ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 44,186
- 91,811
Mleta mada ameandika vizuri ila kwa kuchanganya mambo, kila kada ina kazi yake na kazi ya daktari sio hiyo uliyotaja. Daktari hahusiki kabisa kwenye uvumbuzi wa dawa wala vifaa tiba, wenzetu ni kweli Mungu kawapa uwezo zaidi yetu ila daktari sio kazi yake kugundua dawa kwa ajili ya ugonjwa fulani.
Labda ungetupia lawama kwa pharmaceutical scientists, lakini sio daktari.
Labda ungetupia lawama kwa pharmaceutical scientists, lakini sio daktari.