Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Mnaunga mkono hoja mia kwa mia na nnatamani ningekuwa huko lakini umasikini uniachie wapi mie Mtanzania!!!!,Mungu awatangulie ktk hilo
 
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe

EliakimMallya@yahoo.com

Hapo kaka tupo pamoja. Kwenye bango moja andikeni "Kiongozi ambaye hajui kwanini nchi yake ni maskini wakati ina maliasili nyingi" lingine "Tanzanite inapatikana Tanzania lakini duniani aitambuliki kutoka Tanzania"
Naomba na nchi zingine za Ulaya kufanya hivyo kama ninyi wa USA kwani ndio mwanzo wakuikomboa nchi yetu kama ulivyosema huko Tunisia, Misri kote kumepatikana haki kutokana na wananchi waishio nje kuwapamoja na kupambana. Watz tuache kuogopa kwan wanaoumia ni mama/dada/baba/kaka zetu walioko vijijini wakati wao wanapeana ma VX na maposho tu.

"It is better to die standing than to live on your knees." by Che Guevara.
 
U.S. Department of State ndio "United States Department"? Mikwara miingi na kejeli kumbe kilaza mkubwa.

Mnaalika watu kwenye maandamo kwa matangazo bizarre kwamba State Department itapokea maandamano binafsi ya Wabongo against Rais wao. Hata wananchi wa Venezuela wangeandamana kumpinga Chavez in Washington DC, the State Department haiwezi kujihusisha.



U.S Department unaweza kufananiasha na neno hili "Wizara za serikali ya federali ya Marekani".
Na wewe nae, there is no such thing as United States Department!
 
U.S. Department of State ndio "United States Department"? Mikwara miingi na kejeli kumbe kilaza mkubwa.

Mnaalika watu kwenye maandamo kwa matangazo bizarre kwamba State Department itapokea maandamano binafsi ya Wabongo against Rais wao. Hata wananchi wa Venezuela wangeandamana kumpinga Chavez in Washington DC, the State Department haiwezi kujihusisha.



Na wewe nae, there is no such thing as United States Department!
kweli mimi ni kilaza mkubwa wala haujakosea, ila kuna jukwaa la lugha karibu kule ukaoneshe umahiri wako wa lugha. hili ni jukwaa la siasa hata mtu akikosea spelling sisi tunachojali ni kuelewa content ya habari yake. washamba kama nyinyi hata mjini mpo maana siku hizi washamba si wakutoka shamba tu.
 
Hizo figures ulizipata wapi wewe?

Kwa tuliwahi kukaa pale na mpaka leo kuna familia yangu baadhi wanakaa pale huwezi kubisha. naweza kukutajia hata kwa majina nani amekana na nani raia mpaka leo.
lakini wa tanzania wote pale wana nia ya kupata uraia wa marekani ila vigezo na taratibu ndio vinasumbua.
 
Huo ufisadi bila Kikwete mgeujua? si yeye ndio anaoibua. Au mmesahau umeanzia wapi?

Hv naomba siku moja tukutane nakutambulishana kwan nazani ww utakuwa sio bure. Sidhani hata mtoto wa shule ya msingi anaweza kufikili unavyofikili. Unaonekana hupo humu kwa manufaa ya hao jamaa kwan kila mara nikujitutumua hili kuwa tetea. Hata kama ni usalama wa taifa nazani roho yako inakusuta kwan hakuna lamaana na ninakwambia hutafanikiwa na harakati zako na wenzako. Leo hii hata hao mliozoea kuwadanganya kwa T-sheti na kofia na khanga wameshtuka. Hivyo dada kazi mnayo.

"It is better to die standing than to live on your knees." Che Guevara
 
Hv naomba siku moja tukutane nakutambulishana kwan nazani ww utakuwa sio bure. Sidhani hata mtoto wa shule ya msingi anaweza kufikili unavyofikili. Unaonekana hupo humu kwa manufaa ya hao jamaa kwan kila mara nikujitutumua hili kuwa tetea. Hata kama ni usalama wa taifa nazani roho yako inakusuta kwan hakuna lamaana na ninakwambia hutafanikiwa na harakati zako na wenzako. Leo hii hata hao mliozoea kuwadanganya kwa T-sheti na kofia na khanga wameshtuka. Hivyo dada kazi mnayo.

"It is better to die standing than to live on your knees." Che Guevara
Wacha kuishushia hadhi idara ya usalama wa Taifa, yaani unadhani TISS inaweza kuajili mambumbumbu kama FF? kwanza ungejuwa anapoishi ndio ungechoka kabisa, huyu FF anaishi katika moja ya nyumba duni kabisa pale mtaa wa kariakoo.
 
