Madam Wema Sepetu, tusamehe Watanzania

sawa

madam watu wanamitazamo tofauti sema wema sometimes anaboa avai pichu ya ndani
mmmhhh huko sipo na kuhusu kuntovaa hii imekuwa kawaida kwa wasichana na wamama walio wengi,mi nilichokuwa na pinga ni kwa watu kulazimisha kuona upande mmoja tu wa maisha yake inhali ana upande mwingine pia
 
mmmhhh huko sipo na kuhusu kuntovaa hii imekuwa kawaida kwa wasichana na wamama walio wengi,mi nilichokuwa na pinga ni kwa watu kulazimisha kuona upande mmoja tu wa maisha yake inhali ana upande mwingine pia
sawa ila kwann hawavai the big reason is what?
 
Naona kakutuma uje umsifie, vp umepewa bei gani mkuu huyu madame wako si ndio kishoka aliyechakachua LUKU?

Leo hii unakuja kutusumbua hapa?

Binafsi na familia yangu sitaweza kumuomba msamaha mtu aliyekwepa kulipa umeme.
Wewe katika maisha yako hujawahi kuchakachua chohote?? ningekuona wa maana kama ungewasakama waloiba mabilioni ya escrow na mengineo na sio issue ya wema, kama ingekuwa Wema ndo ameiba baba mwenye nyumba angekubali kulipa deni? upo uwezekano ni wenye nyumba wenyewe ndo wanaofanya hizo issue.
 
Inaniuma sana mkuu. Wakati mwingine hizi ni laana za Kitaifa. Imagine mtu anamchukia Wema wakati hajawahi kumfanya lolote, wanaacha kuwamaindi waandishi uchwara ambao kila leo wanawaharibia watu wanyonge maisha, kwa kuandika habari zao bila faraga wala kificho.

Naamini tukiwachukuza GPL na programu zao kama OFM tutakuta wameharibu sana ndoa, mahusiano, saikolojia na hata kuwafanya wengine wajiue. Ila mmiliki ni mfano wa kuigwa na Wema ndio Mama Ubaya!
Tuondoleeni Ujinga huku.
 
Tatizo la Wema ni moja hasikilizi ushauri wa mtu hufanya vile anavyojisikia na ndo hapo anapoharibikiwa Zaidi mana mie naita ni kuharibikiwa (kimaisha) yani Wema ni msanii ambae alipaswa awe na kipato kikubwa kushinda wasanii wote, lakini style ya maisha yake sio, mashoga, kunywa starehe n.k. hana akili ya biashara ni mwaka huu 2016 ndo ameamka kibiashara, hata alipofungua ile ofisi yake hakuna kazi ambazo zilifanyika kihivyo, kama jinsi kampuni yenyewe ilivyokuwa, Wema angelitumia jina lake vyema angekuwa mbali sana, matokeo yake anabaki kuwafaidisha wengine kuwapa umaarufu na kutoka kibiashara. Mungu anampa au kumuongezea alichonacho sabab tu ana moyo wa kutoa, na hana roho mbaya japo ana kasoro zake za kibinadamu, kuhusu list ya wanaume alowahi kuwa nayo bado hainafanyi kumuita Malaya, mana kuna wadada ambao wamepitisha hata hao alowahi kutoka nao yeye sema sabab tu yeye ni maarufu, na kuna wanaume midomo mirefu kumponda wanajisahau wake zao mpaka leo wanachapwa huko nje na wanaume tofauti na usikute hata mitoto mingine wanalea sio yao, lakini bado anamnyooshea wema kidole tuwe makini sana, wanaofanya kwa siri ndo wabaya Zaidi.
 
Hapana Madamu Ni kimeo..Alithibitisha yy mwenyewe kutoaa Mmimba Eti alikuwa Mdogoo 2,Akiwa Na Diamond pia Na CK woote kwa mpigooo 3...baada ya kupora mume Wa MTU CK nae kuporwaa Na Kajala Bifu likaanza (amesahau mtenda hutendwa)kujichubuaa.ngozii ya asili) 4.kumsimanga Mtoto Wa mwenzioo Mbaya kimafumboo (azae wake mzuri kama anaweza)5.kuishi kiujanjajanja hapa Mjini bila kulipa Bills kama Maji Na Umeme ila za kutuza watu majukwaani anazoo..
...heeeeee madam why not living your life..Faking life it doesn't make any good on you..plz Madam jjiombee msamahaa Kwanzaa wewe kwa Mungu unayemkosea..hayaa hapoo kati Na Mkongo man...MTU umekutana nae Mara makis ya maudendaa..Ukimmwi mama Hata miss Endless fame..yetu macho
 
mmmmhhh we ni zaidi ya hater,kipi cha ajabu alichofanya wema mpk asifae kuwa mke wa mtu,wanaolewa makahaba walioshindikana sembuse wema looooh


Usibishane na usemi wa "Kunguru hafugiki," jaribu kumuoa kama hutokuja kujiua kwa kero za ndoa. Wahenga wanasema nyota njema uonekana alfajiri, shauri lako.
 
humu ndani kuna Miungu watu wanajikuta wao wasafi kumbe ndo wachafu mpk shetani anaomba poo....wema ana mabaya yake ila pia she has a good side of her kama binadamu wengine penye ukweli tuseme....


Ebu Wema tuambie mwenyewe ni nini cha maana ulichokifanya hapa Tanzania?

Umiss haukushinda ulipewa tu kutokana na jina la baba yako. Jiulize, una uzuri gani shinda Jokate au Lisa Jensen? Hawa wanakuzidi mara 10 kwa uzuri.

Umiss haujautendea haki Zaidi ya scandals za kupora mabwana kutwa kucha. Wewe ni mwizi wa maji na umeme na ilibidi uwekwe ndani ila Kikwete kwa usanii wake akakuachia tu.

Wanawake wenzako popote pale wakuonapo hawataki kujihusisha na wewe kutokana na tabia yako ya kujirahisisha na mabwana zao kisha kuishia kutoka nao kimapenzi.

Maisha yako ni ya kuunga unga kimagumashi, ukiona mtu ana hela unamwita kaka mwisho anakuwa mpenzi wako, utamfirisi kama Idrissa mwisho unamtema akiishiwa.

Ni nini cha maana ulichokifanya hapa Tanzania? Nobody hates you, you are just bogus na tumekuchoka.
 
Back
Top Bottom