Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

Status
Not open for further replies.
Hahahaha


MAGUFULI AUMBUKA

Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli ameishia na sauti ghafla hali iliyolazimu mkutano wa kampeni kufungwa pasipo mgombea kumaliza kunadi ilani ya chama.

Magufuli amepatwa na balaa hilo leo hii akiwa mkoani Mbeya hali iliyozua hofu na sintofahamu nyingi juu ya afya ya mgombea huyo wa CCM.

Magufuli ambaye alitakiwa kuongea na waendesha boda boda mara ya mkutano huo kuisha ameishia kuwapungia mkono boda boda hao na juu ya tatizo la afya mgogoro uliomkumba.

Hata hivyo habari zilizotufikia hivi punde zinasema Magufuli amelazwa katika hospitali ya mkoa kwa kile kinachosemekana mapigo yake ya moyo hayapo sawa sawa.

Ikumbukwe moyo wa magufuli unafanya kazi kwa kifaa cha kuchaji kinacho rekebisha mapigo ya moyo kiitwacho "Pacemaker" ambacho kipo mwilini mwake.

Hii ni mara ya pili kupatwa na tatizo la kiafya tangu aanze kampeni za urais. Mara ya kwanza moyo ulileta shida akiwa mkoani Katavi hali iliyopelekea kushindwa kuhutubia katika mkutano mmoja wa hadhara na hivyo kuishia kuwapungia mkono watu waliojitokeza kumsikiliza.

Tatizo hili la moyo linampa wakati mgumu Dk. Magufuli nyakati hizi za kampeni.


02.JPG

Mbeya
 
Mapema jana Ijumaa nilipiga simu nyumbani Kibirinzi, Chake Chake, Pemba, ili kuwapa hongera kwa kiwanja cha watoto kufunguliwa rasmi na Rais Dr Shein, mara nikapewa nizungumze nae rafiki yangu wa zamani ambae anaishi DSM kaenda nyumbani kwa weekend. La mwanzo nikamuuliza, je, umekimbia GHARIKA ya kesho (yaani leo Jumaamosi) huko Jangwani? Akaniambia kuwa….”sio gharika, sio mafuriko na wala sio sunami, bali itakuwa ni KIAMA hio kesho huko Jangwani, kwani watu mara 5 ya wale waliofika kwenye ufunguzi wa kampeni ya CCM wanategemewa kufika”. Nilikata simu hapo hapo na kuanza kufikiria huyu Lowassa anakitu gani cha zaidi cha kuwavutia wananchi kama hivi? Najua jibu nitalipata hio tarehe 25 October, 2015 na kwa sasa msinijibu kitu!
 

Attachments

  • lowassa.jpg
    lowassa.jpg
    6.8 KB · Views: 1,256
ukigoogle maneno haya picho znakuja kama zilvyo-->> SERENGETI FIESTA 2013 JIJI LA MBEYA USIPIME
 
Hapa najiuliza hivi watu wa Dar es salaam ambao maisha hayaendi bila kufanya kazi usiku na mchana kutwa ndio wameacha kazi zao na kuja kukesha jangwani? Au Yale magari yameanza kufika kutoka mikoani Leo lkn kwann wasinge watengenezea malazi Mimi nawaza tu

Ni usanii at work. Mbona nimepita hapo Jangwani naelekea Manzese hakuna kitu kama hicho. Ama kweli mwaka huu tutashuhudia mengi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom