ila combination zilibalance
Nilipokea simu kadhaa za hongera kutoka kwa Aunt wa Dar, Baba, Bro na wengineo wengi maana tayari hawakua na imani na mimi. Kwa upande wa marafiki zangu Mwanza kule hakuna hata mmoja aliyepata Div 1-3. Wengi walipata 4 wengine walipiga zero.
Nilimshukuru Mungu sana na nikakumbuka kauli ya V kuwa tukaze humu humu Arts.
Wakati nasubiri selection za shule, aunt alinipeleka kijijini kuna shule inaitwa KADEA, nilienda kufanya interview ya kujiunga na kidato cha 5. Na baada ya kuona matokeo yangu walisema nimechaguliwa kujiunga na shule hiyo.
Kwakweli sikutaka kabisa kusoma Bukoba tena, nilikua sijui naonaje mbaya zaidi nikasome bush… Noooh, nilijiambia mwenyewe.
Aunt bado hakunipa ruhusa kurudi Mwanza hivyo niliendelea kukaa pale pale kwake na maisha yaliendelea.
Selection zilitoka na nilipangiwa shule moja iko Mbeya Tukuyu huko ndani ndani (Sitoitaja jina). Sasa changamoto ikawa ni kumshawishi aunt niende Mbeya na sio Bukoba hapo.
Niliwasiliana na bro wa tabora boys, then yule bro mtoto wa aunt wa UDSM. Nikawapanga kabisaa wamwambie aunt faida za kusoma advance shule za serikali.
Maelezo yangu yalijificha kwenye sababu ya mikopo ya chuo. Kwamba nikisoma private chuo sitopata mkopo. Pia tulifuatilia ufaulu wa shule ya mbeya na hiyo KADEA ikaonekana ile shule ya Mbeya wanafaulu sana.
Baada ya siku kadhaa aunt alikubali na mchakato ukaanza. Form 5 nilichaguliwa mchepuo wa HGK.
Wakati wote niliokaa bukoba, nilikua nikipata nafasi naenda kijijini pale kwenye kaburi la Mama kumsalimia. Hata kabla ya kuondoka Bukoba nilienda tena pale alipolala mama.
Kipindi nimemaliza form 4 Aunt alinipa hela nikafungue Acc bank. Hivyo acc yangu ya kwanza ya Bank nilianza kuitumi 2010, ilikua CRDB.
Aunt wa Dar alinipigia na kuniuliza nini nahitaji ili viniwezeshe shuleni, Nilimwambia vitabu.
Niliondoka Bukoba kwenda Dar lakini aunt safari hii aliniruhusu nipite Mwanza kumsalimia Baba na alinipa siku 2 tu then niende Dar
Ilikua 2011 tayari na nilirudi Mwanza kwa mbwembwe sana, safari nzima nawaza namna ntamwona Crush wangu wa tangu utotoni.
Niliwasili Mwanza mapema tu na shughuli kubwa ilikua ni kutembelea marafiki zangu. Jioni yake nilionana na Crush wangu ( Clara tumwite hivyo) na tulikubalina siku nnayoondoka nikalale Lodge pale Nyegezi na yeye angetoka kwao ili tulale wote. Nami nilikubali ukizingatia nilikua na visent kwenye Acc yangu.
Mzee alifurahi sana na hakuna mkali tena hadi leo hii. Kesho mchana nilinunua simu mpya ya mchina nakumbuka niliweka ringtone nyimbo ya 20%.
Jioni nilijiandaa vyema na safari kwenda Nyegezi ikaanza, tulipanga kukutana na Clara maeneo ya Ghana then tuondoke wote na ilikua hivyo.
Nilimpend Clara ila Jane alikua mzuri sana. Basi tulipata Lodge pale Nyegezi na tukaenda kununua vyakula tukarudi ndani.
Clara alikua Bikra kabisaaa na hiyo siku ndo nilitoa usichana wake.
Alimia sana ila hatukua na namna maana alikua tayari kwa kile kilichokua kinaendelea.
Asubuhi niliondoka na Clara alisubiri hadi bus liondoke ndo akaondoka ila alikua na maumivu makali mno na hata tembea yake haikua kawaida.
Wakati niko njiani tulikua tukichat na alinijulisha kuwa anaumwa sana, amepata hadi homa. Nilimpa pole nyingi na kumwambia ajikaze home wasijue.
Kwa upande wa Jane baada ya kumaliza form 4 alienda Dar kwa mpenzi wake baadae akaenda mwanza kwa dada yake (niliambiwa na mwenzake) lakini taarifa niliyokuwa nayo wakati naenda Advance ni kuwa Jane tayari ana mimba kubwa tu.
TUTAENDELEA…..
Kama bado tuko active niandike epsode moja ya mwisho kwa leo
NB: This is my true story, sijacopy mahali… Nimeileta hapa maana huko mbeleni nahitaji ushauri wenu muhimu
Dunia ndogo sana mkuuWw jamaa mbona buyekera napajua sana nahistoria napo ...tukuyu pia napajua mwaka 2009 nilikuwa fom six huko
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app