Kwa tuliwahi kukaa pale na mpaka leo kuna familia yangu baadhi wanakaa pale huwezi kubisha. naweza kukutajia hata kwa majina nani amekana na nani raia mpaka leo.
lakini wa tanzania wote pale wana nia ya kupata uraia wa marekani ila vigezo na taratibu ndio vinasumbua.

Mkuu, kwahiyo wewe unauraia wa nchi mbili ikiwemo US.
 
Ndio walewael, ukiwauliza kuhusu maendeleo hawataki kuyataja.

Kafanyeni na maandamano kuonesha, mashule yaliyoongezeka, makliniki yaliyoongezeka, ma universirty yaliyoongezeka, mabarabara yaliyoongezeka, kilimo kilichoongezeka, demokrasia iliyoongezeka. Mbona hayo hamuyasemi?
Madanguro yaliyoonezeka.....

Makahaba walioongezeka...

Umaskini ulioongezeka.....

Kutembea na vidumu vya mafuta kwenye magari....
 
nimeipenda sana hiyo idea-naamini mkianza nyie wa nchi nyingine pia watafata-so itakuwa kila anapokwenda anapokewa na maandamano,akija nyumbani anakutana na maanadamo,hadi hali ikae sawa hapa tz-naamini ikishafanyika hivyo mara kadhaa-lazima kutakuwa na international pressure ambao watatoa support kwa wananchi
 
Kwa tuliwahi kukaa pale na mpaka leo kuna familia yangu baadhi wanakaa pale huwezi kubisha. naweza kukutajia hata kwa majina nani amekana na nani raia mpaka leo.
lakini wa tanzania wote pale wana nia ya kupata uraia wa marekani ila vigezo na taratibu ndio vinasumbua.

Inakusaidia nini. Hawafanyi maandamano kwa faida zao binafsi bali kwa faida ya watanzania wote ambao wanahitaji haki sawa. Mnajaribu kuwatoa watu kwenye mada. Na kwa taarifa yako maandamano ya jinsi hiyo yana andaliwa nchi ingine pia.
 
Kwa tuliwahi kukaa pale na mpaka leo kuna familia yangu baadhi wanakaa pale huwezi kubisha. naweza kukutajia hata kwa majina nani amekana na nani raia mpaka leo.
lakini wa tanzania wote pale wana nia ya kupata uraia wa marekani ila vigezo na taratibu ndio vinasumbua.

Acha matusi Barubaru, kuna Watanzania tupo kiwanja miaka kibao vigezo vyote tunavyo na hatujachukua uraia wa mtu mpaka leo.

Ingawa nchi inavyoenda sasa tunaweza kulazimika.

Kama wewe umekaa na watu wasio karatasi vizuri usifikirie kila Mtanzania nchi za nje ana uchu na uraia wa watu.

Tena kuna watu washarudi mpaka bongo ingawa wana privileges zote za kuomba uraia hapa.

Sio kla mtu analimbukia uraia wa watu kihivyo.
 
Madanguro yaliyoonezeka.....

Makahaba walioongezeka...

Umaskini ulioongezeka.....

Kutembea na vidumu vya mafuta kwenye magari....

ongezea na manunuzi ya tochi za mchina kwa kila mwannchi yameongezeka
kesi zisizoshuhulikiwa za ufisadi zimeongezeka mara dufu
 
Na wewe nae, there is no such thing as United States Department!
Naona Kuelewa kunakupa shida, nilisema hivi, "unaweza kufananisha" na neno wizara kwa ujumla.

Ona hapa chini;

U.S Departments unaweza kufananisha na neno hili "Wizara za serikali ya federali ya Marekani".

Sasa kunaweza kuwa na wizara nyingi mfano wizara ya nishati (United states department of energy).
 
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe

EliakimMallya@yahoo.com



Mkuu sisi tupo tayri kushiriki, mtutumie picha na mapango hali ni mbaya huku Wahindi na waarabu wamegoma kuuza mafuta ..
 
Acha matusi Barubaru, kuna Watanzania tupo kiwanja miaka kibao vigezo vyote tunavyo na hatujachukua uraia wa mtu mpaka leo.

Ingawa nchi inavyoenda sasa tunaweza kulazimika.

Kama wewe umekaa na watu wasio karatasi vizuri usifikirie kila Mtanzania nchi za nje ana uchu na uraia wa watu.

Tena kuna watu washarudi mpaka bongo ingawa wana privileges zote za kuomba uraia hapa.

Sio kla mtu analimbukia uraia wa watu kihivyo.

Thank you
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom