albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,043
- 2,027
Wapo KIKWETE wanautafuta was nne kwa spidi ya hatar.... Na hata dalili hamnaHivi kuna maservice JKT ambao wanazidi miaka miwili (au mitatu wakiongezewa mda) ?
Wapo KIKWETE wanautafuta was nne kwa spidi ya hatar.... Na hata dalili hamnaHivi kuna maservice JKT ambao wanazidi miaka miwili (au mitatu wakiongezewa mda) ?
Mmmh aiseeeh, ni hatari sana.Kuna afande aliniambia kwamba kuna maservice men walikuwa JKT kwa miaka mitano, walikuwa RTS kihangaiko.Kumbe inaelekea ni kweli maana nilidhani ananidanganya.Sasa, hata vikosi Vya ulinzi na usalama vikiwa vinakuja JKT kutafuta kuruti, si wanaokuwa wamekaa miaka mingi wanakuwa wamekosa sifa ya umri kwenda huko vikosini au wanachukyliwa hivyo hivyo tuu ?Wapo KIKWETE wanautafuta was nne kwa spidi ya hatar.... Na hata dalili hamna
TrueNjooni kitaa tuu, atlest unaweza ukabahatisha fursa yko kitaa kuliko kuendelea kupata stress hko.
Uko sahihi ,,watu wana mengi moyon ngoja tukae kimya tuSasa stress za nn Kaka zao si wangeshakufa bado wanakomaa mpka leooo miaka 4.
Wakomae tu mi nawalilia JK kiukweli n wanaume.
Jkt ya Sasa Bora ulime mchocha home tu ndugu zangu.
moshi ayupo kwaxx kaenda coz. nkya tunasumbuana mno.Hapo mafinga moshi na nkya wapo
Komaa mkuu,,usife moyo fight uingie chombonNdoto yangu kujiunga na jkt to jwtz bdo haijafa.
Yaan hata iweje ni ndoto ambyo nilijiwekea.. Kama umri utaniruhusu ntajiunga tu bdo mim kijana tuKomaa mkuu,,usife moyo fight uingie chombon
Una fani gani Mkuu?Ndoto yangu kujiunga na jkt to jwtz bdo haijafa.
Mkataba unaisha tarehe 30 octoberwakuu. polen na majukumu?
ivi op. magu ni nn kinaendelea, kuongeza mkataba au vp.? maana wanaishi kwa stress sana...
Waje kitaa kujiajiri maana JKT haiajiri ila pole yao vijanaMkataba unaisha tarehe 30 october
ndo hvo bado siku 39 ka cjakosea mikeHvi mkataba si ndo upo ukingon mike
Si hata waliowatangulia nyie ambao ni Op Kikwete bado wengine wapo makambini jamani ? Sasa nyie Op Magufuli mlioenda baada yao mnahitimishiwaje mkataba kabla yao Mkuu ? Mungu ni mwema mtaongezewa mda tuu msijari.ndo hvo bado siku 39 ka cjakosea mike