Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,489
- 9,045
Hongera kwa kuwa na a.k.a hiyo mkuu, ila mimi ni jina langu kabisa la ukoo.
Mkuu a.k.a Lwambo, mlichokuwa mnajadili ni nani zaidi kati ya Zitto na Lissu, wewe ukadai kuwa Zitto ni zaidi, mimi ndio nikasema kuwa Zitto si lolote kwa kuwa hata hoja anazotoaga bungeni sio zake, anapewa tu, ndio ilikuwa argument hiyo.
Mkuu a.k.a Lwambo, mlichokuwa mnajadili ni nani zaidi kati ya Zitto na Lissu, wewe ukadai kuwa Zitto ni zaidi, mimi ndio nikasema kuwa Zitto si lolote kwa kuwa hata hoja anazotoaga bungeni sio zake, anapewa tu, ndio ilikuwa argument hiyo.
Mjuni Lwambo a.k.a yangu ni Lwambo Lwanzo Makiadi...
kwani kuna tatizo gani akiwa anatoa madongo ambayo sio yake ila kwa faida ya wote? Mbona akina Slaa walisema waziwazi wanapewa na watu walio usalama wa taifa kuibua hoja?? sioni tatizo la mtu yeyote bungeni kusema hoja ambayo hata kama sio yake, unless ameiiba na mwenye hoja alitaka aiseme yeye..............that one I wont accept
bado sijaona tatizo,