Live on ITV: Kipima Joto na Tume ya Jaji Warioba

POMPO

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
6,690
2,400
Wanabodi.

Karibuni kufuatilia kipima joto live kutoka studio za ITV, leo Ijumaa tarehe 07 /11/ 2014 saa 0900, Ambao hamna access na ITV karibuni msibanduke JF. Mpaka kieleweke

Mada.: katiba inaopendekezwa. Je haki ya kushiriki katika mchakato umezingatiwa?

Bwana Polepole, anasema swala la katiba ni muhimu sana kushiriki kila mmoja wetu. Ni swala la wewe mwenyewe.

Kwamba kuna watu wanadharau issuebya katiba na kujali changamoto zingine.

Ana hoja ya Nape. Aliowauliza watu wa Tanga kama wanataka KATIBA ama Barabara?

Anasisitiza katiba ni kitu cha msingi. Ni kama "Uzazi" akimaanisha ni suala la binafsi. Ni dhamini, kujitoa ni Haki.

Polepole anaseama hatua mbali mbali zimepitia kwa mujibu wa sheria.
1. Kusanifu
2. Mabaraza
3. Bunge malumuu
4. Katiba iliopendekeza inafaa kuboreshwa tena

Anasema wanachokifanya siyo Kampeni ni ni sheria inataka hivyo. Ni matakwa ya katiba kutoa Elimu

Kuna makosa mengi kwenye katiba inayopendekezwa.

Anasema: kama katiba pendekezwa ikipingwa kutakuwa na duru ya pili. Kwamba bunge litarudi tena kurejebisha iwe bora zaidi

Polepole: anasema vyama vyote vilikubaliana kuailisha mchakato wa katiba ila kwa bahati mbaya yametokea kama yaliyotoke.

Anasema hii ni fursa ambaya imechezewa.
 
masako yuko live

mada: Katiba inayopendekezwa haki ya kushiriki katika mchakato imezingatiwa??

Wageni: Hamfrey polepole
harodi sungusia
 
masako anafafanua haki ya kushiriki katika mchakato
.. Polpole anaanza kufafanua

polepole
..watanzania wanahaki zote kushiriki katika kuandika katiba
... Watz wana fursa hadhimu kabisa kushiriki katika uandishi wa tiba ya wanachi wake, so wananchi lazima washiriki kikamilifu
 
Wanabodi.

Karibuni kufuatilia kipima joto live kutoka studio za ITV, leo Ijumaa tarehe 07 /11/ 2014 saa 0900, Ambao hamna access na ITV karibuni msibanduke JF. Mpaka kieleweke

Mada.: katiba inaopendekezwa. Je haki ya kushiriki katika mchakato umezingatiwa?

Tunashukuru kwa kutupa habari
 
polepole
anadai katiba tuliyonayo ya 1977 imepitia misukosuko mingi sana tangu kuundwa kwake
so kutengeza katiba mpya, maana yake tunaangalia masuala mazito kama haki za binaadamu, misngi ya utawala bora, maadili, viongozi , watumishi wa uma, namna gani tunaweka vyombo vyetu katika kufanya kazi kwa pamoja (bunge, mahakama, etc)

so watz tumepata fursa ya kujipanga upya kuangali masuala ya msingi ili katiba ituvushe leo na kesho
so kila mtz wenye nafasi ya kushiriki , ashiriki manaa kila mtanzania akishiriki kikamilifu anatafaidi yeye na vizazi viajavyo, so ukipuuza , ubaya wake utauishi wewe na vizazi vijavyo..

updates
mgeni mwingine, mama aneria nkya ameingia
polepole anaendelea

anasema zoezi hili ni gumu kwelikweli, ni kama uzazi huwezi muomba jirani akusaidie , so lazima ushiriki hilo tendo la kujiletea maendeleo
 
polepole
anasema , hata mwaka 1992 wakati tunataka kuanza kuingia katika mfumo wa vyama vyingi, wengi walipinga sana, lakini jk nyerere akasema hapana acha tuwasikilize na wachache,

anadai hata sasa katika hili la katiba, historia inajirudia tena, watu baadhi wanapita huko na kusema wananchi mnataka nini? Maji aua maandamano, etc, so anadai katiba ni sheria mama, so kila kitu kwa maana ya serikali inahitaji nguvu ya kuwepo kwa serikali, mamlaka yanatoka kwa watanzania, ili watanzania/wananchi lazima wawe na nguvu ya kuwawajibisha watawala waliowapa mamlaka.
 
Polepole anasema ina mapungufu makubwa ya kiuandishi hadi kimaudhui. Hivyo haifai
 
polepole
anasema kuna faida ya kusema hapana kwa katiba hii pendekezwa ni kwamba

katiba pendekezwa inamakosa mengi sana yanayoweza kurekebishwa mapema tu,

wananchi wakisema hapana rais arudishe katiba hiyo bungeni kujadili mambo ya msingi
1. Masuala ya kuwaajibisha watawala
2. Kuondoa kofia kubwa ya utawala kwa wanachi,

so ikirudi wabunge watatulia sana kuijadili zaidi, kwakuwa mabosi wa katiba hii ni wananchi, ili lengo lake kuwa ni kutatua matatzio yoote yaliyolikabili taifa kwa zaidi ya maiaka 50,

na ikishararudi bungeni kwa mara ya 2, means baada ya hapo lazima ipigiwe tena kura, so kura ya maoni ya kwanza tukisema hapana, hatuendi katika katiba hii ya 1977, bali tutarudia tena katiba hiyo kuipendekeza tena na kuirudisha bungeni, so ikishindikana kupata 2/3 bungeni na kwa wanchi, basi ndio tunarudi hii ya 1977, so hii ya chenge inayopendekezwa si kwamba tukisema hapana ndio tunarudi mara moja kwa moja kwa ya 1977,
 
humfrey polepole-mdau wa maendeleo

anasem kabla tya tarehe 30 april mwakani kupiga kura
inapaswa kabla yake lazima iwepo tume huru kwanza, na vifanyike japo vikao vipya na kucheki makosa yaliyojitokeza kwanza,

anasema huwezi kukimbiza uzazi, this is the natural process, '
na watz wanahaki ya kuzungumza, so watawala watofautishe kati ya kutoa elimu , na kampeni, watu wasichanganye. Hata kujiunga na tanu, watu wlaipigwa elimu kwanza ndio unapewa kadi ya kujiunga na chama

so kwasasa kinachotolewa ni elimu kwanza..
 
Back
Top Bottom