Madaktari wengi ni misukule walio hai

Mleta mada ameandika vizuri ila kwa kuchanganya mambo, kila kada ina kazi yake na kazi ya daktari sio hiyo uliyotaja. Daktari hahusiki kabisa kwenye uvumbuzi wa dawa wala vifaa tiba, wenzetu ni kweli Mungu kawapa uwezo zaidi yetu ila daktari sio kazi yake kugundua dawa kwa ajili ya ugonjwa fulani.

Labda ungetupia lawama kwa pharmaceutical scientists, lakini sio daktari.
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Nilichogundua ulikuwa unatamani sana kuvaa koti jeupe lakin ndo hivo tena qualifications zilikutema hata hizo D mbili ulikosa
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Una hasira zako binafsi wala usiwashambulie wataalamu wetu
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Ngoja nikupe elimu kidogo kwanza daktar,nesi, hawahusiki kabisa na kuvumbua dawa za magonjwa sugu yanayotusumbu huwezi kuelewa sababu upo out of this field. Nipo hapa scientist ngoja nikueleweshe mpaka sasa bado tunaendelea na tafit mbali mbali tena ambazo zinatumia gharama kubwa mnoo usifikir vitu vinaenda kama nyanya kwenye tenga zinavyoenda sokoni watu wapo kazin hawalali kila siku tafit zinaendelea na ni hapa hapa tz na wataalam wetu wa hapa hapa ndo wanaendelea na Tafit hizo na kuandaa maandiko ya kisayansi ipo siku na sisi tutakuwa tu kama nchi za wenzetu kingine elewa kwamba wenzetu wametuacha kwa miaka mingi sanaa wapo mbele yetu sana sisi hapa tz unaweza ukawa upo tayari kufanya tafit fulani kuhusu gonjwa fulani eneo fulani ili uweze kuleta matokea chanya kwenye kutafuta fund sasa ili uweze kuendesha tafit yako asee uta struggle sana na huwezi fanikiwa! kwaiyo wewe tulia tutafika tu acha papala
 
Hao oncologists kazi yao ni nini huko mahospitalini mbona kila ukienda wanakwambia kansa haina dawa??

Mimi nilifikiri kazi ya wataalamu ni kutoa suluhisho, kumbe kazi yao ni kukueleza kwamba jambo fulani halina suluhu! Eboo!!

Sasa kama ni hivyo, si waondoke hapo hospitali wakawe vibarua wa mashamba ya alizeti tupate mafuta mengi tuongeze uchumi wa taifa.
Nafurahi sana kukuelimisha BICHWA KOMWE -
Sasa Nisikilize..

Katika Kada ya Afya au Katika Matibabu..
Kuna sector Kuu Tatu au kuna Kada kuu tatu..
  • Matibabu/Tiba
  • Kinga
  • Utafiti/Research/Study
Sasa Rafiki ni kwamba Kila sector inategemea nyingine japo zinafanya kazi kwa utofauti sana..

Matibabu/Tiba inahusika na Kuzuia magonjwa kutosababisha madhara zaidi kwenye mwili wa Binadamu (Baada ya mtu akishapatwa nayo) na pia kuzuia kifo na hii mara nyingi ndo watu huiiona kwa sababu iko Mahospitali na Bituo vingi vya afya.

Kinga hii inafanya kazi kwa ukaribu sana na hiyo ya kwanza ambapo Mtu huweza kuzuia Magonjwa kabla hayajatokea kwa Kutoa Dawa kinga kama Prophylaxis na hasa Chanjo (Ambazo najua wengi wanazo)..

Utafiti/Research/Study Hapa tunadeal sana sana na kufanya Reseaech kuhusu Magonjwa yaani Hapa mambo ya Epidemiology na Biostatistics sana kujua magonjwa yanatokeaje magonjwa haya yanapata watu gani na kwanini yawepate na yanaambukizwaje na hawa ndo wenye jukumu la kuingia maabara na kuja na suluhisho la matibabu au kutoa suluhisho la Chanjo kwa ajili ya Ugonjwa..

