Thadei Ole Mushi
R I P
- Oct 13, 2018
- 35
- 259
Na Thadei Ole Mushi
Uganda ipo mbioni kupoteza umiliki wa Uwanja wake wa ndege wa Entebe baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja huo wa Entebe. Gazeti la Mwananchi Leo limeripoti habari hii pitia link ifuatayo kuona:-.
Mwaka 218 kwenda 2019 China iliizingua Sana Zambia wakati ilipotaka kushikilia Shirika la uzalishaji Umeme la ZESCO baada ya Zambia kushindwa kuwalipa Deni Leo.
Huko Sri-Lanka nako wachina wameshikilia Bandari ya nchi hiyo kwa Lengo lile lile la kulipa madeni ya China.
Mwaka Huu China wamewakatalia Kenya kuongeza Muda wa Kulipa Deni lake wanalowadai Kenya hivyo wanataka kushikilia Bandari ya Mombasa. Uhuru Kenyata ameenda kuwaangukia IMF kuona kama wanaweza kuwasaidia kuwalipa wachina Hilo Deni kuokoa Bandari yao isichukuliwenna wachina. Fuata Link hii hapa kusoma:-.
Niliwahi kuwasimulia namna Sera ya "conspirancy" inavyofanya kazi Afrika na mataifa mengine na Leo tumepata mfano halisi toka Uganda.
John Perkins kupitia kitabu chake "Confession of an Economic Hit man" anatufunulia jinsi sera ya Conspiracy inavyofanya kazi Duniani.
Perkins anaelezea kazi aliyokuwa akiifanya bila yeye kujua kwenye Kampuni la MAIN (Consulting and engineering Company)
Aliajiriwa kama mfanyakazi kwenye kampuni hiyo ambalo ni Kampuni binafsi ila shughuli zake ziliathiriwa na mkono wa Serikali (Ujasusi) bila yeye kujua.
Kazi yake kubwa ilikuwa ni kushawishi nchi maskini zikope mikopo kwa ajili ya miradi mikubwa katika nchi zao. Miradi kama vile ujenzi wa miundombinu ya Reli,Ujenzi wa Mabwawa ya Umeme, ujenzi wa Bandari, Viwanja vya Ndege nk ambapo utasaidiwa kukopeshwa aidha na World bank, IMF au USAID.
Perkins alikuja kugundua kuwa njia hii ya kukopesha mikopo mikubwa ambayo hailipiki ni njia mojawapo ya Taifa la Marekani kuendelea kupata maeneo ya kunyonya katika nchi maskini.
Perkins anatoa mifano jinsi alivyofanikisha kuingiza Indonesia kwenye Mtego huo na nchi nyingine nyingi.
Kwa Sasa China anatumia Sana "CONSPIRACY POLICY" kiutawala Dunia hasa Afrika Kiuchumi.
Kwa nchi ambazo zinaendelea na zenye rasilimali kama Gesi, Madini na mafuta Marekani na Sasa China huwa hawalali kwenye kuhakikisha inatafuta kuwakopesha.
Wakati tukifuatilia huko Uganda tuendelee kufshamu kuwa Mwaka Jana Serikali ya Awamu ya Tano ilikopa pale Standard Charter Trilion 3.3 za Kujenga SGR Fuata Link kusoma.
Tukiendelea kusoma hayo ya Standard Charter tufahamu pia kuwa pale Exim bank ya China mwaka 2016 tulifanya nao makubaliano ya kupatiwa USD 7.6 Bilioni fuata link tupunguze maneno mengi.
Link ya Mwisho hapo juu isomwe pamoja na hii hapa chini
Kwa Sasa hivi China Pekee imeshakopesha nchi mbalimbali za Africa USD 148 Bilion. Na Inaendelea kukopesha, poleni sana Uganda njia yetu ni Moja waafrica Wote.
Ole Mushi
0712702602
Uganda ipo mbioni kupoteza umiliki wa Uwanja wake wa ndege wa Entebe baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja huo wa Entebe. Gazeti la Mwananchi Leo limeripoti habari hii pitia link ifuatayo kuona:-.
Deni kusababisha Uganda kupoteza Uwanja wa Entebbe
Maafisa wakuu wa Uganda wamejikuta kwenye tafrani baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili...
www.mwananchi.co.tz
Mwaka 218 kwenda 2019 China iliizingua Sana Zambia wakati ilipotaka kushikilia Shirika la uzalishaji Umeme la ZESCO baada ya Zambia kushindwa kuwalipa Deni Leo.
