babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,340
- 16,416
Naangalia tu hapa ivideo cha online kuna mtu mmoja anaongea sana kwenye hii habari kuhusu koti na hilo koti limewekwa kwa euro nyingi sana ni uongo.
Kuvaa Koffi hana jipya ndio maana nguo zake hamzielewi ye anavaa modo na zile za bei kali always na instructor wake ni Papa Wemba(Le Sarpeur)view
Kaja kapiga hela katimua(alikua ndani huko VIP na vibinti vya wakulu vidogo tu vikalambwa vyote kwa kujipendekeza) ndo hivyo yupo,
Mara ya kwanza alikuja 96 na QuartieLatin New silent Inn kwa Rwegasira VIP ALILAMBA 40000 USD plus ndege ya kukodi,bila change na akaja na kundi la wanamuziki 40 Ipupa ndani huku alipiwe huduma zote mwanzo mwisho.
Mara ya pili kaja ikapigwa bonge la matangazo tukaibuka pale Diamond Jubilee eti Koffi na Twanga Ppta wanashindana Ferre,Montana na FaLLY wapo ndani
Siku hiyo ndio Koffi alipiga mziki na bendi yote mwanzo mwisho,aliimba nyimbo zote zake kwa hisia sana,nje kukawa na vurugu Bongo kama kawa jamaa wamekatisha watu tkt kabla wakalamba chao watu wanakuja wanaambiwa ukumbi umejaa nendeni mkalale.
Koffi alipopanda jukwaani akatangaza waacheni watu wote wote waje kwangu.
pale ndio nikajua nguvu ya umma walivunja mageti yote yale Diamond Jubilee na polisi enzi hizo sio vi bauncer wakazama ndani,geti la mwisho naliona linavunjwa na watu wakaanguka nako wakakanyagwa nalo watub wakapita juu yao wakaingia.
sie hela yote tumepigwa date ikawa siyo VIP
Mi nilikua VIP(Thanks to Devo Mnyaru)Booking na kila kitu kafanya sikuwa nimehongwa aliniona tu siko sawa.
Nae aliyeniumiza tuliyepigana chini aliyenichanganya nikamkuta jirani na geti Bar ipo hapo ananambia niko huku baba nipeleke basi ushuani)
ndo pale nikaona jamaa wanaondoka na geti na kuzama ndani(Bana we hapo mziki ulinoga tulikula sebene mpaka asubuhi yaani full raha
Hakuna mahali Koffi anawaona mazwazwa km BONGO,
Kuvaa Koffi hana jipya ndio maana nguo zake hamzielewi ye anavaa modo na zile za bei kali always na instructor wake ni Papa Wemba(Le Sarpeur)view
Kaja kapiga hela katimua(alikua ndani huko VIP na vibinti vya wakulu vidogo tu vikalambwa vyote kwa kujipendekeza) ndo hivyo yupo,
Mara ya kwanza alikuja 96 na QuartieLatin New silent Inn kwa Rwegasira VIP ALILAMBA 40000 USD plus ndege ya kukodi,bila change na akaja na kundi la wanamuziki 40 Ipupa ndani huku alipiwe huduma zote mwanzo mwisho.
Mara ya pili kaja ikapigwa bonge la matangazo tukaibuka pale Diamond Jubilee eti Koffi na Twanga Ppta wanashindana Ferre,Montana na FaLLY wapo ndani
Siku hiyo ndio Koffi alipiga mziki na bendi yote mwanzo mwisho,aliimba nyimbo zote zake kwa hisia sana,nje kukawa na vurugu Bongo kama kawa jamaa wamekatisha watu tkt kabla wakalamba chao watu wanakuja wanaambiwa ukumbi umejaa nendeni mkalale.
Koffi alipopanda jukwaani akatangaza waacheni watu wote wote waje kwangu.
pale ndio nikajua nguvu ya umma walivunja mageti yote yale Diamond Jubilee na polisi enzi hizo sio vi bauncer wakazama ndani,geti la mwisho naliona linavunjwa na watu wakaanguka nako wakakanyagwa nalo watub wakapita juu yao wakaingia.
sie hela yote tumepigwa date ikawa siyo VIP
Mi nilikua VIP(Thanks to Devo Mnyaru)Booking na kila kitu kafanya sikuwa nimehongwa aliniona tu siko sawa.
Nae aliyeniumiza tuliyepigana chini aliyenichanganya nikamkuta jirani na geti Bar ipo hapo ananambia niko huku baba nipeleke basi ushuani)
ndo pale nikaona jamaa wanaondoka na geti na kuzama ndani(Bana we hapo mziki ulinoga tulikula sebene mpaka asubuhi yaani full raha
Hakuna mahali Koffi anawaona mazwazwa km BONGO,