Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,422
Jaji wa Mahakama kuu ya Kenya Anthony Mrima amefuta maagizo yaliyotolewa na Kamati ya Ushauri ya Usalama wa Kitaifa(NSAC) iliyopiga marufuku mikutano ya umma na ya kisiasa nchini humo katika kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya UVIKO 19.
Jaji Mrima amesema agizo hilo lilikuwa kinyume cha katiba.
My take:
Haya hayawezi kamwe kutokea Tanzania kwa sababu mihimili yetu ya Mahakama na Bunge huwa inawekwa mfukoni na Rais.
Ni jukumu la Raia wote bila kuangalia vyama vyetu kupigania uhuru wa mihimili hii ili kuwa na Taifa linalojali haki za binadamu,demokrasia, maendeleo na kuheshimu katiba.
Hongera sana Wakenya kwa kufikia hatua hii.
Source:
Jaji Mrima amesema agizo hilo lilikuwa kinyume cha katiba.
My take:
Haya hayawezi kamwe kutokea Tanzania kwa sababu mihimili yetu ya Mahakama na Bunge huwa inawekwa mfukoni na Rais.
Ni jukumu la Raia wote bila kuangalia vyama vyetu kupigania uhuru wa mihimili hii ili kuwa na Taifa linalojali haki za binadamu,demokrasia, maendeleo na kuheshimu katiba.
Hongera sana Wakenya kwa kufikia hatua hii.
Source: