Luis Vuitton (LV) Italy na lus vutton ya mchina

babukijana

JF-Expert Member
Jul 21, 2009
13,340
16,416
Naangalia tu hapa ivideo cha online kuna mtu mmoja anaongea sana kwenye hii habari kuhusu koti na hilo koti limewekwa kwa euro nyingi sana ni uongo.

Kuvaa Koffi hana jipya ndio maana nguo zake hamzielewi ye anavaa modo na zile za bei kali always na instructor wake ni Papa Wemba(Le Sarpeur)view

Kaja kapiga hela katimua(alikua ndani huko VIP na vibinti vya wakulu vidogo tu vikalambwa vyote kwa kujipendekeza) ndo hivyo yupo,
Mara ya kwanza alikuja 96 na QuartieLatin New silent Inn kwa Rwegasira VIP ALILAMBA 40000 USD plus ndege ya kukodi,bila change na akaja na kundi la wanamuziki 40 Ipupa ndani huku alipiwe huduma zote mwanzo mwisho.

Mara ya pili kaja ikapigwa bonge la matangazo tukaibuka pale Diamond Jubilee eti Koffi na Twanga Ppta wanashindana Ferre,Montana na FaLLY wapo ndani

Siku hiyo ndio Koffi alipiga mziki na bendi yote mwanzo mwisho,aliimba nyimbo zote zake kwa hisia sana,nje kukawa na vurugu Bongo kama kawa jamaa wamekatisha watu tkt kabla wakalamba chao watu wanakuja wanaambiwa ukumbi umejaa nendeni mkalale.

Koffi alipopanda jukwaani akatangaza waacheni watu wote wote waje kwangu.

pale ndio nikajua nguvu ya umma walivunja mageti yote yale Diamond Jubilee na polisi enzi hizo sio vi bauncer wakazama ndani,geti la mwisho naliona linavunjwa na watu wakaanguka nako wakakanyagwa nalo watub wakapita juu yao wakaingia.

sie hela yote tumepigwa date ikawa siyo VIP

Mi nilikua VIP(Thanks to Devo Mnyaru)Booking na kila kitu kafanya sikuwa nimehongwa aliniona tu siko sawa.

Nae aliyeniumiza tuliyepigana chini aliyenichanganya nikamkuta jirani na geti Bar ipo hapo ananambia niko huku baba nipeleke basi ushuani)
ndo pale nikaona jamaa wanaondoka na geti na kuzama ndani(Bana we hapo mziki ulinoga tulikula sebene mpaka asubuhi yaani full raha

Hakuna mahali Koffi anawaona mazwazwa km BONGO,
 
Naangaliaa tu hapa ivideo cha online kuna mtu mmoja anaongea sana kwenye hii habari kuhusu koti na hilo koti limewekwa kwa euro nyingi sana ni uongo.

Kuvaa Koffi hana jipya ndio maana nguo zake hamzielewi ye anavaa modo na zile za bei kali always na instructor wake ni Papa Wemba(Le Sarpeur)view

Kaja kapiga hela katimua(alikua ndani huko VIP na vibinti vya wakulu vidogo tu vikalambwa vyote kwa kujipendekeza) ndo hivyo yupo,
Mara ya kwanza alikuja 96 na QuartieLatin New silent Inn kwa Rwegasira VIP ALILAMBA 40000 USD plus ndege ya kukodi,bila change na akaja na kundi la wanamuziki 40 Ipupa ndani huku alipiwe huduma zote mwanzo mwisho.

Mara ya pili kaja ikapigwa bonge la matangazo tukaibuka pale Diamond Jubilee eti Koffi na Twanga Ppta wanashindana Ferre,Montana na FaLLY wapo ndani

Siku hiyo ndio Koffi alipiga mziki na bendi yote mwanzo mwisho,aliimba nyimbo zote zake kwa hisia sana,nje kukawa na vurugu Bongo kama kawa jamaa wamekatisha watu tkt kabla wakalamba chao watu wanakuja wanaambiwa ukumbi umejaa nendeni mkalale.

Koffi alipopanda jukwaani akatangaza waacheni watu wote wote waje kwangu.

pale ndio nikajua nguvu ya umma walivunja mageti yote yale Diamond Jubilee na polisi enzi hizo sio vi bauncer wakazama ndani,geti la mwisho naliona linavunjwa na watu wakaanguka nako wakakanyagwa nalo watub wakapita juu yao wakaingia.

sie hela yote tumepigwa date ikawa siyo VIP

Mi nilikua VIP(Thanks to Devo Mnyaru)Booking na kila kitu kafanya sikuwa nimehongwa aliniona tu siko sawa.

