ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 44,164
- 91,709
Muite fundi aangalie, kutakuwa na shida mahali. Hayo matumizi ni makubwa sana kulinganisha na vifaa ulivyonavyo. Manake sasa siku kumi 280units, kiwanda kabisa hicho.Kabla ya ac nlikua natumia unit 6 kwa siku bado naona ni mwingi kwa vitu hivyo