Lissu atakuwa mtu wa aina ganii? Mbowe alimpambania akiwa hoi, Samia akaenda kumuona Nairobi, leo kawaandalia hotuba za kuwatukana

Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.

Bhojo kaziro!
inaweza kua ni athari ya changamoto za kiafya na kisaikolojia alizopitia, binadamu tumeumbwa kusahau 🐒
 
Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.

Bhojo kaziro!
Wanaomjaza gas saizi hawakutoa hata mia 😆😆😆😆

Na vile hana hekima Niko palee nasubiria
 
Wanaomjaza gas saizi hawakutoa hata mia 😆😆😆😆

Na vile hana hekima Niko palee nasubiria
Kweli kabisa
Screenshot_20240505-150845.jpg
 
Tusi ni kitu gani
Tujadili kwanza hapo

Alafu watu aina yako ndiyo wenye shida ya akili sasa
Mliambiwa hivi achieni ofisi za serikali mkae makwenu na familia zenu muone kama kuna mtu atakuwa na habari na nyie

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.

Bhojo kaziro!
View attachment 2981389
Ww Lissu unamuona ni mtu mwenye akili timamu
 
Sijakusoma, lakini 'premise' ya mada yako ni ya kijinga.

Walimfanyia 'favor' kumnyamazisha?
Ni nani bora zaidi kati ya hao:
Maslahi ya Tanzania au hao watu wanaotoa rushwa kuwanyamazisha wengine wasiseme na kusimamia wanayoyaamini!
 
Tusi ni kitu gani
Tujadili kwanza hapo

Alafu watu aina yako ndiyo wenye shida ya akili sasa
Mliambiwa hivi achieni ofisi za serikali mkae makwenu na familia zenu muone kama kuna mtu atakuwa na habari na nyie

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sisi tumeona ni matusi
 
Tusi ni kitu gani
Tujadili kwanza hapo

Alafu watu aina yako ndiyo wenye shida ya akili sasa
Mliambiwa hivi achieni ofisi za serikali mkae makwenu na familia zenu muone kama kuna mtu atakuwa na habari na nyie

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Endeleeni kumjaza gas,Msaada mtakaompa ni kusema pole kama 😂😂
 
Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.

Bhojo kaziro!
View attachment 2981389

Kizaniii
 
Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.

Bhojo kaziro!
View attachment 2981389
Weka hapa matusi ambayo unasema Tundu lissu kumtukana MBOWE.
 
Sijakusoma, lakini 'premise' ya mada yako ni ya kijinga.

Walimfanyia 'favor' kumnyamazisha?
Ni nani bora zaidi kati ya hao:
Maslahi ya Tanzania au hao watu wanaotoa rushwa kuwanyamazisha wengine wasiseme na kusimamia wanayoyaamini!
Endeleeni kumjaza gas na vile hana hekima atajaa.

Mwisho wa siku Cha maana mtakachomsaidia ni kusema pole
 
Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.

Bhojo kaziro!
View attachment 2981389
Hoja yako haina mashiko. Ina logical non sequitur fallacy.

Unataka Lissu aache kuwabana Mbowe na Samia kwenye mambo ya kitaifa kwa sababu walimsaidia na kumjali yeye katika mambo yake binafsi?
 
Hoja yako haina mashiko. Ina logical non sequitur fallacy.

Unataka Lissu aache kuwabana Mbowe na Samia kwenye mambo ya kitaifa kwa sababu walimsaidia na kumjali yeye katika mambo yake binafsi?
Mwambieni aendelee basi
 
Back
Top Bottom