Nae aliyeniumiza tuliyepigana chini aliyenichanganya nikamkuta jirani na geti Bar ipo hapo ananambia niko huku baba nipeleke basi ushuani)
ndo pale nikaona jamaa wanaondoka na geti na kuzama ndani(Bana we hapo mziki ulinoga tulikula sebene mpaka asubuhi yaani full raha

Hakuna mahali Koffi anawaona mazwazwa km BONGO,
Unaandika ukiwa na stress,depression,hate,drunk and weeded kabisa. Hueleweki hata ulichotaka kuandika ni nini. Unaonekana umevurugwa sana,una chuki,hasira,ghadhabu,huzuni na kuwa umetendwa vibaya na watu wabad. Nyonyoma una nini? Tulia...kunywa maji mengi tulia.
 
Naangalia tu hapa ivideo cha online kuna mtu mmoja anaongea sana kwenye hii habari kuhusu koti na hilo koti limewekwa kwa euro nyingi sana ni uongo.

Kuvaa Koffi hana jipya ndio maana nguo zake hamzielewi ye anavaa modo na zile za bei kali always na instructor wake ni Papa Wemba(Le Sarpeur)view

Kaja kapiga hela katimua(alikua ndani huko VIP na vibinti vya wakulu vidogo tu vikalambwa vyote kwa kujipendekeza) ndo hivyo yupo,
Mara ya kwanza alikuja 96 na QuartieLatin New silent Inn kwa Rwegasira VIP ALILAMBA 40000 USD plus ndege ya kukodi,bila change na akaja na kundi la wanamuziki 40 Ipupa ndani huku alipiwe huduma zote mwanzo mwisho.

Mara ya pili kaja ikapigwa bonge la matangazo tukaibuka pale Diamond Jubilee eti Koffi na Twanga Ppta wanashindana Ferre,Montana na FaLLY wapo ndani

Siku hiyo ndio Koffi alipiga mziki na bendi yote mwanzo mwisho,aliimba nyimbo zote zake kwa hisia sana,nje kukawa na vurugu Bongo kama kawa jamaa wamekatisha watu tkt kabla wakalamba chao watu wanakuja wanaambiwa ukumbi umejaa nendeni mkalale.

Koffi alipopanda jukwaani akatangaza waacheni watu wote wote waje kwangu.

pale ndio nikajua nguvu ya umma walivunja mageti yote yale Diamond Jubilee na polisi enzi hizo sio vi bauncer wakazama ndani,geti la mwisho naliona linavunjwa na watu wakaanguka nako wakakanyagwa nalo watub wakapita juu yao wakaingia.

sie hela yote tumepigwa date ikawa siyo VIP

Mi nilikua VIP(Thanks to Devo Mnyaru)Booking na kila kitu kafanya sikuwa nimehongwa aliniona tu siko sawa.

Nae aliyeniumiza tuliyepigana chini aliyenichanganya nikamkuta jirani na geti Bar ipo hapo ananambia niko huku baba nipeleke basi ushuani)
ndo pale nikaona jamaa wanaondoka na geti na kuzama ndani(Bana we hapo mziki ulinoga tulikula sebene mpaka asubuhi yaani full raha

Hakuna mahali Koffi anawaona mazwazwa km BONGO,
Enzi Qlatin kiingilio kilikuwa 80,000/= mageti ilikuwa lazima yavunjwe maana enzi hizo pessq ilikuwa ippooo. Juma Nature pekee alikuwa anaweza akaijaza Djubilee.
Lkn Mkuu mbona kama unafoka foka wakati wewe nakujua ni Mdau wa Muziki wa Dansi kitaambo tu, kuna nini kimekuudhi mkuu.
 
Enzi Qlatin kiingilio kilikuwa 80,000/= mageti ilikuwa lazima yavunjwe maana enzi hizo pessq ilikuwa ippooo. Juma Nature pekee alikuwa anaweza akaijaza Djubilee.
Lkn Mkuu mbona kama unafoka foka wakati wewe nakujua ni Mdau wa Muziki wa Dansi kitaambo tu, kuna nini kimekuudhi mkuu.
tusitajane hapa hairuhuhusiwi,we uliiingia geti lipi?
 
Back
Top Bottom