Sasa, Hivi vitengo haviingiliani japo vinafanya kazi kwa pamoja huwezi kuta Mtu wa chanjo anamwambia Mtu wa matibabu kwanini unatibu wakati mimi natoa chanjo ya huo ugonjwa?
Au mtu wa matibabu anawambia mti wa chanjo kwanini unatoa Chanjo wakati mimi natibu huu ugonjwa??

Kwahyo kitengo cha kinga hakiwezi kumwingilia kitengo cha matibabu japo watu wanaofanya kazi kwenye Kinga wanaweza kufanya kazi kwenye matibabu pia..

Sasa kulingana na Kazi yao hawa hupokea Mrejesho wa kimatibabu na Kikinga kutoka kwenye utafiti na kuufanyia kazi..

Ikumbukwe kwamba wanaofanya utafiti pengine wana elimu sawa na wanaofanya Tiba au kinga ila ni kuachiana majukumu tu..
Japo haiko Limited kwa yoyote anayefanya kazi kwenye Utafiti/tiba/Kinga kutofanya kazi za hao wengine na wengine nao hivyo hivyo likewise..

Wanaofanya kwenye Tiba huwa ni HOSPITALI,VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI..

wanaofanya Kwenye Kinga ni Chanjo,Vituo vya afya Kitengo cha kinga n.k

Wanaofanya Utafiti ni NIMR,na IFAKARA pia wanafanya

Sasa Tunapokosea ni kuchukua Swali la NIMR au IFAKARA kumuuliza Daktari anayefanya kazi Kwenye Kinga au Tiba badala ya kuuliza Daktari anayefanya kazi kwenye Utafiti

Karibu kwa maswali zaidi BICHWA KOMWE -
 
Nafurahi sana kukuelimisha BICHWA KOMWE -
Sasa Nisikilize..

Katika Kada ya Afya au Katika Matibabu..
Kuna sector Kuu Tatu au kuna Kada kuu tatu..
  • Matibabu/Tiba
  • Kinga
  • Utafiti/Research/Study
Sasa Rafiki ni kwamba Kila sector inategemea nyingine japo zinafanya kazi kwa utofauti sana..

Matibabu/Tiba inahusika na Kuzuia magonjwa kutosababisha madhara zaidi kwenye mwili wa Binadamu (Baada ya mtu akishapatwa nayo) na pia kuzuia kifo na hii mara nyingi ndo watu huiiona kwa sababu iko Mahospitali na Bituo vingi vya afya.

Kinga hii inafanya kazi kwa ukaribu sana na hiyo ya kwanza ambapo Mtu huweza kuzuia Magonjwa kabla hayajatokea kwa Kutoa Dawa kinga kama Prophylaxis na hasa Chanjo (Ambazo najua wengi wanazo)..

Utafiti/Research/Study Hapa tunadeal sana sana na kufanya Reseaech kuhusu Magonjwa yaani Hapa mambo ya Epidemiology na Biostatistics sana kujua magonjwa yanatokeaje magonjwa haya yanapata watu gani na kwanini yawepate na yanaambukizwaje na hawa ndo wenye jukumu la kuingia maabara na kuja na suluhisho la matibabu au kutoa suluhisho la Chanjo kwa ajili ya Ugonjwa..

Sasa, Hivi vitengo haviingiliani japo vinafanya kazi kwa pamoja huwezi kuta Mtu wa chanjo anamwambia Mtu wa matibabu kwanini unatibu wakati mimi natoa chanjo ya huo ugonjwa?
Au mtu wa matibabu anawambia mti wa chanjo kwanini unatoa Chanjo wakati mimi natibu huu ugonjwa??

Kwahyo kitengo cha kinga hakiwezi kumwingilia kitengo cha matibabu japo watu wanaofanya kazi kwenye Kinga wanaweza kufanya kazi kwenye matibabu pia..

Sasa kulingana na Kazi yao hawa hupokea Mrejesho wa kimatibabu na Kikinga kutoka kwenye utafiti na kuufanyia kazi..

Ikumbukwe kwamba wanaofanya utafiti pengine wana elimu sawa na wanaofanya Tiba au kinga ila ni kuachiana majukumu tu..
Japo haiko Limited kwa yoyote anayefanya kazi kwenye Utafiti/tiba/Kinga kutofanya kazi za hao wengine na wengine nao hivyo hivyo likewise..

Wanaofanya kwenye Tiba huwa ni HOSPITALI,VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI..

wanaofanya Kwenye Kinga ni Chanjo,Vituo vya afya Kitengo cha kinga n.k

Wanaofanya Utafiti ni NIMR,na IFAKARA pia wanafanya

Sasa Tunapokosea ni kuchukua Swali la NIMR au IFAKARA kumuuliza Daktari anayefanya kazi Kwenye Kinga au Tiba badala ya kuuliza Daktari anayefanya kazi kwenye Utafiti

Karibu kwa maswali zaidi BICHWA KOMWE -
Umeongea kiundani, lakini bado mtoa mada kama ana hoja ya msingi, kada ya afya kama kada nyingine tu bado tupo nyuma sana.

Baadhi ya vifo ni uzembe tu, huduma zipo hovyo kabisa, watu wanakatwa miguu lakini mguu huo huo ukienda nje unarudi safi kabisa au hatuna podiatrist.

Anyway yapo mambo mengi sana, nimeyaona kimsingi bado tuko nyuma, hasa decision zinazofanywa na watumishi wa afya.
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
F***a kweli ww, tukutane opd either utakuja mwenyewe au utaletwa tu
 
Umeongea kiundani, lakini bado mtoa mada kama ana hoja ya msingi, kada ya afya kama kada nyingine tu bado tupo nyuma sana.

Baadhi ya vifo ni uzembe tu, huduma zipo hovyo kabisa, watu wanakatwa miguu lakini mguu huo huo ukienda nje unarudi safi kabisa au hatuna podiatrist.

Anyway yapo mambo mengi sana, nimeyaona kimsingi bado tuko nyuma, hasa decision zinazofanywa na watumishi wa afya.
Ni kweli kabisa kuna Uzembe mwingi..
LAkini uzembe huo unachangiwa na Kutokuwa na Vifaa au serikali yetu kutokuwekeza kwenye Vifaa tiba..

Nitakupa Mfano ukiwa Kwenye Nchi za Wenzetu kila chumba Cha mgonjwa kiko Full equiped mpaka Ultrasound Potable zipo Kila chumba kwahyo ni vyepesi kugundua tatizo haraka na Kujua chanhes kwa haraka sana kuliko Kwetu..

Na hata Baadhi ya huduma na Dawa kwetu zinakuwa ni ghali sana kuziagiza hivyo dawa nyingi na huduma nyingi kukosekana..

Unachotakiwa kushangaa ni kuwa kwanini Daktari akiwa Tanzania anaonekana kama hafanyi kazi yoyote ila akiwa nje anaonekana mbobezi sana na hata Huko huko wanamsifia na kumpa vyeo?

Na kusaidia majibu machache tu..!

Motisha- Tanzania hatuna Motisha ya Madaktari sio kwa Vifaa vizuri na bora vya kufanyia kazi hata Posho na Mishahara Yao iko chini sana..
Daktari Mdogo tuseme MD (Gp) akiwa anafanya kazi NIMR "kwenye Utafiti" au kwenye mashirika Binafsi anaweza akachezea kwenge 5M mpaka 6M..

Wakati huo Huo Daktari Bingwa na Daktari Bingwa mbobezi wakiwa upande wa hospitali za serikali wnacheza kwenye 2mil mpaka 3Milion..

We unafukiri kipi kitafanyika zaidi ya kuboronga..