Huko Sri-Lanka nako wachina wameshikilia Bandari ya nchi hiyo kwa Lengo lile lile la kulipa madeni ya China.
Mwaka Huu China wamewakatalia Kenya kuongeza Muda wa Kulipa Deni lake wanalowadai Kenya hivyo wanataka kushikilia Bandari ya Mombasa. Uhuru Kenyata ameenda kuwaangukia IMF kuona kama wanaweza kuwasaidia kuwalipa wachina Hilo Deni kuokoa Bandari yao isichukuliwenna wachina. Fuata Link hii hapa kusoma:-.
Desperate UHURU turns to IMF for help as China threatens to take over Mombasa Port if Kenya does not pay back its loan in time – LOOK!
Tuesday, September 21, 2021 – President Uhuru Kenyatta has turned to the International Monetary Fund (IMF) for help to settle loans advanced by the Chinese Government. This is after China decl…
kenyan-post.com
Niliwahi kuwasimulia namna Sera ya "conspirancy" inavyofanya kazi Afrika na mataifa mengine na Leo tumepata mfano halisi toka Uganda.
John Perkins kupitia kitabu chake "Confession of an Economic Hit man" anatufunulia jinsi sera ya Conspiracy inavyofanya kazi Duniani.
Perkins anaelezea kazi aliyokuwa akiifanya bila yeye kujua kwenye Kampuni la MAIN (Consulting and engineering Company)
Aliajiriwa kama mfanyakazi kwenye kampuni hiyo ambalo ni Kampuni binafsi ila shughuli zake ziliathiriwa na mkono wa Serikali (Ujasusi) bila yeye kujua.
Kazi yake kubwa ilikuwa ni kushawishi nchi maskini zikope mikopo kwa ajili ya miradi mikubwa katika nchi zao. Miradi kama vile ujenzi wa miundombinu ya Reli,Ujenzi wa Mabwawa ya Umeme, ujenzi wa Bandari, Viwanja vya Ndege nk ambapo utasaidiwa kukopeshwa aidha na World bank, IMF au USAID.
Perkins alikuja kugundua kuwa njia hii ya kukopesha mikopo mikubwa ambayo hailipiki ni njia mojawapo ya Taifa la Marekani kuendelea kupata maeneo ya kunyonya katika nchi maskini.
Perkins anatoa mifano jinsi alivyofanikisha kuingiza Indonesia kwenye Mtego huo na nchi nyingine nyingi.
Kwa Sasa China anatumia Sana "CONSPIRACY POLICY" kiutawala Dunia hasa Afrika Kiuchumi.
Kwa nchi ambazo zinaendelea na zenye rasilimali kama Gesi, Madini na mafuta Marekani na Sasa China huwa hawalali kwenye kuhakikisha inatafuta kuwakopesha.
Wakati tukifuatilia huko Uganda tuendelee kufshamu kuwa Mwaka Jana Serikali ya Awamu ya Tano ilikopa pale Standard Charter Trilion 3.3 za Kujenga SGR Fuata Link kusoma.
BENKI YA STANDARD CHATERED YAIKOPESHA TANZANIA SH. TRILIONI 3.3 KUJENGA RELI YA KISASA-SGR
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa tatu kushoto)), na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chattere...
www.zanzinews.com
Tukiendelea kusoma hayo ya Standard Charter tufahamu pia kuwa pale Exim bank ya China mwaka 2016 tulifanya nao makubaliano ya kupatiwa USD 7.6 Bilioni fuata link tupunguze maneno mengi.
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway
Dar es Salaam is positioning itself as a regional hub, upgrading its port to attract more business from its neighbouring landlocked countries.
www.theeastafrican.co.ke
Link ya Mwisho hapo juu isomwe pamoja na hii hapa chini
Tanzania requests for loan to Turkish Eximbank to fund new SGR
Tanzania is looking for funds from state-owned Export Credit Bank of Turkey (Eximbank) to help finance a stretch of a new railway that may help open up east Africa's hinterland and compete with...
www.logupdateafrica.com
Kwa Sasa hivi China Pekee imeshakopesha nchi mbalimbali za Africa USD 148 Bilion. Na Inaendelea kukopesha, poleni sana Uganda njia yetu ni Moja waafrica Wote.
Ole Mushi
0712702602