Maamuzi ya kununua au kutengeneza 'robot' yalitolewa lini na ni nani walitoa maoni?

Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
Unattributed mpunga wa watu imeishabhioo
 
Tunaenda kienyeji sana sisi kama taifa. Huwenda baadhi ya wafanya maamuzi wanafikiri haya mambo ni yakuyapaparatikia kiholela bila kuangalia hali yetu.

Sasa inaanza kuonekana hakuna sababu ya kusoma elimu ambayo matumizi ya maarifa yake yanakuja kuchukuliwa na robot. Je, sisi kama taifa tumejipima hapo? Na tulijipimajee?

Kazi tunayo.
 
Inategemea ma customization kuna yanayofikia hadi mmamilioni ya dola.
Kwa mfano hako ka mbwa kanauzwa zaido ya milioni 15
1715883762534.png
 
Duh

Hii kitu mbunge wa Kawe askofu Dr Gwajima alishaielezea kitambo pale Kanisani kwake

Akisema alienda Japan na kupokelewa na Robot hotelini na kumpokea Mizigo na kumsindikiza hadi Chumbani

Walipofika Chumbani Robot akamwonyesha baba Askofu mambo Yote muhimu kisha akamuaga na kujitambulisha kuwa yeye ni Robot

Sitashangaa nikisikia Eunice kaletwa na baba askofu Dr Gwajima Mbunge 😂😂

Mlale unono 😀😀🔥
Mkono wa baunsa siyo?
 
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
Tunaomba Majibu haraka kabla hatujakinukisha
 
Back
Top Bottom