- Feb 10, 2006
- 4,235
- 13,436
Wakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.
Maboresho upande wa mwonekano (UI) yatafanyika Machi 30, 2019.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
=====
Edit:
Maboresho yote yamekamilika 100%.
Asanteni kwa uvumilivu
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.
Maboresho upande wa mwonekano (UI) yatafanyika Machi 30, 2019.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
=====
Edit:
Maboresho yote yamekamilika 100%.
Asanteni kwa uvumilivu