Wazo:_ Wakati unamlaumu Kuku Kutokutakaga Vizuri hakikisha umetimiza wajibu wako kwa kumuandalia mazingira safi ,Banda zuri la kutagia na anapata Chakula na Maji ya kutosha sasa ukifanya yote hayo unaruhusa ya kusema kuku huyu Hana shukrani
 
Nafurahi sana kukuelimisha BICHWA KOMWE -
Sasa Nisikilize..

Katika Kada ya Afya au Katika Matibabu..
Kuna sector Kuu Tatu au kuna Kada kuu tatu..
  • Matibabu/Tiba
  • Kinga
  • Utafiti/Research/Study
Sasa Rafiki ni kwamba Kila sector inategemea nyingine japo zinafanya kazi kwa utofauti sana..

Matibabu/Tiba inahusika na Kuzuia magonjwa kutosababisha madhara zaidi kwenye mwili wa Binadamu (Baada ya mtu akishapatwa nayo) na pia kuzuia kifo na hii mara nyingi ndo watu huiiona kwa sababu iko Mahospitali na Bituo vingi vya afya.

Kinga hii inafanya kazi kwa ukaribu sana na hiyo ya kwanza ambapo Mtu huweza kuzuia Magonjwa kabla hayajatokea kwa Kutoa Dawa kinga kama Prophylaxis na hasa Chanjo (Ambazo najua wengi wanazo)..

Utafiti/Research/Study Hapa tunadeal sana sana na kufanya Reseaech kuhusu Magonjwa yaani Hapa mambo ya Epidemiology na Biostatistics sana kujua magonjwa yanatokeaje magonjwa haya yanapata watu gani na kwanini yawepate na yanaambukizwaje na hawa ndo wenye jukumu la kuingia maabara na kuja na suluhisho la matibabu au kutoa suluhisho la Chanjo kwa ajili ya Ugonjwa..

Sasa, Hivi vitengo haviingiliani japo vinafanya kazi kwa pamoja huwezi kuta Mtu wa chanjo anamwambia Mtu wa matibabu kwanini unatibu wakati mimi natoa chanjo ya huo ugonjwa?
Au mtu wa matibabu anawambia mti wa chanjo kwanini unatoa Chanjo wakati mimi natibu huu ugonjwa??

Kwahyo kitengo cha kinga hakiwezi kumwingilia kitengo cha matibabu japo watu wanaofanya kazi kwenye Kinga wanaweza kufanya kazi kwenye matibabu pia..

Sasa kulingana na Kazi yao hawa hupokea Mrejesho wa kimatibabu na Kikinga kutoka kwenye utafiti na kuufanyia kazi..

Ikumbukwe kwamba wanaofanya utafiti pengine wana elimu sawa na wanaofanya Tiba au kinga ila ni kuachiana majukumu tu..
Japo haiko Limited kwa yoyote anayefanya kazi kwenye Utafiti/tiba/Kinga kutofanya kazi za hao wengine na wengine nao hivyo hivyo likewise..

Wanaofanya kwenye Tiba huwa ni HOSPITALI,VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI..

wanaofanya Kwenye Kinga ni Chanjo,Vituo vya afya Kitengo cha kinga n.k

Wanaofanya Utafiti ni NIMR,na IFAKARA pia wanafanya

Sasa Tunapokosea ni kuchukua Swali la NIMR au IFAKARA kumuuliza Daktari anayefanya kazi Kwenye Kinga au Tiba badala ya kuuliza Daktari anayefanya kazi kwenye Utafiti

Karibu kwa maswali zaidi BICHWA KOMWE -
Umeeleza kisanii zaidi, haujatoa majibu.

Lengo langu sio kutaka kujua AINA ZA VITENGO, lengo langu ni kutaka kujua kwanini kuna misukule nchini katika sekta ya afya!

Sasa unijibu swali, Kwanini kansa haina dawa?
 
Back
Top Bottom